the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Duuuuuuh 😀Trump ni kila kitu ila sio material ya kuwa rais.. Trump ni hooligan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuuh 😀Trump ni kila kitu ila sio material ya kuwa rais.. Trump ni hooligan
Hilo jengo alokwea huyo muuaji ni kiwanda cha magari hivyo lina ulinzi wake ikiwemo ile "gate house security."Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Kwa upande wa mpigaji...
Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.
Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.
Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.
Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Vipi wewe huna za ndaani kabisa toka jumba jeupe la amerika??Wachambuzi wetu wa bongo sasa, tutasikia mengi.
Trump is an isolationist. Not ideal for the current US national and foreign politics as well as national interests. Whether global or domestic. They’re all intertwined.Nani ana material ya kuwa rais?
Now who is a right man for the presidency!?Trump is an isolationist. Not ideal for the current US national and foreign politics as well as national interests. Whether global or domestic. They’re all intertwined.
You gotta understand the US history in order for you to understand what I’m talking about.
Someone neither liberal nor far right conservative.Now who is a right man for the presidency!?
Kule Marekani hakuna mawazo ya kijinga kama haya, kama vile mnavyosema na Lissu alitaka kujiua.uwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma.
Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"
Material ya urais yanakuwaje mkuuTrump ni kila kitu ila sio material ya kuwa rais.. Trump ni hooligan
Nakubaliana na wewe kabisa. Hawakuwa serius kabisa na kuna clip moja walionyeshwa kabisa kuwa kuna mtu yupo juu ya roof wakanyuti, sasa hivi wanawalaumu police. HahahaMimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Kwa upande wa mpigaji...
Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.
Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.
Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.
Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Kwamba it was staged and 3 died including the sniper , does that means they staged to kill ! Siamini.
FBI hawa hawa ambao hawajui Laptop ya mtoto wa Biden ipo wapi baada ya kupotelea mikononi mwao?Hilo jengo alokwea huyo muuaji ni kiwanda cha magari hivyo lina ulinzi wake ikiwemo ile "gate house security."
Hivyo watu wa SS na polisi hawakuwa na wazo kwamba muuaji ataweza kutokea kwenye jengo hilo ingawa walipaswa kumweka "marked man" wao kwenye hilo jengo.
Hiyo ni kwasababu majengo kama hayo tayari ya ulinzi wa zile access controls hivyo ni suala la "social engineering" lilifanyika kuwarubuni baadhi ya watu ili kijana apate access.
Hata hivyo tusifikie "conclusion" mapema bado FBI wafanya uchunguzi wao wa "motive" ya huyo kijana marehemu.
Ila ilikuwa ni jambo la mbolea endapo wale polisi (marksmen) wangemlegeza au neutralizeili kupata mawili matatu.
Ulitaka wote tuwahusishe SS kwenye hilo jaribio,funny enough,umekasirishwa na huyo "crook" aitwaye Crooks kushindwa kulenga shabaha yake vema.Unawalaumu SS kwa kutompa muda zaidi the crook!🤔Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..
Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.
Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa
Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..
Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..
Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..
And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Kwa upande wa mpigaji...
Mpigaji alikuwa futi almost mia tano kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 160
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.
Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.
Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.
Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Check the checkers yaendelea.FBI hawa hawa ambao hawajui Laptop ya mtoto wa Biden ipo wapi baada ya kupotelea mikononi mwao?
Sasa hivi wanatoa kauli nyengine, wanasema Iran ni mhusika.
Huo ni undezi mkubwa sanaUnatumwa ukaue mtu kisha nawe unauliwa wapumbavu ndio utumwa kazi hizo
Washirika kivipi?
View attachment 3042056
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Dogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tayari nimeshakuwin kisaikolojia na ndio hicho haswa nilikuwa nasumbuka kutafuta.
The whole incident especially how it was handled by the SS stinks to high heaven.Just setting the record straight.
Secret Service ndio waliomwambia Trump "wave, wave" ndiyo Trump akatoa ngumi hewani.
Trump alikuwa kachanganyikiwa hata hakufikiria kutoa ngumi.
Ukisikiliza audio ya ile video utasikia Secret Service agent mmoja anamwambia Trump "wave, wave".
Ndiyo Trump akapiga fist hewani akisema "fight, fight".
Wengi wape