Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Wajinga wanashangilia badala ya kujiuliza kulikoni mambo haya!!!
 

ATCL na Tanroads ni makazi ya Malaika mkuu! CAG ni nani hata aweze kusogelea makao matakatifu!
 
Hili donge kwa maendeleo yanayofanywa na serikali ya awamu ya 5..
 
Profesa Makame Mbarawa ni waziri wa ujenzi? Eti huyu ndiyo akili kubwa ya chadema anayetegemewa ni aibu.
Soma vyema. Hiyo ni sehemu ya mchango wa Mbunge Silinde Bungeni wakati uliopita. Punguza kukurupuka na kuona umepata cha kukosoa. Jibu hoja: kwanini ukaguzi wa CAG haufanyiki ATCL na Tanroads?
 
Ni wi, wizi wizi tuu
 
Jamani mambo mnayonadili serikali ilishasema si ya uwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…