Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Security alert kwa Serikali yetu: Tuwe makini sana na Marekani, kuna kitu kinapangwa halafu wajifanye walionya kabla. Je, wanapanga kutu-Libya?

Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali
Watu tunashindwa kuelewa kwamba tanzania Kuna vitu tunatakiwa kujivunia kwanza kabisa uhuru wetu Kuna wanasiasa wanatutia neno watanzania weng ni waoga hawajui kudai haki zao means ni mafara kwa mimi naweza kusema yes tukubali kuitwa mafara Kwan hamna mjanja atae sifiwa dunian wakat ni mkimbiz kwenye nchi ya watu napenda kuwashaur we zangu watakao nielewa kwamba tusikubali kutumika kisiasa kwa niaba ya watu sidhan kama tanzania raia wa kawaida Hana democrasia ya kufanya kitu ambacho kipo kwenye sheria Zaid ya watu ambao siasa ndio Kaz yao so wanasiasa kupigana lazima sio kwamba chadema anampenda ccm wala ilo halipo ndiomana kila siku wanaiponda ccm na kuiita ni mbaya haifai kuongoza Leo unamsikia kabisa mbowe anasema kama serekali haito Fata kama wanavyo taka taifa litaingia kwenye matatizo hamuaon kama wanasiasa wanataka watutumie ccm ili wapate wanachotaka Kwanini wasiseme ccm itapata mtihani waseme taifa Kwan wanataifa wanamakosa gani ona hata Zito kadiriki kuandika barua eti misaada iziwiliwe kisa tu serekal ukubali na itambue mimba za utotoni naiman Zito mwenyewe hili swala la mimba za utotoni hapendi Sema tu anaona ataishije wakat yeye kazi yake nikuifanya serekal ifeli na NJIA ndio kama izo yani yeye anaona awakomoe watoto wa kitanzania na wazaz wao kwa kukosa io hela ili tu ccm iyumbe embu fikirien hiv Hawa ndio watu tunatakiwa tuwaamin Leo lisu yuko nje Zito nae kaenda nje mbowe alikua anataka aende nje Tena wanaenda marekan vip wewe ukipigana ukachafua nch utaenda wap mm naona ni bora tuendelee kuitwa mafara tu ila tunaoish kwenye nchi yetu ya Aman bora ufara uwe kafara yetu kwenye kuilinda nchi yetu vyama vya kisiasa vipigane kwa hoja vyenyewe kama vyenyewe siku zote vyama havipendan na hamna mbunge yupo kwa jili ya wananch wote wapo kwa ajili ya matumbo yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa sina imani na serikali ya Marekani hata wakisema wanatetea raia ila huwa wana mpango mzito nyuma ya pazia.

Lakini Viongozi wengi wa Africa ndiyo chanzo cha kumpa kiburi na njia Marekani ya kuingia na hoja zake. Maana wakiwa madarakani hujiona miungu watu, huona wengine takataka tu na kuona hawana haki ya kuongea mbele yao na kupenda wasifiwe tu hata kwa vitu visivyosifika!

Kwa mambo kama haya na mengine yafananayo na hayo, unadhani FFU wa dunia (USA) ataachaje kuingilia kati?

Jiulize, je hoja zao zina nguvu? Jitathmini jinsi ulivyo. Maana hawaingii kwa uonezi lazima zinakuwepo sababu tena zilizoshiba.

Isije ikawa mada yako umeileta kivingine ili WaTz wote tuanze kusifu na kuabudu miungu watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nchi Gan dunian upinzani unasifia serekal na ninch Gan dunian wapinzani wanaitishia serekal kwamba isipo Fata kama wanavyo taka woa nchi itaingia kwenye matatizo kwa nin magaid waje wapige raia wa kawaida na wasiwapige ccm Kwan marekan anashindwa kumpigia ccm au sis ndio Mbuzi wa kafara ili watu wapate wanacho kitaka siasa ni mchezo mchafu raia wataumia kwa sababu tu watu fulan hawaelewani hiv unafikir chadema akishika nchi ccm watakua huru au nyie mnachukuliaje siasa ukitaka ujue siasa mchezo mchafu oa wake wawili ndio utapata mfano mdogo utao kufungulia mwanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma karibu yote, chanzo cha yote uliyoyataja unamjua. Mwambie yeye kwanza ajirekebishe na ndiye anayetakiwa kuwa makini, arudishe Amani na Umoja tuliokuwa nao kabla yeye hajaingia madarakani. CCM wote ni mafisadi na wezi wakubwa hakua masafi.

Tumewaacha wajirundikie mali wapendavyo maana Tanzania viongozi wapo juu ya sheria na raia hawana cha kuwafanya.Tunataka Uhuru na Amani mtaani, mambo ya kubambikiana kesi na utekaji ukome, tumesharidhika na maisha tuliyonayo.
Aman unayo ikosa wewe ni ipi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitajie hao Waislamu 2 Majaliwa na Samia nini wamewahi kufanya au ku-influence? Hao ni danganya toto tu, kukubwa wanachofanya ni kuhudhuria mkutano ya nje ya Tanzania ambayo yeye haendi. Kimsingi Makonda na Kabudi wana nguvu ya maamuzi kuliko Waziri Mkuu na Makamu.
Toa mfano wa maamuzi ambayo wamewahi kufanya na yanayoakisi uzito wa nafasi zao!! Ungejua kuwa wamewahi ku -attempt kuresign usingethubutu kubisha.

Chukua mfano wa Majaliwa alipoleta wanunuzi wa korosho aliambiwaje mbele ya vyombo vya habari. Kungekuwa na Team Work asingetoa ile kauli ya "Tutapiga mpaka shangazi zako"
Bro so longer hapa Tz kuna Cabinet ambacho ndio chombo cha juu cha kumshauri Rais na pia kufanya maamuzi hapa Tz hakuna one man band. Na Mh Majaliwa hajawahi kuleta wanunuzi wa korosho ila Bodi ya korosho ilitaka kuleta zengwe. Alafu ishu ya shangazi ni utani tu.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali

No. 2 umeboronga vibaya mno, sina haja ya kuendelea kusoma upupu wako. Hebu tueleze model ya demokrasia ya Tanzania? Are we capitalist or socialist?
 
Paskali, nakushangaa sana unaposema "Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ......." Kweli unataka tukuamini kuwa wewe umetimiza wajibu wako kama mzalendo kwa haya maneno? Vitendo vilivyofanyika ktk kile kinachoitwa uchaguzi wa serekali za mitaa siyo cha kupongezwa na mzalendo yoyote, maana ni mbegu hatari ya kuchochea hicho mabeberu wanachotabiri.
Mnafiki huyo njaa inamtesa!!
 
tracebongo njoo unifafanulie maana lile andiko ulisema simuelewi brother mayala hapa sijamuelewa tena, kabisa tukisema uyu hapa sasa kaanza kula buku 7 za lumumba mnabisha
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya hoja hizo, hoja 33 ni maswali ya kiusalama kuhusu taifa letu Tanzania.

Angalizo Kuhusu Security Conscious
Ulinzi wa taifa sio jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama pekee bali ni jukumu la kila Mtanzania Mzalendo wa taifa lake. Hakuna hujuma yoyote kama ugaidi, inaweza kupangwa na watu wa nje bila ushirikiano na watu wa ndani.

Security Conscious ni uwezo wa kuinusa hatari ya usalama wa taifa kwa mbali kabla haijatokea, hivyo hili ni bandiko la kizalendo la kutoa angalizo kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, kuwa kuna kitu hawa mabeberu wa Marekani wanakipanga kuhusu Tanzania kwa siku zijazo, sasa ili kukihalalisha, wanapenyeza watu wao kwa makini kabisa na very strategically kutafuta local collaborators ili muda muafaka wa kufanya yao ukifika, hao local collaborators ndio watatumiwa na kuonekana ni Watanzania wenyewe.

Mpango wenyewe uko hivi:
  1. Kuna mambo ya jinsi rais Magufuli anavyoendesha nchi, Wamarekani hawapendi.
  2. Wamarekani wanalazimisha modal yao ya demokrasia iwe ndio standard democratic modal kwa nchi zote, bila kuzingatia Tanzania tuna modal yetu ya demokrasia ambayo ni part of African Democracy, ambayo inaruhusu nchi ya vyama vingi, kufanya uchaguzi wa vyama vingi na chama kimoja kupata ushindi wa 99.9% na uchaguzi ukawa ni wa kidemokrasia, huru na wa haki kama ilivyo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Wao mabeberu hawa wa Marekani hawataki kukubali hilo
  3. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ili hili lisitokee, Marekani itatumia fedha nyingi sana kufund political dissidents ili kuonyeshea dunia jinsi rais Magufuli anavyopingwa.
  4. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu, kuna watu watapangwa kuleta chokochoko na vitendo vya kigaidi, hivyo kupitia mkataba wa ugaidi na Marekani, Marekani inaweza kuingia nchi yoyote kwa kisingizio cha kusaka magaidi ila lengo lao sio kusaka magaidi bali ku fund dissidents kum distabilize Magufuli.
  5. Pia Marekani inataka kulazimisha human rights records zake kuwa ndio standards records kitendo cha kumzui Makonda kuingia Marekani, mlengwa sio Makonda, Makonda ni chambo tuu, lengo ni kuichafua taswira ya nchi yetu kimataifa tuonekane tuna bad human rights records, wakati kiukweli Marekani ina worse human rights records kuliko sisi!.
  6. Katika utekelezaji wa nia hii ovu, Marekani kwa kutumia taasisi zake, imeanza kusambaza taarifa za uongo na uchochezi kwa kudai kuwa serikali ya rais Magufuli inaendeshwa kwa mfumo Kistu hivyo ku fund Muslim extremist na fundamentalists kuwa magaidi na kufanya vitendo vya kigaidi.
  7. Tayari baadhi ya Taasisi za Kimarekani zimeanza kuandika utabiri wa kuibuka kwa ugaidi Tanzania baada ya rais Magufuli kushinda.
  8. Mtanzania Mzalendo mwenye security conscious akisoma mahali na kubaini kuna kitu ambacho sio kizuri kinapangwa dhidi ya nchi yake, jukumu lake ni kusema tuu alichokisoma na anacho kiona.
  9. Ni jukumu la vyombo vyetu vya usalama, sio kuzingatia kila kinachosemwa mitandaoni kuhusu usalama wa taifa letu lakini pia wakisikia kitu sio kuzipuuzia.
  10. Mimi kama Mzalendo nimetimiza wajibu wangu, sasa niwapeleke kwenye makala yenyewe ya bandiko hili ambayo imetokana na bandiko hili la mwana jf dada yetu al maaruf kwa jina la Faiza Foxy USA yaendelea kuichimba Tanzania
  11. Hoja hizi 54, zenye maswali 33 ni maswali ya msingi sana, japo kuna hoja za urongo humu sio za kuzizingatia, lakini pia kuna hoja za ukweli, sio za kuzipuuzia
Jumatatu njema

Paskali

Hawa jamaa hawwlakubaliani na ushenzi ushenzi wanaolazimishwa watu wa Tanzania. Wanaona kila kitu wanachovumilia watanzania na wanataka kuja kuwaokoa kwenye ubwege wa kiutawlala.

Hata tujitajidi vipi kufunika uongozi wa mabavu na ukatili wa Magu na CCM lakni wapenda haki duniani wanaona. Na wamechoka! Hivi hao akina Mugabe na akina Gaddafi waliojifanya mwamba waliishia wapi?

Tanzania ni nchi nzuri. Lakini utawala wa CCM na Magu unaharibu sana. Wacha tuminywe kidogo labda huu upuuzi utapungua na kuwa funzo kwa vizazi vijavyo.

Common US, come and get him...
 
Nasikia NYUMBU nao wako safarini kupelekwa IKULU ,je ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa lugha hizi za kubaguana ndo zilikataliwa tangu mwanzo na chama chetu. Ila kumekuja kuzuka mtindo huu wa kutukanana bila kiongozi yeyote kukemea. Hii si afya kwetu TZ.
Nyumbu hawezi kuongoza nchi bali watu wa siasa tofauti. Waite hivyo wala usiwaone kuwa nyumbu. Tumia lugha ya kidiplomasia tu
 
Bro so longer hapa Tz kuna Cabinet ambacho ndio chombo cha juu cha kumshauri Rais na pia kufanya maamuzi hapa Tz hakuna one man band. Na Mh Majaliwa hajawahi kuleta wanunuzi wa korosho ila Bodi ya korosho ilitaka kuleta zengwe. Alafu ishu ya shangazi ni utani tu.
Wewe ni robot, betri ukiisha wanachomoa wana recharge. Cabinet meetings ni mahali pa kupokelea maagizo ya Jiwe tu. Hakuna mwenye mawazo mbadala ambaye anapata fursa ya kwasilisha mawazo yake. Siwezi kukuelewesha zaidi
 
Kama mbway na iwe mbway sisemi hivi kwa kuonesha kuwa napenda au nataka vita, ila miaka zaidi ya 50 watanzania hawana chakujivunia zaidi umaskini kwa karne hii ya sayansi na tec..

Kama ingewezekana tanzania tungerudi karne ya 19 maana hii ya 21 tuwaachie mataifa yalioendelea
 
Wewe ni robot, betri ukiisha wanachomoa wana recharge. Cabinet meetings ni mahali pa kupokelea maagizo ya Jiwe tu. Hakuna mwenye mawazo mbadala ambaye anapata fursa ya kwasilisha mawazo yake. Siwezi kukuelewesha zaidi
Ulisha attend hata moja? Au sababu alitaka akuchomoe nyota moja pale butimba prison.(acha chuki)
 
Imefika wakati nyuzi za Pascal naishia kusoma title tu natulia au nakomenti.
Nyuzi zake zimekaa kinafikinafiki.
Hufai kupewa nafasi kubwa utawaumiza wengi
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la security alert lenye hoja 54 kati ya
  1. Kufuatia ushindi wa CCM wa kishindo cha asilimia 99.9% kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, na sasa ndicho kinachokwenda kutokea kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
  2. Baada ya ushindi wa kishindo cha asilimia 90+% kwa rais Magufuli na CCM, kwa uchaguzi wa mwaka huu.
Jumatatu njema

Paskali
Nonsense
 
It all depends upon the size of your gray matter in the skull. If you are low capacity brain it's really nonsense, but if you areloaded with brains there is a lot of sense in Pascal Mayalla post.

Post ambayo ina pumba haivuki posts 40, wakati thread hii iko 180+. Wengine hamstahili kusoma hizi nyuzi kwa vile zina doze kubwa kuliko uwezo wenu. Bakini tu kule Chit chat au udaku
 
Back
Top Bottom