Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Hayo makabila vipi kuhusu muonekano wa sura na shape..??Sio Tabia tu muangalie na uzur wa sura jamani,Mikoa mingie Kama WAHA walitakiwa wote kuwa wanaume…
 
Hayo makabila vipi kuhusu muonekano wa sura na shape..??Sio Tabia tu muangalie na uzur wa sura jamani,Mikoa mingie Kama WAHA walitakiwa wote kuwa wanaume…
Tusiwe tunafarijiana ukweli usemwe tu asilimia 75 ya jamii za Africa haziwana wanawake wazuri
 
Chakushangaza hao watu wanaosemwa wasiolewe ndio makabila yanayongoza kwa kuolewa bongo na nje huko haha hao wengine kama hawaonwi vile
 
Unaishi kwa nadharia sana wee jamaa. Tembea kua uyaone.
 
We jamaa iringa umeishi??
Kule kuna wahehe, wabena, wakinga, nk ni kabila gani hapo utapata pisi??
Mbeya nako pisi ni mbovu ila zina uafadhari na walau zina zigo la kutosha ila iringa ni wembaba, wafupi weusi.
we nung'a Mdaho, be!! Ve utige kuli na fimalaya uho, gende na Vipisi fyenyu Ugho!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…