Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Uzi tayari...mikoa yote mjini Kuna starehe inategemea wewe utanogewa na Nini we ingia mjini ukiona mataa taa ya rangi tofauti jua ni sehemu ya Bata nenda kajibebee mnduku ukarombe.KILA MJA NI SHAHID WA NAFSI YAKE MWENYEWE
Wako kuromba kunakunowela somo
 
Ndio utupe majibu hapa Mkuu, mfano hapo jengo la rock city mall mbona niliona parking zimejaa, kila anaezama ni ndinga unaanzAje kusema pa low class, pamoja na yote hayo ni paboooovu, taja hapa kiwanja hot Mwanza! Disco kali, vyakula full, ma Dj hot, na huduma mbali mbali. Otherwise utakuwa umeponda ila huna suluhisho
Rockbottom GC pale
 
Nipo cask hapa hata hakueleweki
 
Ebu msaidie tutani hapa
njia nyepesi.. .. achukue dereva tax pale pale the cask.. wampe maelekezo.. ila ndio atapasuka.. ila atapata mtoto mkali sana hata wa kula kama samaki 😅😅😅 wale wanawajua vizuri sana wadada..
 
Back
Top Bottom