Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Sehemu gani nzuri ya starehe Mwanza?

Kama wahitaji sehemu nzuri za kupumzika na kubariz upepo safi wa mji wa miamba zisizokuwa na mikelele ya hapa na pale hizi zinakufaa:

1. Malaika beach
3. Ryan’s bay
4. Wag hill
5. Antelope
Gold crest pia iko vyema ila tatizo ipo katikati ya mji.
 
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.

Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.

Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Bonasera angalau...na kule nyegezi Kuna sehemu inaitwa Ventura, adventures za kufa mtu, mpaka umpate mtu wa viwanja akuzururishe
 
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.

Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.

Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Ungejaribu kwenda Bundesliga kule Nyasaka
 
Nimefika mwanza jioni hii nikitokea Arusha.Kwa wale wenyeji wa hili jiji la miamba ni sehemu gani nzuri naweza kwenda kupata moja moto moja baridi na totozi nzuri za kutosha?
Ni Swea jirani kabisa tu na Ziwa Victoria.
 
Nipo Arusha kwa wiki mbili, ndio mara yangu ya kwanza kufika ,leo ni kaamua ni zunguke mida ya jioni baada kutoka kwenye shughuli iliyo nileta.

Daah Arusha kuna madem wakali weupe, wanashape zile moderate ila zimejikata vizuri. Ila nilicho wakubali wanawake wa huku wengi watafutaji kwa mizunguko yangu ya leo tu, nime waona mademu wakali wanapiga mishe za umachinga.
 
Nimefika mwanza jioni hii nikitokea Arusha.Kwa wale wenyeji wa hili jiji la miamba ni sehemu gani nzuri naweza kwenda kupata moja moto moja baridi na totozi nzuri za kutosha?
Uwanja wa fisi au Makoroboi
Totoz kwa wingi unajivinjari Zaidi ya Lemutuz
 
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.

Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.

Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda

Nenda cask bar hapo rock city mall
Nenda Bonasera ipo town jiran na Tilapia hotel pia
Malaika hotel,Gold crest
 
Inawezekana uzi wa muda mrefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mauaji yalitokea pakafungwa
Gold crest ni hapa nyuma ya round about ya samaki? Nimepita hiyo mitaa juzi juzi nikiwa mdogo mdogo to Songwe
 
Back
Top Bottom