Sehemu 10 nyingine ambazo serikali inaweza kuvuna mabilioni ya pesa kupitia tozo ni huku

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,130
Reaction score
4,735
1.Vifurushi vya simu(vocha pia)
2. Vifurushi vya televisheni
3. Usafiri wa daladala
4. Pikipiki
5. Bajaji
6. Mafuta ya kupikia
7. Nafaka zote
8. Soda
9. Sigara
10. Pombe zote
Mambo yote hayo kila siku yanatumika kama serikali itaweka tozo basi nchi itasonga haraka sana.

My.
Mwigulu hata ukiweka tozo kwenye punzi tutalipia tu, watanzania hatutishwi na chochote ili mradi tuishi.
 

Vipi kwenye mishahara, posho na marupurupu manono ya walamba asali?

Vipi huku:



Au haya maeneo hapana kuyagusa?

Au wewe nawe ni mlamba asali, kibaraka au chawa wao?
 
Itafika wakati chumvi tutauziwa elfu tano pakiti moja
 
Wewe mchawi ndiye umetuletea taabu zote hizi sio?
 
Michango ya sherehe, ma mc ( washereheshaji) Matangazo mitandaoni)
 
Hata waenda kwa miguu aweke tozo ili tz maisha yawe bora!
 
Niliongea kitambo tu PHD ya Lameck ni ya mchongo. Wenye kujua walikuonya, sema ukashupanza shingo, ingekuwa nchi zenye kufata maadili uongozi huyu jamaa kashaachia ofisi ya umma kitambo kwa kumshauri rais, ushauri ambao umezua taharuki kwa wananchi na kukosa imani serikali yao.
 
Namba 2 mbona tayari mkuu!
 
Ninakubaliana na wewe Mwigulu aweke Tozo za Sigara na Pombe hapo. Zingine asiweke Tozo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…