Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Sehemu ambayo ukipata mke hutokaa ujutie

Pwani ipi mkuu,,
hawa dakika mbili mbele
Kukuachia nyumba na mtoto kichanga haoni kazi
Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako, wa Pwani hawakufai.

Wewe unataka mke mvumilivu sana, mchapakazi sana, mpambanaji sana, nk, nk...

Mkuu, wewe unatafuta mtumwa, au mtwana!

Kwa watu wa Pwani, mke sio jukumu lake kabisa 'kutafuta ugali!'
 
Kuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako!

Makabila bora kabisa kupata mke ni:

1. Wabena
Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi wakitulia wametulia

2. Wakinga
Hawa ni watu wapambanaji sana pamoja na kua wana focus kwenye hela sana ila bado ni watu wa kujali familia na si rahisi kukuta mke kamuacha mumewe kisa uchumi

3. Waha
Hili kabila wanaongoza kwa kuchapa kazi pia wake zao ni wavumilivu. Mwanamke wa kiha hawezi kukuacha kisa mnapitia wakat mgumu kiuchumi pia wanajua sana biashara

4. Wahehe
Hawa nao wanawake wao wako poa sana shida ni hasira ya kujinyonga ingawa hii ipo sana kwa wanaume. Ila ukipata mke wa kihehe umeopoa

5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana

6. Wasukuma
Hawa pia ukipata mke wa ndani huko wanatulia ila wakiwa mjini utaelewa.

KIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini

Haya hii ni kutokana na Experience yangu. Kama kuna watu wameoa haya makabila na wanadumu usisite kuweka ushahidi.

Kama kuna mengine au maoni tofauti pia karibuni.

View attachment 2883317
Mbona hao wengine wanaongoza kwa ukimwi shida ni nini kama wametulia
 
Back
Top Bottom