Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maana watanzania hamuendelei kila siku kuwaza negativity tuuHizi style zingine za kunasa warembo,ni shidaaa!
mkoa gan na wilaya ili nitue directlyNenda Double Tree by Hilton.
poaWilaya ya kinondoni,mkoa wa Dar es salaam.
hoetel inaitwaje,Njoo keko magurumbasi
Kwani wewe waonaje?samahani mkuu naomba usicheze mbali na mahitaji ya mada
Hahahaha[emoji1] [emoji2] [emoji3]toka hapa
mkoa gan na wilaya ili nitue directly
Nasikia PM imejaa SMS za application tayari!Hizi style zingine za kunasa warembo,ni shidaaa!
Daaah!!! Kuna mabebi wanapendwa kweli kweli yaani!.... Wewe unapendwa kama huyu babe wa huyu jamaa mwenye huu uzi dear?Kumbe wewe si mwanaume wa dar...
Wanaume wa mkoani bana!!!
Wewe siyo superstar wala nini! Unazingua watu tu hapa. Rejea Uzi wako huu
nina degree ya sheria nabadilishana kituo chako
Hivi uliwahi kuona MTU yenye hela inauliza eneo zuri la kula bata??Njaa imemzunguka....angekuwa anazo kama anavyojinadi angefungua law firm dar siyo kulia lia kubadilishana vituo vya kazi.
Huyu mwanash
mazingira niliyopo, nilikosoma, mitaa ninayopita na ukiweka social networks ndo nakwambia najulikana. acha wivu mkuu. mionekano yetu yetu inatupaisha. we tulia wala mimi sipend sema mola kaniumba ivo. totoz kibao wananitamani, sema mwanamke hajaiumbwa na ujasiri wa kuanza kutongoza mwanaume anaanza kama ingekua hivo mmmmh sijui kwa kwelWewe star hapa mjini halafu haujui viwanja? Labda kama ni yule aliyechorwa kwenye rangi za nyumba za gold star.