Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Hilo jengo alokwea huyo muuaji ni kiwanda cha magari hivyo lina ulinzi wake ikiwemo ile "gate house security."

Hivyo watu wa SS na polisi hawakuwa na wazo kwamba muuaji ataweza kutokea kwenye jengo hilo ingawa walipaswa kumweka "marked man" wao kwenye hilo jengo.

Hiyo ni kwasababu majengo kama hayo tayari ya ulinzi wa zile access controls hivyo ni suala la "social engineering" lilifanyika kuwarubuni baadhi ya watu ili kijana apate access.

Hata hivyo tusifikie "conclusion" mapema bado FBI wafanya uchunguzi wao wa "motive" ya huyo kijana marehemu.

Ila ilikuwa ni jambo la mbolea endapo wale polisi (marksmen) wangemlegeza au neutralizeili kupata mawili matatu.
 
Nani ana material ya kuwa rais?
Trump is an isolationist. Not ideal for the current US national and foreign politics as well as national interests. Whether global or domestic. They’re all intertwined.

You gotta understand the US history in order for you to understand what I’m talking about.
 
Trump is an isolationist. Not ideal for the current US national and foreign politics as well as national interests. Whether global or domestic. They’re all intertwined.

You gotta understand the US history in order for you to understand what I’m talking about.
Now who is a right man for the presidency!?
 
uwenda ikawa ni scene iiyo planiwa kwa kila hatua, ili T apate kura nyingi hasa zile za huruma.

Kuna wapiga kura watakao ingia kwenye mtego wa kujiuliza "kwa nini T ameshambuliwa"?,uwenda ana kitu cha kutufikisha kwenye asali tumpe yeye"
Kule Marekani hakuna mawazo ya kijinga kama haya, kama vile mnavyosema na Lissu alitaka kujiua.

Yaani mitanzania....
 
Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost hamsini kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 20...
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Nakubaliana na wewe kabisa. Hawakuwa serius kabisa na kuna clip moja walionyeshwa kabisa kuwa kuna mtu yupo juu ya roof wakanyuti, sasa hivi wanawalaumu police. Hahaha
 
Hilo jengo alokwea huyo muuaji ni kiwanda cha magari hivyo lina ulinzi wake ikiwemo ile "gate house security."

Hivyo watu wa SS na polisi hawakuwa na wazo kwamba muuaji ataweza kutokea kwenye jengo hilo ingawa walipaswa kumweka "marked man" wao kwenye hilo jengo.

Hiyo ni kwasababu majengo kama hayo tayari ya ulinzi wa zile access controls hivyo ni suala la "social engineering" lilifanyika kuwarubuni baadhi ya watu ili kijana apate access.

Hata hivyo tusifikie "conclusion" mapema bado FBI wafanya uchunguzi wao wa "motive" ya huyo kijana marehemu.

Ila ilikuwa ni jambo la mbolea endapo wale polisi (marksmen) wangemlegeza au neutralizeili kupata mawili matatu.
FBI hawa hawa ambao hawajui Laptop ya mtoto wa Biden ipo wapi baada ya kupotelea mikononi mwao?

Sasa hivi wanatoa kauli nyengine, wanasema Iran ni mhusika.
 
Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms

Kwa upande wa mpigaji...

Mpigaji alikuwa futi almost mia tano kutoka kwenye target, hizi ni karibu mita 160
Kiukweli..sijajua silaha aliyotumia ila amejitahidi Sana..
Kwa kijana wa miaka ishirini kwakweli amejitahidi.

Ukifuatilia ma pro wa headshots...kwanza umri unakuwa mkubwa na experience kubwa hasa kwenye uwanja wa vita.

Nadhani alitafuta jicho la kulia la Trump... that is a sure kill maana sio kila headshot ni fatal shot..
Kuna watu wanapigwa risasi kichwani na wanaishi...mfano Sativa.

Kichwani, piga jicho, au Temple..hizo ndio sure kill shots..
Dogo alikiwa sawa, labda uzoefu ulimzengua, au upepo, au calibrations au aina ya silaha..
For now we don't know, but we will know
Ulitaka wote tuwahusishe SS kwenye hilo jaribio,funny enough,umekasirishwa na huyo "crook" aitwaye Crooks kushindwa kulenga shabaha yake vema.Unawalaumu SS kwa kutompa muda zaidi the crook!🤔
 
FBI hawa hawa ambao hawajui Laptop ya mtoto wa Biden ipo wapi baada ya kupotelea mikononi mwao?

Sasa hivi wanatoa kauli nyengine, wanasema Iran ni mhusika.
Check the checkers yaendelea.

Leo imebainika kuwa kijana alionekana akikweka ukuta kwenda kwenye hilo jengo na ripoti zilitolewa.

Pia mahali alipokuwa amedunguliwa kwa risasi pamekutwa simu na kifa cha kufyatulia bomu au "detonator".

Hivyo hii investigation ni kubwa sana.

Tuvute subira.
 

Just setting the record straight.

Secret Service ndio waliomwambia Trump "wave, wave" ndiyo Trump akatoa ngumi hewani.

Trump alikuwa kachanganyikiwa hata hakufikiria kutoa ngumi.

Ukisikiliza audio ya ile video utasikia Secret Service agent mmoja anamwambia Trump "wave, wave".

Ndiyo Trump akapiga fist hewani akisema "fight, fight".
 
Dogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Just setting the record straight.

Secret Service ndio waliomwambia Trump "wave, wave" ndiyo Trump akatoa ngumi hewani.

Trump alikuwa kachanganyikiwa hata hakufikiria kutoa ngumi.

Ukisikiliza audio ya ile video utasikia Secret Service agent mmoja anamwambia Trump "wave, wave".

Ndiyo Trump akapiga fist hewani akisema "fight, fight".
The whole incident especially how it was handled by the SS stinks to high heaven.
 
Back
Top Bottom