Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

Sehemu gani nzuri Kwa Dar es Salaam Ya kutoka na Mpenzi?

MaT2B

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2019
Posts
658
Reaction score
2,081
Habari za jioni.

Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.

Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.

Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).

M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea

Mad Max,
 
Habari za jioni.

Mwisho wa wiki hii nataka kutoka na Mpenzi wangu.

Sehemu iwe imetulia(kusiwe na vurugu nyingi)
Chakula kizuri, Mziki kwa mbalii, Gharama isiwe kubwa sana( bajeti iwe <100K). Pia isiwe nje ya jiji sana.

Nilitaka kumpeleka kwa wahindi, skweez( tatizo hakuna mziki).

M.
Thread isindikizwe na wimbo wa Sea

Mad Max,
Sasa huyo manzi unajua k yake imepiga km ngapi mpaka uingie gharama zisizokuwa za lazima?
 
Back
Top Bottom