Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Mmh mtu humjui akushike vile nilivyoona? Hiyo sikuipenda.
Ila wakiweka miziki ya kubanjuka basi watu wanaruka haswa.

Sasa wakati nataka kuanza kutoka hoteli za maana najua nikitoka na 50000 siwezi imaliza yaana kila ijumaa lazima nitaanza kutoka.nimechoka kukaa ndani, ni mimi kazini home, no nataka kuanza kujipa raha kubaki ndani kama kufuri hapana.

Tena sasa hivi ndo wakati mwafaka ila sio club ni sehemu tulivu za starehe. Naenda saa mbili saa5 narudi.
Sasa mtu anayekujua anakubambiaje kiasi hiko kama sio mpenzi wako? Mimi nimefika chuo welcome first year,demu kaniomba nikambanbie nikakataa,ila siku hizi? Nipo tayari kutoa hela kwa ajili ya kubambia tu..Ndio fanya mpango uwe unatoka,kama una maisha ya home-kazini-home ni maisha yanayoleta upweke sana sometimes.Kama upo Mwanza Malaika nadhan patakufaa sana,hizo chai unazotaka zipo,ice cream pia.Then unaweza kwenda Cinema kama unapenda.
 
Ingia club elevate, hutojutia
Tatizo la mwanza haina choice pana za viwanja vikali vikali.

Ukiwa mwanza una wigo mdogo mno wa kuchagua viwanja vya maana.
hayazidi machaguo manne ya viwanja vikali.

Athari yake ni kwamba; ukiboreka na pub A, B, C, na D hakuna choice E, nk

Hata hiyo villa park nayo imefunguliwa tena juzi tu..lakn kuna wakt ililazimika kufungwa kwa sabab ya cris ya wateja.

Chaguo la site ya jembe ni jembe halipo tena.

Afterall mwanza haina wanywaji..
sijasema haina wadau wenye hela, N0.
Nachomaanisha mwanza haina watu spendful.

Watu ambao wana character za 'kutumia' wapo kahama na geita isipokuwa wanaponzwa na udogo wa miji yao.

Nje ya wikend, mwanza Ukienda pub nyingi saa 4 utakuta meza kibao zipo vacant.
 
Tatizo la mwanza haina choice pana za viwanja vikali vikali.

Ukiwa mwanza una wigo mdogo mno wa kuchagua viwanja vya maana.
hayazidi machaguo manne ya viwanja vikali.

Athari yake ni kwamba; ukiboreka na pub A, B, C, na D hakuna choice E, nk

Hata hiyo villa park nayo imefunguliwa tena juzi tu..lakn kuna wakt ililazimika kufungwa kwa sabab ya cris ya wateja.

Chaguo la site ya jembe ni jembe halipo tena.

Afterall mwanza haina wanywaji..
sijasema haina wadau wenye hela, N0.
Nachomaanisha mwanza haina watu spendful.

Watu ambao wana character za 'kutumia' wapo kahama na geita isipokuwa wanaponzwa na udogo wa miji yao.

Nje ya wikend, mwanza Ukienda pub nyingi saa 4 utakuta meza kibao zipo vacant.
Hii tabia ya meza kuwa reserved niliiona Bambalaga Dodoma, siku moja niko pale nakula vyangu pole pole mara mhudumu anatundika mezani kwangu bango table reserved, nikamwabia sitataka usumbufu maana nimekuta meza tupu haya ya reserved sitak kuja sumbuliwa, akanambia haina shida boss nikaona lile bango pale mezani limepotea.
 
Hii tabia ya meza kuwa reserved niliiona Bambalaga Dodoma, siku moja niko pale nakula vyangu pole pole mara mhudumu anatundika mezani kwangu bango table reserved, nikamwabia sitataka usumbufu maana nimekuta meza tupu haya ya reserved sitak kuja sumbuliwa, akanambia haina shida boss nikaona lile bango pale mezani limepotea.
Ulitakiwa umlambe na kofi juu huyo
 
Sasa mtu anayekujua anakubambiaje kiasi hiko kama sio mpenzi wako? Mimi nimefika chuo welcome first year,demu kaniomba nikambanbie nikakataa,ila siku hizi? Nipo tayari kutoa hela kwa ajili ya kubambia tu..Ndio fanya mpango uwe unatoka,kama una maisha ya home-kazini-home ni maisha yanayoleta upweke sana sometimes.Kama upo Mwanza Malaika nadhan patakufaa sana,hizo chai unazotaka zipo,ice cream pia.Then unaweza kwenda Cinema kama unapenda.
Kweli mkuu ila haya mambo ni mazoea, sasa hivi ka uwezo ninako naweza enda sehemu yoyote ila najikuta ijumaa jioni niko busy kuandaa kazi za j3 eti najikuta nimechoka naenda nyumbani.

No no this xmass kama sitosafiri sehemu zote za maana nitafika.wenda na mazuri yote nikakutana nayo huko huko.
 
Kweli mkuu ila haya mambo ni mazoea, sasa hivi ka uwezo ninako naweza enda sehemu yoyote ila najikuta ijumaa jioni niko busy kuandaa kazi za j3 eti najikuta nimechoka naenda nyumbani.

No no this xmass kama sitosafiri sehemu zote za maana nitafika.wenda na mazuri yote nikakutana nayo huko huko.
Jitahidi mama,wanasema ukiwa unatafuta maisha usisahau kuishi...vunja mfupa angali meno bado yapo.Lakini huna marafiki wakuzoeshe night life? Haya mambo yanaenda sana ukiwa na influence.
 
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.

Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.

Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Jiji ni moja tu Daslam
 
Alikupeleka middle class unapomfata mwambie kabisa unataka level ip isitoshe huyo sio mwenyeji kakpeleka hit za zamani

tutajie basi hit za kisasa, me karibia kila weekend nipo pale, hata mimi sielewi elewi, mpaka nawaambiaga masela wangu tusiwe tunalala tuwe tunaamsha, mbelembele...
 
Ndio utupe majibu hapa Mkuu, mfano hapo jengo la rock city mall mbona niliona parking zimejaa, kila anaezama ni ndinga unaanzAje kusema pa low class, pamoja na yote hayo ni paboooovu, taja hapa kiwanja hot Mwanza! Disco kali, vyakula full, ma Dj hot, na huduma mbali mbali. Otherwise utakuwa umeponda ila huna suluhisho

Atakwambia pale roundabout kwenye ile hotel chini....au Delmonte juu ghorofani...
 
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.

Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.

Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Sehemu za starehe utegemea unachopenda. Kuna watu wanapenda sehemu tulivu, kuna watu wanapenda vurugu na amshaamsha. Hapo villa navyojua mimi kuna sehemu karibu tatu. Kuna sehemu ya music live, pili kuna sehemu mziki umetulia kwa juu. Kule wanakaa weye fedha yao. Na tatu kuna club huko vibe la nguvu. Yote haya ni ndani humo humo Villa. Kama hakujabadilika ndo villa ilivyo.
Ila Mwanza maeneo mengi ya kuvinjali ni yaliyo tulivu huku ukipata hewa mwanana toka ziwa victoria.
Mwanza hawana club za kujazana na makelele, imepitwa na wakati. Maeneo ya kujirusha ni mengi ila watu wanaustaarabu wao. Vibe zinatofautiana! watu wanakula life kinamna huku fedha inateketea.
Wengi uenda Kijereshi campsite maeneo ya Seregenti kula maisha. Mambo ya kujazana club mwanza naona hawana sana. Wanaoenda starehe zinazoongeza afya ya mwili. Si unaenda starehe unarudi nyang'anyang'a.
 
Zamani kidogo shoga yangu alikuwa na graduation tumemaliza wakasema twende gold crest club kule underground si ndo mara ya kwanza naingia club!

Yesuuuu kuna baridi sio kwa Ac ile , kizuri pembeni kulikuwa na sofa safi mimi na shoga yangu hatutumii pombe tukakaa pale

Watu wanacheza mziki balaa watu wanatoka jasho mimi naskia baridi, nikaita mhudumu aniletee chai[emoji23][emoji23][emoji23] akasema huko chini chai hakuna mpaka hotelini juu. Nikajisemea huu upuuzi gani nina hela yangu siwezi pata ninachotaka.
Kumbe club watu wanacheza na watu ambao hawawajui? Kha! Ile mishiko ndo sikupenda yaan zero sistance mmh

Mimi nimejikalia hapo naona vikaka vinakuja vinanishika eti tukacheze nikajisemea mimi sishikwe na mtu simjui[emoji23][emoji23][emoji23] nisije shikwa na litoto lidogo.

Mara nikamuona mhudumu mtu mzima, kumbe meneja, nikamuuliza siweza pata maziwa akaniambia unataka sehem tulivu nikasema ndio. Akanielekeza kule juu, manina nafika huko nilkuta watu wa maana nikajisemea huku ndo dunia ilipo.
Kutupia jicho namuona waziri fulani wakati ule alikuwa mbunge, na vijana wake nikajisemea kumbe huku ndo wakubwa wanakaa. Sehemu ile nzuri kama unataka utulivu panafaa.
Nilienjoy ile sehemu. Nikaletewa nilivyotaka siku ikaisha.

Sema kitu nilichoona club ile ni sehem ya kutoa stress, watu kule wana raha sana.

Ambao hatutumii pombe kuna kitu tunakikosa, yaan kuna starehe tunaikosa.
Mkuu embu tutafutane bhana tubadilishane mawazo,usiwe MTU wa ndani ndani kama utumbo
 
Zamani kidogo shoga yangu alikuwa na graduation tumemaliza wakasema twende gold crest club kule underground si ndo mara ya kwanza naingia club!

Yesuuuu kuna baridi sio kwa Ac ile , kizuri pembeni kulikuwa na sofa safi mimi na shoga yangu hatutumii pombe tukakaa pale

Watu wanacheza mziki balaa watu wanatoka jasho mimi naskia baridi, nikaita mhudumu aniletee chai😂😂😂 akasema huko chini chai hakuna mpaka hotelini juu. Nikajisemea huu upuuzi gani nina hela yangu siwezi pata ninachotaka.
Kumbe club watu wanacheza na watu ambao hawawajui? Kha! Ile mishiko ndo sikupenda yaan zero sistance mmh

Mimi nimejikalia hapo naona vikaka vinakuja vinanishika eti tukacheze nikajisemea mimi sishikwe na mtu simjui😂😂😂 nisije shikwa na litoto lidogo.

Mara nikamuona mhudumu mtu mzima, kumbe meneja, nikamuuliza siweza pata maziwa akaniambia unataka sehem tulivu nikasema ndio. Akanielekeza kule juu, manina nafika huko nilkuta watu wa maana nikajisemea huku ndo dunia ilipo.
Kutupia jicho namuona waziri fulani wakati ule alikuwa mbunge, na vijana wake nikajisemea kumbe huku ndo wakubwa wanakaa. Sehemu ile nzuri kama unataka utulivu panafaa.
Nilienjoy ile sehemu. Nikaletewa nilivyotaka siku ikaisha.

Sema kitu nilichoona club ile ni sehem ya kutoa stress, watu kule wana raha sana.

Ambao hatutumii pombe kuna kitu tunakikosa, yaan kuna starehe tunaikosa.
Vp hakuna alimaindi flag hiyo sehemu ya juu?
 
Back
Top Bottom