Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Sasa wanataka kuanzisha mikusanyiko ya kupiga kampeini au? Waache shobo waende nyumbani kwao! Jera kuna nyampala! Huku mtaani kuna polisi!Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama. [emoji44][emoji44][emoji44]naona tunataka kuiga Siasa za Uganda sasa
Jr[emoji769]
IGP alishalizungumzia hilo sina majibu ya ziada.Aliyefyatua risasi na kumuua Akwilina yuko wapi sasa hivi je amechukuliwa hatua gani!!
LipmbavuHalafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Hawa PoliCCM wanazidi kumwaga petrol kwenye moto.
Huyu Dada Hilder Newton Chadema hua nampendaga namfollow Insta na posts zake na-like sana!
It always hit me,ana passion na chama chake sana,I have never seen a chick this passionate aisee!
Down for forever chick aisee!
I really have to wonder how is this chick so loyal to CDM,its fascinating scenario!
Umewaza mbali sana mkuu..Kitakachofuata ni kutunga sheria kuhusu michango.... 🙁🙁
Kwani hakukuwa na njia nyingine ya kufanya zaidi ya hiyo ya kuandamana bila kibali?? Angalia sasa vitendo vyao vimegharimu maisha ya binti asiyekuwa na hatia. Hamlioni hilo??
Wamewablock kivipi mkuu weka taarifa timilifuViongozi watatu; Halima Mdee (Mb), Esther Bulaya (Mb) na Esther Matiko (Mb), wametoka magereza asubuhi ya leo na watazungumza na wanahabari leo katika Ofisi za CHADEMA makao makuu Mtaa wa Ufipa, Kinondoni, jijini Dar es Salaam.
Polisi wamewablock viongozi wa CHADEMA Mheshimiwa Halima Mdee, Ester Matiko na Ester Bulaya mda Mfupi baada ya kutoka Gerezani Segerea baada ya kulipa Faini iliyotakiwa na Mahakama.
Watazungumza na Watanzania kupitia waandishi wa habari, saa 5 Asubuhi, leo Alhamis. 12/03/2020, baada ya kutoka gereza la Segerea jijini Dar es salaam.
View attachment 1385386
Hii ndio taarifa mpya kwa sasa
Mungu ibariki Chadema
Tuna safari ndefu sana.Chanzo kikuu cha hao unaosema waliandamana ni nini hasa?.Akwelina ni matokeo ya makosa yaliyofanywa na hao waliotoka leo.
Wasingeandamana bila kibali, Who knows binti wa watu angekuwa keshamaliza masomo yake anafaidi matunda ya elimu yake.
Hawana kazi ya kufanya.
Halafu kesho kuna jitu litasema mniombee,shubaamiti!
Ofisi ya mkurugenzi inafahamika ilipo haipo hao mkwajuni .Kitendo cha mkurugenzj kujificha chenyewe kimegharimu nini? Oli mlaru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Sheria inakataza maandamano au Ni matamko?.Sasa wajifunze kutii sheria bila sheria bila shuruti sio kuandamana bila mpango!
Ofisi ya mkurugenzi inafahamika ilipo haipo hao mkwajuni .