God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,033
- Thread starter
- #41
nitokee hapa ivi kwanza umetoka wapi kwenye huu uzi wa mapedejee wa tz?Kumbe wewe si mwanaume wa dar...
Wanaume wa mkoani bana!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitokee hapa ivi kwanza umetoka wapi kwenye huu uzi wa mapedejee wa tz?Kumbe wewe si mwanaume wa dar...
Wanaume wa mkoani bana!!!
povu la nini khaa kwani wanasheria hawana mkwanja? we una akili fupi jipime kwanza ndo ujibu mada. ustar=mkwanja. hatuongei ila pesa inatupaisha, ukichanganya na biznes zang za kawaida na kwambia kama ungenifahamu ungeamini nachokisema,Wewe siyo superstar wala nini! Unazingua watu tu hapa. Rejea Uzi wako huu
nina degree ya sheria nabadilishana kituo chako
Hahagaaaha! Jaribu kuwa mkweli tu. Acha kujisifia uongo.Naombeni ushauri nimekosa amanipovu la nini khaa kwani wanasheria hawana mkwanja? we una akili fupi jipime kwanza ndo ujibu mada. ustar=mkwanja. hatuongei ila pesa inatupaisha, ukichanganya na biznes zang za kawaida na kwambia kama ungenifahamu ungeamini nachokisema,
Akienda hata Google Earth atapata huyu hata mwandiko anaonekana anavyoota mchanaHivi uliwahi kuona MTU yenye hela inauliza eneo zuri la kula bata??
Unaagiza uangaliziwe eneo zuri na watu wako..ghafla unaenda!
nikuletee CV uone vyeti vyangu au?-Tanzania ya viwanda itakuja tu endapo vijana wa mwendokasi wakibadili fikra zao.
Ondoka kwenye hilo ombwe la ndoto za mchanawatu tunaponda starehe zetu unasema bangi mweee we jidanganye
Sawa Mkuu wangu. Usijali. Mimi nanyamaza. Nenda Double Tree by Hilton ipo pale Masaki. Ni nzuri Sana kaka. Hakika utafurahi.mkuu tulia, threads nyingne huwa nafungua kufurahisha watu ila hazina ukweli wowote.
nakwambia me sio muongo kwa walosoma na mimi kwanzi primary had vyuo,. na mitaa na popote mademu kwangu ni kero, hii hadi mijimama na vikongwe. mimi sitaki sema huwa nalazimisha tuu. ila mkuu fanya kunyamaza tuu.
Chu! Gashinaga mlibhinge geke ng'wenumu?Mhala sana bhageshi SHIMBA YA BUYENZE
Atakoma Leo na kisimu cha MchinaHahagaaaha! Jaribu kuwa mkweli tu. Acha kujisifia uongo.Naombeni ushauri nimekosa amani
usiwaze batta kwa sana yan mkuu kuwa na amaniSawa Mkuu wangu. Usijali. Mimi nanyamaza. Nenda Double Tree by Hilton ipo pale Masaki. Ni nzuri Sana kaka. Hakika utafurahi.
sipend umbea na hakika ikipangwa mechi ya kuzimiwa na mademu huniwez, becausee .............Atakoma Leo na kisimu cha Mchina
huu mchezo hauhitaji hasira mkuu, jikubali yaishe huna kitu, utazid kugoga wanawake wa kambi ya fisi tuu waathirina na wanuka chupiAkienda hata Google Earth atapata huyu hata mwandiko anaonekana anavyoota mchana
Kama ukmejiandaa vyema,nenda Lusaka au Livingstone Zambia,au Pemba. Lots of memories na umpendae zitatengenezwa huko.poa mdau, unajua mimio natafuna vitu certified, kwa usalama wa hali ya juu kwa sababu mimi ni master. nashukuru ngoja niyafanyie kazi hapo maeneo. ikishindikana ntaenda chi jiran za kenya na msumbiji sababu sipend paparazi kabisa
Mimi si saizi yako maana mie wanawake warembo huwa wananikimbia kwa vile ni sura mbaya na nimepigwa mhuri usoni unasomeka kuwa sina Hela ila mwenzangu ndoto za kiteja za mchana zinakusumbuasipend umbea na hakika ikipangwa mechi ya kuzimiwa na mademu huniwez, becausee .............
ndio wajanja wanaoibukiaHivi uliwahi kuona MTU yenye hela inauliza eneo zuri la kula bata??
Unaagiza uangaliziwe eneo zuri na watu wako..ghafla unaenda!
Hahahaha. Hii nayo typically umefungua kufurahisha watu.mkuu tulia, threads nyingne huwa nafungua kufurahisha watu ila hazina ukweli wowote.
nakwambia me sio muongo kwa walosoma na mimi kwanzi primary had vyuo,. na mitaa na popote mademu kwangu ni kero, hii hadi mijimama na vikongwe. mimi sitaki sema huwa nalazimisha tuu. ila mkuu fanya kunyamaza tuu.
Nawaitaga Shemeji tu Sabuni ndo my beloved wifehuu mchezo hauhitaji hasira mkuu, jikubali yaishe huna kitu, utazid kugoga wanawake wa kambi ya fisi tuu waathirina na wanuka chupi