Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Hii ndio Serikali ya wanyonge!
Serikali ya kupambana na rushwa na ufisadi!
serikali ya viwanda!
Sirikali ya kumkomboa maskini!
Serikali ya kazi tu!

Kama hii ni Serikali inayopambana na rushwa na ufisadi hadharani, kwanini :

1. Matumizi katika Ofisi ya Raisi hayapaswi kukaguliwa na CAG?

2. Ununuzi wa ndege na shirika la ATCL halipaswi kukaguliwa na CAG?

3. Matumizi ya fedha za walipa kodi katika TANROADS hayapaswi kukaguliwa na CAG?

4. Mapato katika sekta ya Madini hayapaswi kukaguliwa na CAG?

Binafsi, nilipoona katika mwaka wa kwanza wa fedha wa awamu hii ya tano, kiasi cha Tsh.1.5 T hazijulikani matumizi yake ndio nilijua nini maana ya Hapa Kazi Tu!.
 
Mbunge ahoji kwanini CAG hajafanya ukaguzi ATCL, Tanroads

Mbunge huyo amehoji akitaka kujua ukaguzi huo uelezwe kwanini haujafanyika ili isije ikawa hela zinapigwa


Mbunge wa Momba (Chadema), David Silinde amemtaka Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kueleza sababu za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kutofanya ukaguzi katika Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na Wakala wa Barabara (Tanroads).

Akizungumza katika mjadala wa bajeti hiyo leo Jumatatu, Aprili 23 bungeni mjini Dodoma, Silinde amesema, “Kuna usiri gani wa kuleta taarifa ya ukaguzi wa ATCL bungeni. Isije kuwa tunapigwa fedha kupitia shirika hili. Tunataka waziri atueleze sababu ni nini?

“Pia ukaguzi wa Tanroads nao hauonekani na kuna taarifa huko mitaani kuna miradi hewa ya barabara iliyogharimu Sh282bilioni, tunataka kujua thamani ya barabara zinazojengwa kupitia ukaguzi wa CAG. Mtueleze kwanini hauletwi hapa bungeni.”


Kwa mfano: Hii Kampuni iliyokula Bilioni 14 bila kujenga hata mita moja pamoja na umuhimu wa barabara ya Makutano, Natta, Mugumu, Loliondo mpaka Mto wa Mbu kwa utalii Serengeti ndio imejenga Chato Airport, unajua kwanini?


View attachment 1245587

Yaani concept nzima ya misingi ta serikali kama mfumo imekua compromised!

Aisee

Jiwe hafai kabisa!

Kuna tukio atafanya litavunjia mbali kila kitu maana amekua anavunja misingi mbalimbali tunamuangalia na kumchekea!

Wait and see!
 
Yaani concept nzima ya misingi ta serikali kama mfumo imekua compromised!

Aisee

Jiwe hafai kabisa!

Kuna tukio atafanya litavunjia mbali kila kitu maana amekua anavunja misingi mbalimbali tunamuangalia na kumchekea!

Wait and see!
Mange alijaribu kuamsha amsha,siku ya maandamano pale dar wakaibuka watu kama 7 tu wengine wote ndukiii.

Jiwe anajua atafanya chochote na cha kumfanya hatuna,tutapiga kelele hapa wee lkn utekelezaji ni ZERO.
 
Mange alijaribu kuamsha amsha,siku ya maandamano pale dar wakaibuka watu kama 7 tu wengine wote ndukiii.

Jiwe anajua atafanya chochote na cha kumfanya hatuna,tutapiga kelele hapa wee lkn utekelezaji ni ZERO.

Mkuu

Kuna kitu mahali,akikosea kitawaka!

Paka ukimpiga sana ukutani,ataweza geuka akakufanyia kitu ukashangaa!

Unapomkandamiza mtu kiasi kwamba akawa katikati ya kifo na na wewe,atakuua ili yeye aepuke kifo!
 
Hii ndio Serikali ya wanyonge!
Serikali ya kupambana na rushwa na ufisadi!
serikali ya viwanda!
Sirikali ya kumkomboa maskini!
Serikali ya kazi tu!

Kama hii ni Serikali inayopambana na rushwa na ufisadi hadharani, kwanini :

1. Matumizi katika Ofisi ya Raisi hayapaswi kukaguliwa na CAG?

2. Ununuzi wa ndege na shirika la ATCL halipaswi kukaguliwa na CAG?

3. Matumizi ya fedha za walipa kodi katika TANROADS hayapaswi kukaguliwa na CAG?

4. Mapato katika sekta ya Madini hayapaswi kukaguliwa na CAG?

Binafsi, nilipoona katika mwaka wa kwanza wa fedha wa awamu hii ya tano, kiasi cha Tsh.1.5 T hazijulikani matumizi yake ndio nilijua nini maana ya Hapa Kazi Tu!.
Asante
 
Makuhani wa unafiki na uongo hawaonekani kwenye hii thread.

CCM ni kansa kwenye hii nchi yetu.
Ila ipo siku CCM itaondoka kama alivyoondoka firauni,tena kwa udhalilifu wa hali ya juu.

Mi CCM Hujiona wao ndio wazalendo kumbe mijizi na mifisadi mikubwa.
 
Makuhani wa unafiki na uongo hawaonekani kwenye hii thread.

CCM ni kansa kwenye hii nchi yetu.
Ila ipo siku CCM itaondoka kama alivyoondoka firauni,tena kwa udhalilifu wa hali ya juu.

Mi CCM Hujiona wao ndio wazalendo kumbe mijizi na mifisadi mikubwa.
Wezi mda sana ndugu.
 
Tungepata nafasi ya kumhoji mh Rais sababu za kumtoa professor Musa Asad kwenye nafasi ya CAG na kumteua Kichere kuchukua nafasi sidhani kama angeweza kutupa majibu ya kuridhisha.

Awamu hii ukiwa mzalendo na kufanya kazi kwa weledi unaonekana ni kikwazo. Kuna nn nyuma ya pazia?
 
Nampongeza sana Mkuu kwa mengi mazuri anayofanya, na naomba aendelee kuchapa kazi na ikiwezekana akimaliza muda wake anikabidhi mimi kijiti ili nifanye makubwa zaidi yake.

Pamoja na mengi mazuri anayofanya kama elimu bure, mikopo elimu ya juu, kuzuia wizi na udanganyifu wa mitihani ya taifa, kuwanyoosha mafisadi mpaka kutapika hell walizokula ingawa la EPA limekuwa gumu etc

Najiuliza sana maswali yasiyo na majibu. Nasikia Shirika la Ndege halikaguliwi mahesabu yake na CAG, je ni kweli? Na kama ni kweli kitu gani kinafichwa hapo? Ina maana wananchi hawana haki ya kujua matumizi ya kodi yao? Au kuna jambo gani la siri linafanya?
 
Mkuu ATCL huwa inakaguliwa. Pamoja na mambo mengine aliyoyabaini katika ukaguzi huu ni kwamba hasara ndani ya shirika hilo inapungua.
 
Nampongeza Sana mkuu kwa mengi mazuri anayofanya , na naomba aendelee kuchapa kazi na ikiwezekana akimaliza mda wake anikabidhi Mimi kijiti ili nifanye makubwa zaidi yake ..

Pamoja na mengi mazuri anayofanya Kama elimu bure , Mikopo elimu ya juu, kuzuia wizi na udanganyifu wa mitihani ya taifa , kuwanyoosha mafisadi mpaka kutapika hell walizokula ingawa la EPA limekuwa gumu etc

Najiuliza Sana maswali yasiyo na majibu ,

Nasikia shirika la ndege halikaguliwi mahesabu yake na CAG , je Ni Kweli ? Na Kama Ni Kweli kitu gani kinafichwa hapo? Ina maana wanainchi hawana Haki ya kujua matumizi ya Kodi yao ? Au Kuna Jambo gani la Siri linafanya ?
CAG Assad hakuruhusiwa kuikagua ATCL kwa sababu zilizo wazi.
CAG Kichere ataruhusiwa kuikagua ATCL vile ripoti ya ukaguzi itaandaliwa kule kijijini kwetu!
 
Mkuu ATCL huwa inakaguliwa. Pamoja na mambo mengine aliyoyabaini katika ukaguzi huu ni kwamba hasara ndani ya shirika hilo inapungua.
Kwa mwaka wa pili hakujakaguliwa sijajua unaosema wanakagua ni akina nani..ila Mwaka huu patakaguliwa vizuri tuu kwa sababu CAG ni chaguo letu.
 
Mkuu ATCL huwa inakaguliwa. Pamoja na mambo mengine aliyoyabaini katika ukaguzi huu ni kwamba hasara ndani ya shirika hilo inapungua.
Una uhakika kuwa ATCL inakaguliwa? Je inakaguliwa na CAG?
 
Mkuu ATCL huwa inakaguliwa. Pamoja na mambo mengine aliyoyabaini katika ukaguzi huu ni kwamba hasara ndani ya shirika hilo inapungua.
Mkuu ilikuwa inakaguliwa zamani kabla ya kuhamishiwa ofisi ya Rais ambayo CAG harusiwi kuikagua.
 
Mkuu ATCL huwa inakaguliwa. Pamoja na mambo mengine aliyoyabaini katika ukaguzi huu ni kwamba hasara ndani ya shirika hilo inapungua.
Ripoti gani ya CAG iliobaini hayo?
 
Nampongeza sana Mkuu kwa mengi mazuri anayofanya, na naomba aendelee kuchapa kazi na ikiwezekana akimaliza muda wake anikabidhi mimi kijiti ili nifanye makubwa zaidi yake.

Pamoja na mengi mazuri anayofanya kama elimu bure, mikopo elimu ya juu, kuzuia wizi na udanganyifu wa mitihani ya taifa, kuwanyoosha mafisadi mpaka kutapika hell walizokula ingawa la EPA limekuwa gumu etc

Najiuliza sana maswali yasiyo na majibu. Nasikia Shirika la Ndege halikaguliwi mahesabu yake na CAG, je ni kweli? Na kama ni kweli kitu gani kinafichwa hapo? Ina maana wananchi hawana haki ya kujua matumizi ya kodi yao? Au kuna jambo gani la siri linafanya?
JIWE ameyaweka IKULU, ni kama TISS nao hawakaguliwi na IKULU nayo haikaguliwi, sasa MUNGU pekee ndiye anaona namna MAJIZI YA KIJANI YANAVYOKULA ATCL
 
Huo ni uthibitisho pasipo shaka yoyote kuwa hilo shirika ambalo limewekwa chini ya uangalizi wa ofisi ya Rais, ndilo "linaloongoza" kwa ufisadi nchini!
 
Back
Top Bottom