Nyaka-One
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 4,730
- 6,736
Hapo hakuna cha njama wala nini. Kilichopo ni utapeli kwa watu wa aina yako na hao matapeli kuna watu lazima watawapata. Wewe shukuru Mungu tu upo humu JF tumekusaidia kukufungua akili labda uwe ni kichwa maji au sikio la kufa lisilosikia dawa.unaonekana kilaza usikurupuke kijingajinga ukisoma hilo tangaza limetoka uvccm linai walimu weliomba ajira wenye kadi za chama.
manake pana harufu ya njama hapo