Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Sehemu ambazo CAG haruhusiwi kusogelea: ATCL na Wakala wa Barabara - TANROADS. Unajua kwa nini?

Conman anaifilisi hii nchi, ccm oyeeeee kwa kutuletea jembe la ufisadi.
CCM OYEEEEEEEE
IMG_20191027_135536.jpeg
 
Bora aifute ofisi ya CAG, wanalipwa mishahara bila kazi za kufanya! Awamu ya 5 ni upigaji tu!
Intarahamwe anajifanya mzalendo kwenye nchi isio yake. eti kagame ndio amenifundisha uongozi. Amekufundisha uongozi au upigaji?
Asante sana mkuu.
 
Kashindwa kuwaondoa machangudoa,
Kashindwa kuwaondoa kina Matonya, kashindwa kulazimisha kila ofisi kuweka picha ya rais
Kashindwa kuwapima watu tezi dume
Ajawahi fanikiwa jambo lolote
 
Mbunge ahoji kwanini CAG hajafanya ukaguzi ATCL, Tanroads

Mbunge huyo amehoji akitaka kujua ukaguzi huo uelezwe kwanini haujafanyika ili isije ikawa hela zinapigwa


Mbunge wa Momba (Chadema), David Silinde amemtaka Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa kueleza sababu za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kutofanya ukaguzi katika Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) na Wakala wa Barabara (Tanroads).

Akizungumza katika mjadala wa bajeti hiyo leo Jumatatu, Aprili 23 bungeni mjini Dodoma, Silinde amesema, “Kuna usiri gani wa kuleta taarifa ya ukaguzi wa ATCL bungeni. Isije kuwa tunapigwa fedha kupitia shirika hili. Tunataka waziri atueleze sababu ni nini?

“Pia ukaguzi wa Tanroads nao hauonekani na kuna taarifa huko mitaani kuna miradi hewa ya barabara iliyogharimu Sh282bilioni, tunataka kujua thamani ya barabara zinazojengwa kupitia ukaguzi wa CAG. Mtueleze kwanini hauletwi hapa bungeni.”


Kwa mfano: Hii Kampuni iliyokula Bilioni 14 bila kujenga hata mita moja pamoja na umuhimu wa barabara ya Makutano, Natta, Mugumu, Loliondo mpaka Mto wa Mbu kwa utalii Serengeti ndio imejenga Chato Airport, unajua kwanini?


View attachment 1245587

Mayanga ndio mkandarasi wa Chato Airport? Hivi Mayanga ana projects ngapi za umma sasa hivi?
 
Ofisi yenu ufipa haikupitia hii kabla ya kupost au ndiyo uwezo wenu umeisha hapo.
Yaani hujui hata Professor Mbarawa ni Waziri ktk Wizara gani?
Soma uelewe usikurupuke unajidhihirisha
 
Back
Top Bottom