Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu. Pole kwa tatizo hilo. I hope utapona permanently.yaa, kuna tatizo linanisumbua la vumbi, atleast dar nkiwa na usafiri wangu itakua poa
za leo wana MMU.
natafta sehemu moja tulivu iliyotulia inapiga mzika wa taratibu wa polepole huku swimming pool ya private ipo i mean nataka self contained room na swimming pool sitaki watu wanione sababu ni star mimi nafuatiliwa kinoma so staki picha zangu zisambazwe maana najua wadadaz lazima wanipige picha na wale ninaofahamiana nao unajua ukiwa handsome hata kama huna time na mademu lazima watakufata tuu.
nataka chumba kiwe na screen ya maana wakati nimpuzika na mpenzi wangu niangalie muvi na mambo mengine ya kufurahisha nafsi yangu nisahau shida zangu zote.
napenda juicy, matunda na nyama choma hasa mbuzi choma huku bibie akitabasamu na kunionyesha mashaalah mambo yake alojaliwa na muumba, juicy pembeni tudumbukie swimming tochezeane huku tunakata juicy mdogo mdogo baada ya hapo ni chumbani tukajimwage kwa raha zetu, kumbuka hii ni zaid ya paradise life yan ni batta moja hatari sana haijawah tokea katika ulimwengu huu wa wapendanao.
plz mliowahi kutumia/mnazijua nipeni bei na kama vipi kama mna picha nitumieni nijue vyema eneo lenyewe naloenda kuvinjari, just for one week or more depend on my baby decision.
huku nisaidia tena mkuu hile ishu yangu, me naona hapa umekua makini klweli kushirikiSawa mkuu. Pole kwa tatizo hilo. I hope utapona permanently.
nitacheki hayo maeneo mkuuNjoo hapa Micasa pub Ubungo Riverside nipo hapa nimechill na mamsaap pia
ndo naanza mwanawaniPole sana.. jenga ya kwako..
sawa kwa hiyo nikusaiidiejeUkiona mtu anauliza bei ujue ana pesa za kuunga unga [emoji23][emoji23]
ndo lengo la kuleta huu uzi napenda kujifunzaSasa unasema bata moja hatari sana haijawahi kutokea katika ulimwengu huu alafu unauliza waliowahi kufanya wenye uzoefu wakwambie sehemu na bei! Mzima kweli wewe mdogo wangu?
Ww jamaa inaonekana maskin jeuri sana......au umebet ndo ukapata izo ela????sawa ntaiangalia pande yenyewe kama kuna viumbe wanaoichafua siend, staki hao wanaka chupi n.k mimi sitaki shida nahitaj maisha ya raha mustarehe bila kero yoyote
eti maarufu..hata hapo hupajui..mkoa gan na wilaya ili nitue directly
Livingstone nzi watoke wapi? Jaribu kugoogle uone palivyo ndio utaelewa nachokisema.duu mimi sitaki inzi ikishindikana nataka mjengo wa maana nijimwage peke yangu bila karaha yoyote ya kuzunguka na vinyemelezi. i need free, stable place where i can lay with my girl do some roman and serious love action
Sasa hapa unakosea mkuu. Watu tunachangia thread yako kistaarabu halafu unatukana watu kwa matusi yasiyo na chembe ya ustaarabu?sio kila anaetaka kubadilisha kitue ni yeye mimi kuna mtu namuandalia maeneo, sasa inakuuma nini? tulia wewe kwanza kaoge, your vgn smell like decayin fish, kama unashida sema nkusaidie maana naona umeukandia huu uzi sana