Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bonasera angalau...na kule nyegezi Kuna sehemu inaitwa Ventura, adventures za kufa mtu, mpaka umpate mtu wa viwanja akuzururisheMwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.
Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.
Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Very trueMwanza na Arusha ni majiji yanayosifiwa ila ukienda front dah hizo sifa huzikuti kabisa.
Ungejaribu kwenda Bundesliga kule NyasakaMwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.
Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.
Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Tatizo bonasera maurembo ya matambaa meupe yanakera sana...labda ukae kule juu kwenye sofasNikahamua kuhamia Bonasera
Unanitaka maneno😂Vp hakuna alimaindi flag hiyo sehemu ya juu?
Ni Swea jirani kabisa tu na Ziwa Victoria.Nimefika mwanza jioni hii nikitokea Arusha.Kwa wale wenyeji wa hili jiji la miamba ni sehemu gani nzuri naweza kwenda kupata moja moto moja baridi na totozi nzuri za kutosha?
Uwanja wa fisi au MakoroboiNimefika mwanza jioni hii nikitokea Arusha.Kwa wale wenyeji wa hili jiji la miamba ni sehemu gani nzuri naweza kwenda kupata moja moto moja baridi na totozi nzuri za kutosha?
Mmh! Mwanza kuna kijiwe kinachoitwa Swea? Toa ufafanuzi mzuri.Ni Swea jirani kabisa tu na Ziwa Victoria.
Dsm fever inakusumbua wewe..itabidi ujiuzuru.Dar mpango mzima, mwanza michosho tu
Mwanza bwana mm sipaelewagi sijajua sababu sio mwenyeji ssna au ni vipi, nikifika hapo nikaulizia boda akasema villa park, nikasema twende aah kufika pale just live band na wanakata mauno yao pale jukwaani ndio la msingi (tofauti na hapo hakuna jipya), nikaambiwa kama unatakaa mziki mzuri toka hapo nje mkabala na villar park kuna club, nikaenda naambiwa elf 2 kuingia, nikalipia hahaha kufika pale mahali bwana bora kigodoro cha Kinyanya Kibiti huko kwanza hapako vzr, hapana mwanga, mvua kidogo ilipita panaloana kila sehemu nikaona jau nikanyanyuka nikatoka zangu nje, boda akasema pale daraja la furahisha pembeni ya rock city mall pana muzik pia na vyakula na pazuri sana nikasema twende, nikafika pale na penyewe kuna kajukwaa tu kadogo na muzik wa nje, na watu mnakaa kwenye viti hapo unaagiza unachokula unahudumiwa japo wahudumu wako slow, anyway nikaona nile ugali sato nikarudi hotel kulala.
Kwa kifupi sijapata kiwanja mwanza kinipe vibe la ukweli.
Labda mtu anambie hapa kipi kiwanja cha vibe mwanza tofaut na hizo nilizoenda
Hivi ile club ilikuwa Gold crest vipi bado ipo?
Ilifungwa
Mbona kwny comment yako pale juu umesema aende wkt imefungwa?
Inawezekana uzi wa muda mrefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mauaji yalitokea pakafungwa
Gold crest ni hapa nyuma ya round about ya samaki? Nimepita hiyo mitaa juzi juzi nikiwa mdogo mdogo to SongweInawezekana uzi wa muda mrefu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mauaji yalitokea pakafungwa
imekuaje mkuuMwanza bhana