Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Haha 40 millions duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuliza hasira mkuu mi nakuchana live. una tabia za kike, hivi kwanza una umri nduguKwan c mwanamke? au mbona ukiona comment zangu unazifuatilia?, we sio mwanaume au Basi Gay
pesa ipo baba nimeitafuta kwa jasho, lazima niitumuie vilivyoHaha 40 millions duh
tulia mkuu ile ni bajeti kwa ajili ya mambo mengine tena simumui pesa computer na nunua vitu hisika kabisa kwa ajili ya ps games n.k niingize mkwanjaWewe unadhani million 40 unazojidai unazo unaweza kula bata na hata mama ntilie kwa wiki? Reference: laptop/dektop nzuri kwa gaming na graphics
Umesahau hii: big giftsijaona ile threa nilifungua kufurahisha watu na mimi mwenyewe nipoteze mawazo. mimi ni kijana tuu mdodo na miaka 25 kuona ni mpaka 27 kuna kitu namalizia kukifanyia tafiti ndo nikichukue nyumbani
Imetosha umeishajulikanatulia mkuu ile ni bajeti kwa ajili ya mambo mengine tena simumui pesa computer na nunua vitu hisika kabisa kwa ajili ya ps games n.k niingize mkwanja
Ulete mrejesho mkuu,ikibidi Na picha kabisawatu tunaponda starehe zetu unasema bangi mweee we jidanganye
sitaki, picha na umaarufu ndo ninachokikwepa hapaUlete mrejesho mkuu,ikibidi Na picha kabisa
okay.Imetosha umeishajulikana
Kwanza jifunze kuandika anza na herufi kubwa kwa kila sentensi ndipo utuhubirie yatokanayo na utejawapi wewe, mimi apart from my job ya sheria mimi pia ni mjasiria mali nafahamu vizuri hivo vitu, sio kila mama ntilie anaingiza pea nzuri, angalia sehemu alipo na wateja wanaochukua huduma kwake. sio siku nzima anaenda mtu 5 anapika sufuria moja useme anaingiza pesa kikweli hatab kama anafaidia itamchukua mda sana kufikia malengo yake lakini pia nin sehemu nzuri ya kuanzia, from zero to hero. huyo jamaa mwenye njaa atapata faraja kwa hawa watu wadogo wanaoanza
ok[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu!!
Mtu wa kutafuta faragha nzuri ni wakike, wewe sehemu nzuri ya kupumzika ni yeye.hapana, tatizo usafi, we unataka uniambie niende vigesti vya ajabu vinavyonuka magodoro na wengine wamekunya kabisa huko sababu ule mchezo wa tiGO umetawala na nakuhakikishia nimetoka mbali sana, saivi na hitaji huduma za maana. ngoja nimalizie mjengo wangu kimara kwanza nianza kujimwaga ntakavo, mbwa mkali na mlinzi na gate moja ya nguvu na ukuta mzito sihitaji kelele
sawa wameumbwa kwa ajili yetuMtu wa kutafuta faragha nzuri ni wakike, wewe sehemu nzuri ya kupumzika ni yeye.
ok mkuu ntajiandaanenda sadan mkuu, pazuri sana mm nilikuwa kule nimeenjoy sana
wanadamu wana wivu sanaHahaaaa inamaana mtu ukifungua thread unatafutuwa cv yako ya nyumaa hahaaaa JF nomaaa
yaa, kuna tatizo linanisumbua la vumbi, atleast dar nkiwa na usafiri wangu itakua poaMkuu Big Fit juzi tu hapa ulikuwa unaomba kubadili kituo cha kazi kutoka Morogoro kuja Dar kwa sababu za kiafya. Three days leo unasaka mahali pa kustarehe. Anyway una haki ya kutumbua pesa zako utakavyo kwani ni zako na hakuna aliyekusaidia kuzisaka. Double Tree ukiomba Presidential suite hutajuta.
![]()