Sema ni asili ya uarabu kutokana na jamii hizo kutawaliwa na waarabu.Ni asili ya wa pwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema ni asili ya uarabu kutokana na jamii hizo kutawaliwa na waarabu.Ni asili ya wa pwani
Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako, wa Pwani hawakufai.Pwani ipi mkuu,,
hawa dakika mbili mbele
Kukuachia nyumba na mtoto kichanga haoni kazi
Mbona waarabu hawapo hivyoSema ni asili ya uarabu kutokana na jamii hizo kutawaliwa na waarabu.
Mkuu hao wamachame, SI ndo Wana watanguliza waume zao mbele za haki!!Machame.
Kama mchagga....mke anadai taarifa ya mapato na matumizi ya pesa ya familia. Hiyo ndiyo chachu ya maendeleo ya familia.Oa kutoka kabila linaloishi mfumo dume. Tena ule pure kabisa.
Mbona hao wengine wanaongoza kwa ukimwi shida ni nini kama wametuliaKuna makabila ambayo ukiowa huko hutakaa ujute kwene maisha yako!
Makabila bora kabisa kupata mke ni:
1. Wabena
Hawa watu ni wavumilivu na wanajali familia. Si watu wa tamaa tamaa au wazinzi wakitulia wametulia
2. Wakinga
Hawa ni watu wapambanaji sana pamoja na kua wana focus kwenye hela sana ila bado ni watu wa kujali familia na si rahisi kukuta mke kamuacha mumewe kisa uchumi
3. Waha
Hili kabila wanaongoza kwa kuchapa kazi pia wake zao ni wavumilivu. Mwanamke wa kiha hawezi kukuacha kisa mnapitia wakat mgumu kiuchumi pia wanajua sana biashara
4. Wahehe
Hawa nao wanawake wao wako poa sana shida ni hasira ya kujinyonga ingawa hii ipo sana kwa wanaume. Ila ukipata mke wa kihehe umeopoa
5. Wakurya
Ukipata mke wa kikurya toka ukuryani kabisa na ukawa unampa shoo za kibabe huwezi mkuta anahangaika. Changamoto kama kitandani ni shida hamuwezi elewana
6. Wasukuma
Hawa pia ukipata mke wa ndani huko wanatulia ila wakiwa mjini utaelewa.
KIMBEMBE OA
Pwani, Tanga, Lindi au Kaskazini
Haya hii ni kutokana na Experience yangu. Kama kuna watu wameoa haya makabila na wanadumu usisite kuweka ushahidi.
Kama kuna mengine au maoni tofauti pia karibuni.
View attachment 2883317
NakaziaKila kabila Lina staili yake ya kuishi nae.
Huwezi ishi na mwanamke wa kikurya Kwa staili ya mke wa pwani au wa pwani kwa staili ya kikurya hamtowezana
Baba huyo uliyempa no 1.Alikimbia na kishika uchumba changu tena na Mimba ya mwanaume mwingine .
Tinna sitakusahau,Kama unataka ku lamba wembe oa kabila
Makabila htosumbuka
Waha
Wakurya
Wahangaza
Wachaga,(inategemea)
Maasai
Recommendation ni waha,na wakurya hao wengine vicheche tuu
Wamasai
Wamasai
Kwa jinsi ulivyowasilisha mada yako, wa Pwani hawakufai.
Wewe unataka mke mvumilivu sana, mchapakazi sana, mpambanaji sana, nk, nk...
Mkuu, wewe unatafuta mtumwa, au mtwana!
Kwa watu wa Pwani, mke sio jukumu lake kabisa 'kutafuta ugali!'
Hahahaha una chuki na wanambeya wewe sio bure.Ndiyo nimeishi Iringa,mbeya na songwe,na kwa uzoefu wangu Iringa na songea ndio zinaongoza kwa pisi Kali,mbeya kwenye shape iondoe kabisaaa