Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Secret service wanaweza kuwa washirika kwenye jaribio la mauaji ya Donald Trump

Mimi Kama mtu mwingine tu mwenye interest na mambo ya usalama nawaza mengi kwenye shambulio la Trump..

Secret service kazi yao ya kwanza wakiwa na 'target' ni kuassess threat...
Hapo secret service walifeli.

Secret service wakiwa na 'target' kwenye location, kazi yao ni kusecure mazingira... Kuhakikisha hakuna nafasi ya direct hit kutoka kwenye hizi silaha ndogo kwenda kwa target..
Hapa pia wameshindwa

Siamini Kama wameshindwa hivyo.. nataka kuamini Kama na wao walikua washirika kwenye hili tukio..

Kwanini?
Hawa jamaa wana metal detectors zenye nguvu vibaya mno..
Ni rahisi Sana kwa analyst wao kujua Kuna silaha gani karibu ambayo sio rafiki..

Mpigaji, Mathew Crooks alipiga Kama risasi nne kabla hajapigwa, kwenye hizi kazi, Kama umezisoma Kama nilivyozisoma alifanya makosa na alistahili kuuawa..
He had to take only one shot..
Yeye akageuza a scene of shooting rampage..
He had to be killed..

And if it is so kama navyofikiri..
This won't be the only attempt..
There will be others in other forms
Wabongo bana kwa ujuaji ujuaji tu. Laiti mngetanguliza huu weledi wa ujuaji ujuaji kwenye maswala muhimu ya kitaifa (issues concerning national importance) kama kilimo, uvuvi na umwagiliaji tungekuwa mbali sana.

Tuacheni porojo za hapa na pale vibarazani tukishakula, kushiba na kuvimbiwa na kande.

Badala yake tujikite katika kufanya kazi na uzalishaji mali ili kupanua wigo mpana katika mustakabal wa taifa letu.
 
Everyone has his own theories

Mine is,the fuckers tried to kill our president
Wee nyau rudisha hii avatar picha yako.

images (1).jpeg
 
Wabongo kwa ujuaji ujuaji tu. Laiti mngetanguliza huu weledi wa ujuaji ujuaji kwenye maswala muhimu ya kutaifa (issues concerning national importance) kama kilimo, uvuvi na umwagiliaji tungekuwa mbali sana.

Tuacheni porojo za hapa na pale vibarazani tukishakula, kushiba na kuvimbiwa na kande.

Badala yake tujikite katika kufanya kazi na uzalishaji mali ili kupanua wigo mpana katika mustakabal wa taifa letu.
Kwahiyo hapo tayari umeshajua sifanyi kazi?
 
Dogo tafadhali usinilazimishe nikutamkie neno baya kwako ikawa laana. Nimekuamuru mara moja ufanye kazi. Katika maisha yangu sipendi upuzi.Na nitakufuatilia kwa karibu sana kuhakikisha unafanya kazi. Ole wako sasa.
Unaongea Kama vile kazi zote kwenye nchi hii unafanya mwenyewe..
Kama mwalimu fulani hivi wa maisha, ubwa kasoro mkia!
 
Hii ni michezo tu sawa na ule wa Area C.
Ipo hivi ukitumwa ukatoe uhai wa kiongozi nyuma yako pana watu wamepangwa kutoa uhai wako baada ya mission ili kuficha ushahidi kwani ukiacha hai utatema siri so unalaghaiwa kwa kulipwa pesa za kazi zote nyingi ili ujae baada ya kuuliwa pesa inarudishwa.
Thus hizi mission ni wapumbavu pekee ndio huwa wanatumwa.
Sawa na ile ya Area C wengi walimalizwa baada ya mission wakakosa vyote.
 
Back
Top Bottom