Sehemu gani nzuri kupumzika Dar es Salaam na baby?

Sehemu gani nzuri kupumzika Dar es Salaam na baby?

We sema unataka ukamtafune mke wa mtu tu huko chimbo
Kama ni baby wako kwa nini hutaki watu wakuone?
 
Kumbe wewe si mwanaume wa dar...
Wanaume wa mkoani bana!!!
Daaah!!! Kuna mabebi wanapendwa kweli kweli yaani!.... Wewe unapendwa kama huyu babe wa huyu jamaa mwenye huu uzi dear?
 
Mmmmh uko vizuri bro kwa usawa huu wa magufuru unawaza bata la week nzima per day si chini ya laki 4 na nusu mara saba M 3 kama na laki 2 ivi na ukifikiria kibinadamu kuna watu wanakata roho mahospitalini wakizaa kwa kukosa gloves nesi kagoma kumchomolea mtoto...kwa haraka haraka elf 30 ingeokoa maisha yake ila hana fanya mpango bro iyo bata nenda hata siku moja tu pesa ingine kasaidie watu mahospiyalini wanateseka najua unahamu xana na bata la mda mrefu... plz kwa kutokukuunga mkono asilimia 100
 
Njaa imemzunguka....angekuwa anazo kama anavyojinadi angefungua law firm dar siyo kulia lia kubadilishana vituo vya kazi.
Huyu mwanash
Hivi uliwahi kuona MTU yenye hela inauliza eneo zuri la kula bata??
Unaagiza uangaliziwe eneo zuri na watu wako..ghafla unaenda!
 
-Tanzania ya viwanda itakuja tu endapo vijana wa mwendokasi wakibadili fikra zao.
 
Wewe star hapa mjini halafu haujui viwanja? Labda kama ni yule aliyechorwa kwenye rangi za nyumba za gold star.
 
Wewe star hapa mjini halafu haujui viwanja? Labda kama ni yule aliyechorwa kwenye rangi za nyumba za gold star.
mazingira niliyopo, nilikosoma, mitaa ninayopita na ukiweka social networks ndo nakwambia najulikana. acha wivu mkuu. mionekano yetu yetu inatupaisha. we tulia wala mimi sipend sema mola kaniumba ivo. totoz kibao wananitamani, sema mwanamke hajaiumbwa na ujasiri wa kuanza kutongoza mwanaume anaanza kama ingekua hivo mmmmh sijui kwa kwel
 
Back
Top Bottom