Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Hawa watu waajabu sana, Leo pitisha utafiti kujua hivi CCM ya Magufuli na hao US nani anaaminiwa kuwa ni mkweli?
Jibu litashangaza kila mtu, hakuna mfanyabiashara,mwanafunzi, mkulima au mfanyakazi ambaye anaamini kuwa CCM ni wakweli.
US wametoa taarifa kuwa Makonda anahusika na uuaji wa watu, lakini hakuna chochote kilichofanywa hata kuulizia ushahidi tuu. Kwa hiyo serikali inakuwa na mkuu wa mkoa ambaye ni muuaji (hata tetesi kabla ya US zilikuwepo) na haionyeshi kujali hisia za wananchi kisa kuna mtu mlimpa cheo kwa kura zenu hataki kusikia kitu kwa huyo kwa sababu zake. Pumbaf sana! Nchi za utawala bora kitu kama hicho hukuti, halafu wananchi wakichoka mnamsingizia US wakati angetaka muishe angeweza kusimamisha msaada wa ARV na Malaria na tungejifia kuliko Coronavirus!

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanajitoa uelewa.

Kama wanao to begin with.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Unajitahidi kama jina lako lilivyo,muhula nduo umeisha, sasa hivi no uteuzi tunaanza kampeni sasa
 
Mitanzania mijinga sana yaani hata kujifunza kwa waloharibiwa nchi zao kwa hila ka hizi(Libya) .. Endeleeni kushadadia tuu ujinga mkidhani marekani anajali hii nchi..
Nyie ngojeni tuuu si mnajifanya wajingA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona nchi yetu imekewishaharibiwa tayari na Dikteta Uchwara? Nini kimebaki Tanzania baada ya miaka 4 ya JPM? Umaskini inaongezeka, uhuru tulioutaka toka kwa mkoloni umeondewa, manyanyaso kutoka kwa kikundi kidogo ndiyo yametawala.
Mkoloni wa Chato ni mbaya kuliko Mkoloni wa London.
 
Hakuna demokrasia ya Africa! na US demokrasia ni hiyo hiyo. Vilevile ni watu wa CCM tu ndiyo wanaamini CCM ilishinda kwa 99% Watanzania wengi na majority ya watu wanajua wapinzani wamezuiwa kushiriki. Tatu ni kweli nchi yetu itaingia kwenye matatizo makubwa san mwaka kesho ikiwa ni pamoja na vikwazo na watu wengi wa serikali kupata zuio kama la Makonda. Nne Tatizo ni malalamiko mengi sana yanayotoka taasisi mbalimbali , upinzani na wapenda Tanzania kwa US na EU. Hizi barua ni nyingi sana nasikia malalamiko ni mengi sana na walalamikaji ni Watanzania wenyewe sio mabeberu. Tano Usalama wa taifa ni kufikiri kwa manufaa ya nchi badala ya kujaribu kupambana na nchi kubwa yenye resources kama US ni ujinga kwa nchi kujaribu kushindana tutaishia umasikini tu hivi mfano wakizuia watu wao kuja kutalii itakuwaje? wakati wenyewe ndiyo wanaongoza kuja
Natamani hao Usalama wa Taifa ndio wawe wa kwanza kukamatwa na kuning'inizwa kichwa chini miguu juu ili watie akili
 
Pascal Mayalla,
Mkuu naona umeshusha mzigo mrefu sana (Haujawa precisely) .Ila hoja ulizoshusha zima mashiko kwa manufaa ya nchi yetu. Je Us wanampango wa kufanya kama walivyofanya libya? Jibu ni hapana Tanzania iko very stable baada ya uchaguzi 2020 hakuna wa kuleta fyoko fyoko. Ghadafi aliponzwa na uroho wa madaraka na kufanya nchi kama ya familia yake na watu toka Sirte alikozaliwa (Hapa Tz hayo hayapo).

Je, Tanzania kuna vikundi vyenye mahusiano na magaidi? Jibu ni ndio. Kwenye shambulio ka kigaidi la Al shababu kule Garissa Kenya kuna Mtanzania alikamatwa na mpaka sasa ameshahukumiwa (jina kapuni) huu ni ushahidi kuwa terrorist cell zipo hapa Tz sababu ndugu zake walijua yupo shule. Kumbe alisha zama somalia kula mafunzo.

Je Tanzania kuna mfumo dini wa kikristo? Jibu ni hapana. Rais aliyepita alikuwa muislamu. Awamu hii ya Tano makamu wa rais ni Muislamu pia Waziri mkuu ni Muislamu (hoja ya udini inatumiwa na watu wenye nia ovu).

Jambo la msingi ni 'jamaa zako' kuwa makini maana kwenye nchi lolote linaweza kutokea. Miaka ya 1993 mpaka 1998 kulikuja makundi ya kiislamu toka pakistan na sehemu mbali mbali ambayo tulikuwa tunaambiwa ni waeneza dini.

Hawa jamaa walikuwa na midevu kama ya Osama. Baadae kidogo 1998 balozi za Us hapa kwetu na kenya zilipigwa mabomu. Jambo ambalo linawashangaza watu ni pale Alqaeda walipokuja kukiri kuwa mmoja wa kiongozi wao Alifariki kwenye ajali ya Mv Bukoba.
Makamu wa Rais ni Muislamu na Waziri Mkuu ni Muislamu lakini hawa ni mapoyoyo tu wala hawashiriki kwenye maamuzi mikubwa ya nchi. Maamuzi makubwa ya nchi ni 'One Man Show' sana sana anaweza shiriki Makonda au Palamagamba.

Kusema Serikali haina mfumo Kristu kwa sababu ya hawa Majaliwa na Samia ni changia la macho.
 
Kinachoziangamiza nchi nyingi za Afrika ni hypocrisy ya raia wake kama wewe mleta uzi.

Fact is the chance for USA to win hiko ulichokiandika ni 98%. Unajua ni kwa nini?

Nchi imepasuka vipande vipande haina mshikamano kabisa. Unajua ni kwa nn hamna mshikamano?

Sababu zipo kibaaao na unazijua mwenyewe. Lakini kikubwa ni siasa za ghilba, vitendo vya kighilba na kinyanyasaji vinavyotendeka katika nyakati hizi ambavyo raia walikuwa hawajavizoea mfano watumishi kunyimwa haki zao, wakulima kunyanyaswa, wafanyabiashara ndio full kibano mpaka hawana hali.

Siku zote ukitingisha status quo iliyopo na ukataka kuleta changes lazima ufuate taratibu nzuri ambazo majority watakuunga mkono. Sasa ukidisturb status quo iliyopo na majority wakawa hawakuungi mkono kuna uwezekano mkubwa sana wa kufeli.

Siku zote washindani wako wakitaka kukurudisha nyuma basi wataanza kutingisha hali yako ya ndani (internal status quo). Ukitingishika ndio wanapata nafasi ya kukumaliza. Kama ukiwa stable internally hawataweza.

Sasa kwa hali iliyopo sasa hapa nchini unadhani nani mwenye kubeba hizi lawama? Wewe unawalaumu mabeberu bure, wale wanatafuta ulaji, wakiona kuna mtu kaachia tundu la ulaji mahali unadhani wataliacha lipite hivihivi? Unashangaza sana umeweza kugundua kwamba wanapanga kitu hatari kwa nchi yetu na ukashindwa kujua hali iliyopo ndani ndio itaruhusu watufanye chochote.

Solution ni watawala wairudishe nchi kwenye form yake, watu wawe satisfied na hali iliyopo hata kama hakitoshi lkn wahakikishe raia wameridhika na hali. Bila hivyo vijana wenye njaa mtaani na hawana la kushika unadhan akipewa dola 1000 na ahadi nzuri nzuri then akashikishwa bunduki unadhani atakataa? Hawez kataa sababu hana other options.

Unforgetable
Nakazia kwa zege la madaraja yanayokatiza baharini.
 
Mkapa amekuwa Raisi wa Tanzania miaka 10 anajua udhaifu wa Tume ya Uchaguzi kuliko sis sababu alimuweka madarakani mara mbili. Sasa anapoitama i TUME HURU YA UCHAGUZI ujue tuliyonayo si huru.kuna ubaya gani nchi marafiki wakisaidiakupaza sauti

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200209_124900.jpg

Hiyo ndiyo habari kubwa. Kama Mkapa anasema hayo basi ujue yuko pissed off kuliko hata huyo Yusuf Makamba na Absulrahman Kinana. Magufuli mwisho Octoba 2020, akilazimisha tu atadhalilishwa kama Laurent Bagbo wa Ivory Coast mwaka 2012
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali

Kwasababu ya chaguzi 2015 hasa Zanzibar na uchaguzi wa serikali za mitaa . Game nzima wamezijua sio wenyewe tu bali upinzani. Zitto mfano kitu kimoja alichowaambia wadhamini ni kwamba kukitokea mauaji wasiingizwe huko maana yake serikali pekee ndiyo itaonekana imesababisha fujo. Vilevile serikali ikikataa tume huru ambayo ubalozi wa US wameandika barua maana yake US wanaweza kufanya lolote na kibaya zaidi 50% hawata support serikali kama uchaguzi hautakuwa wa haki. Hata kama 40% kama ya 2015 hatutakuwa na umoja wa kitaifa ndani hivyo hatutaweza kupigana na vikwazo. Hakuna nchi iliyoshinda vikwazo hata Russia ni mafuta tu uchumi una sua sua sana. Uzoefu wa kimataifa ni tatizo hapa na usikivu wa serikali wasitumie historia wakati huu haiwezekani. Yaani sasa hata wazazi wetu kuja kusalimia US na sheria mpya hii haiwezekani! tumeshaanza kupata shida kwasababu ya sera zetu
 
Paschal nilikuwa nakuheshimu Sana ukiwa ITV. Ila kwa hizi Pumba unazoziandikaga humu kujifanya Politics and Security Expert Yani nakuona Zero brain. Eti uchaguzi wa serikali za mitaa ulikuwa wa kidemokrasia na CCM ikashinda 99.9%. Jamani hata Kama ndo njaa inakusumbua na kutafuta utezui at least reason kama a professional Journalist unajitia aibu na mabandiko yako yanayoonyesha wazi uko biase.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa uandishi wa Pascal Mayalla , the line between satire and reality isn’t so clear. Expect puzzlement.

Jitahidini mumuelewe
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Yawezekana hoja ni muhimu lakini ilivyoandikwa, ni vigumu kuamini imeandikwa na yule Mayala wa zamani.
 
Tuache upuuzi wa kusingizia mataifa ya kigeni kama chanzo cha matatizo yetu.

Cha msingi tuzungatia haki za binadamu, uhuru wa maoni ya watu, demokrasia ya kweli, n.k. Mengine yote ni upuuzi.

Ukiamua kujitumbukiza kwenye Ziwa ili ufe, hatuwezi kuyalaumu maji.
 
Tanzania haina umuhimu kivile kwa Marekani mpaka Marekani ianze kufikiria suala la ‘regime change’.

Mnajipa umuhimu ambao hamna mbele ya Marekani:
Wewe ni mgeni kwa sera na mikakati ya Marekani? Au unajitoa ufahamau kwa vile ni mnufafaika wa mfumo kandamizi wa Jiwe. Kama Marekani inaweza ikaitangazia dunia kuwa imezuia Paul Makonda na mke wake wasiende Marekani, Je kati ya Tanzania na Makonda nani ni sensitive kuliko mwenzie?

Hebu shirikisha ubongo unapochangia hoja kuliko kuviacha vidole vitembee kwenye keyboard.
 
Wewe ni mgeni kwa sera na mikakati ya Marekani? Au unajitoa ufahamau kwa vile ni mnufafaika wa mfumo kandamizi wa Jiwe. Kama Marekani inaweza ikaitangazia dunia kuwa imezuia Paul Makonda na mke wake wasiende Marekani, Je kati ya Tanzania na Makonda nani ni sensitive kuliko mwenzie?

Hebu shirikisha ubongo unapochangia hoja kuliko kuviacha vidole vitembee kwenye keyboard.

Sijaelewa ulichokiandika!

Jaribu tena.
 
Huu mfumo kristo unafanya vipi kazi ktk Jamhuri ambayo viongozi wa juu 4 Kati yao 1 tu ndio mkristo?

1) Magufuli (mkristo)

2) Samia (Islam)

3) Shein. (Islam)

4) Majaliwa (Islam)

hivi mfumo kristo unatekelezwa vipi na mipango yake inapangwapangwa vipi. Otherwise hawa watatu ni waislam majina tu.

Hizi habari mara kadhaa huwa ninamskia Zitto kabwe akizihubiri Sasa naona ameamua kuziweka ktk andiko moja.

Hata kama hamtaki Magufuli na utawala wake bado sioni idadi ya Watanzania wa kumfanya Zitto kuwa rais wa nchi hii. Maswala ya kigaidi nadiriki kusema yakilelewa na awamu ya 4 ndipo awamu ya 5 ikachukua maamuzi thabiti kuidhibiti KIBITI ambayo ilianza kushamiri matukio ya uhalifu. Kupotea watu 380 KIBITI kama ni kweli taarifa zao zimetolewa wapi? Kwa kawaida ndg/Jamaa hupaswa kutoa taarifa ya kupotea ndg yao kituo cha police ambapo taarifa ya maandishi hufunguliwa kwa ajili ya ufuatiliaji. Kwao limefanyika? Kama halijafanyika kwa nn?(hisia za kihalifu).

Rais Magufuli amefanya kazi kubwa Sana kuleta amani KIBITI na si kama amavyosemwa huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie hao Waislamu 2 Majaliwa na Samia nini wamewahi kufanya au ku-influence? Hao ni danganya toto tu, kukubwa wanachofanya ni kuhudhuria mkutano ya nje ya Tanzania ambayo yeye haendi. Kimsingi Makonda na Kabudi wana nguvu ya maamuzi kuliko Waziri Mkuu na Makamu.
 
Back
Top Bottom