ulaya12
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 834
- 907
Hata kwenye migodi CAG amepigwa stop kwenda kukagua.cha kushangaza mbona awamu ya 4 ilikuwa ina kaguliwa tatizo ni nini kama siyo upigaji.Aaisee pesa zote hizo af watoa kodi maisha magumu hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kwenye migodi CAG amepigwa stop kwenda kukagua.cha kushangaza mbona awamu ya 4 ilikuwa ina kaguliwa tatizo ni nini kama siyo upigaji.Aaisee pesa zote hizo af watoa kodi maisha magumu hivi
Siku ukijua kutofautiana l na r nitakuoa uwe mke wa tatu! Mzalamo ndio nini wewe kilaza na mpumbavu wa kijani? Ndio maana huyo mwenyekiti wenu anawachana kwa mitusi kila uchwao nanyi mnashangilia tu kikasuku!Akili yako haina akili kilaza mkubwa.
Kwa hiyo wewe ulichoona ni hicho tu?Profesa Makame Mbarawa ni waziri wa ujenzi? Eti huyu ndiyo akili kubwa ya chadema anayetegemewa ni aibu.
Awamu hii nadhan upigwaji umekua wa kiwango cha juu aisee af meko Anasema tutembee kifua mbele mabega nyuma...analeta ndege huku unga umepanda bei madaraja yanaondoka n.a. maji yaan hata kweny kilimo huyu jamaa hajagusa wakat 75%ndo shughuli ya watanzaniaHata kwenye migodi CAG amepigwa stop kwenda kukagua.cha kushangaza mbona awamu ya 4 ilikuwa ina kaguliwa tatizo ni nini kama siyo upigaji.
kosa la mwandishi hali haribu ukweli wa hii maada.Umesema waziri wa ujenzi,uchukuzi na mawasiliano ni Prof Makame Mbawala?Endelea kuota brother
Bashite anawaita wa upinzani mzigo hawana wanachokifanya hivi kweli?Hao ndiyo wabunge tunao wahitaji hapa Tanzania maana wanakerekwa na mayumizi mabovu ya kodi zetu
Na mpwaeNa mwanawe
Fedha zetu ni za familia.Kama ni wasafi kwann wanaogope uwaziTunapigwa sana jamani maamuzi magumu yafanyike bila kujali chama tuweke utaifa mbele.
Nalog off
Yeye kafanya nn,mkoa umemshindaBashite anawaita wa upinzani mzigo hawana wanachokifanya hivi kweli?
Hakuna msafi hapoFedha zetu ni za familia.Kama ni wasafi kwann wanaogope uwazi