Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Hakuna kitu nachukia kama makelele,mtu unajipigia beer yako DJ anafumua mziki utafikiri sijui mko Stadium kwenye concert ya mapipa band, wanaharibu sana starehe za watuSina tatizo na muonekano wa hizo sehemu ila kuhusu ma Dj nakuunga mkono, hawana exposure ya music, wanafungulia sauti kubwa, kelele tu, miziki nin ile ile tu ujinga mtupu.