Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina hela maana wanawake siku hizi wanadai kuwa hata kondoo ana korodani ila anakosa fedha. Hivyo hela kiduchu nilizo nazo nahangaika na sabuni. Kama unazo nitumie MPesa ila najua na wewe mwenzangu ni kapuku ingawa ni tejaya nini ujisumbue na misabuni huko? unavuta ubo.o hadi unakaribia kukatika, kwani sabuni inatabasamu? inaongea? inakupa denda/ acha ku assume mjinga wewe. mwanamke ana raha yake wewe ingelikua hana thaman angekua mnyama pori basi na sio mwanadamu mwenzetu
hapana we hua kitu, mvuto wa kimapenzi huna, pesa huna sasa mwanamke gani akutake ndugu yangu embu katafute hela bwana angalau uwapate mamantilie angalai watakuliwazaMimi si saizi yako maana mie wanawake warembo huwa wananikimbia kwa vile ni sura mbaya na nimepigwa mhuri usoni unasomeka kuwa sina Hela ila mwenzangu ndoto za kiteja za mchana zinakusumbua
nishajua kwa nini mashoga wengi wana historia ya umaskiniSina hela maana wanawake siku hizi wanadai kuwa hata kondoo ana korodani ila anakosa fedha. Hivyo hela kiduchu nilizo nazo nahangaika na sabuni. Kama unazo nitumie MPesa ila najua na wewe mwenzangu ni kapuku ingawa ni teja
sitaki hiyoStand ya ubungo
hongera mkuu una constructive ideas lakin hapa si mahali pake, kwanza uzi unasemaje? mkuu samahani sana usitake ugomvi na mimi tafadhaliNatafuta sehemu hapa mjini nifungue duka la vifaa vya ujenzi
Wa Mkoaniii tabuuKumbe wewe si mwanaume wa dar...
Wanaume wa mkoani bana!!!
Sasa si unataka utulivu na mabwawa yakuogelea bro? Mabwepande fresh tuhuko ni kwa nyani sio gentleman like me. alaa
Haha anatafuta Kiki hNjaa imemzunguka....angekuwa anazo kama anavyojinadi angefungua law firm dar siyo kulia lia kubadilishana vituo vya kazi.
Huyu mwanash
Hivi unajua mamantilie wanaingiza kiasi gani kwa siku? Kweli wewe ni mwenzangu wanawake unawaona katika sreen za kimchina chako tu. Sasa pumzika kidogo usilete aibu tena hata watoto wazuri akina amu wanakudharauhapana we hua kitu, mvuto wa kimapenzi huna, pesa huna sasa mwanamke gani akutake ndugu yangu embu katafute hela bwana angalau uwapate mamantilie angalai watakuliwaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu!!hongera mkuu una constructive ideas lakin hapa si mahali pake, kwanza uzi unasemaje? mkuu samahani sana usitake ugomvi na mimi tafadhali
Kwaiyo hata hii thread umeifungua ufuraishe watu??????....mkuu tulia, threads nyingne huwa nafungua kufurahisha watu ila hazina ukweli wowote.
nakwambia me sio muongo kwa walosoma na mimi kwanzi primary had vyuo,. na mitaa na popote mademu kwangu ni kero, hii hadi mijimama na vikongwe. mimi sitaki sema huwa nalazimisha tuu. ila mkuu fanya kunyamaza tuu.
Ungelikuwa mwanaume rijali usinge msema hivi mke wako: Mke wangu anazidi kuwa kibongenishajua kwa nini mashoga wengi wana historia ya umaskini
nope sasa wewe kama umesoma na kuelewa unahitaji nini tena, ningelikua nadanganya siungesha jua. hizo nyigne nin story but real sasa nahitaji kujichana mambo ya shida nataka kwa kiasi flani niyasahauKwaiyo hata hii thread umeifungua ufuraishe watu??????....
Kwan c mwanamke? au mbona ukiona comment zangu unazifuatilia?, we sio mwanaume au Basi Gayna wewe acha umbea, vipi mipasho umeacha mwanaume mwenzangu?
Wewe unadhani million 40 unazojidai unazo unaweza kula bata na hata mama ntilie kwa wiki? Reference: laptop/dektop nzuri kwa gaming na graphicshuko ni kwa nyani sio gentleman like me. alaa
sijaona ile threa nilifungua kufurahisha watu na mimi mwenyewe nipoteze mawazo. mimi ni kijana tuu mdodo na miaka 25 kuona ni mpaka 27 kuna kitu namalizia kukifanyia tafiti ndo nikichukue nyumbaniUngelikuwa mwanaume rijali usinge msema hivi mke wako: Mke wangu anazidi kuwa kibonge