Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanataka kupita na mitaji yetu Hawa tuwe makini mno 😀 😀 😀wanataka tumwage siri za kambi watuchape vizuri mwanzo wa mwezi kabisa [emoji3]
Ongezea na madeniUkijiepusha na kitu kinaitwa NDOA msongo wa mawazo labda ujitakie tu.
Dawa ya deni ni kulipa kiongoziOngezea na madeni
Narudiarudia kusoma naimagine naona tunaongea face-to-face unauliza kwa upoleee haha dah manipulative tactic noma sana.Nauliza genuinely kwa sababu nataka kujifunza kama mama wa watoto wa kiume ambao watakuja kuishi kama wanaume kwenye jamii zetu siku za usoni.
Exactly 💯 brotherDawa ya deni ni kulipa kiongozi
Hiyo sentensi yako ya mwisho inabeba majibu yote unayoyataka, kwa namna hizi;
1. Unamwonaje baba wa watoto wako..??
Namwona kama mtu muhimu sana na ambaye ni nguzo ya familia hasa kwa watoto wake.
2.Baba wa watoto wako, anazungumza na wewe kuhusu matatizo au changamoto alizonazo?
Ndiyo anazungumza na mimi, na tuna utaratibu wa kushirikishana na kuzungumza kuhusu yanayojiri.
3. Akikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, baba wa watoto wako, msaada huwa anapata kwako?
Kwangu, kwa rafiki zake, kwa wazazi, kwa ndugu na kwa mwanasaikolojia wake.
4. Baba wa watoto wako, ana mtu maishani ambaye anaweza kumwambia mambo yake ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)? AU huyo mtu ni wewe?
Ana marafiki wa karibu, ana dada na kaka zake pia yuko karibu na wazazi wake.
5. Baba wa watoto wako, ana mambo au vitu anavyopenda kufanya yeye mwenyewe ambavyo vinampa furaha?
Anapenda michezo, shughuli za kujitolea na kusafiri. Huwa anafanya peke yake na akijisikia kunialika basi ninafanya naye.
6. Baba watoto wako anaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale atakapoelemewa au watu wakimshauri kufanya hivyo?
Yuko kwenye therapy tayari anadeal na trauma za ujana wake jeshini.
hivi sio hawahawa wanasema(ga) wanaume wote ni mbwaWanataka kupita na mitaji yetu Hawa tuwe makini mno
Ndo maana mimi nikamrudisha kwa baba watoto wake..!!Tuwe makini mno😀😃
Usikute unasaka namna ya kuhangaika negatively na mwanaume mwenzetu (baba watoto wako). Ndiyo maana tuna wasiwasi wa kuvujisha siri ya kambi.Khaaaaa, mtego wa nini sasa mpwa 😅😅
HakikaMwanamme anapata stress nyingi kama mfereji wa pesa ukikata....Ukiona Mwanamme analilia kisa kuchwa jua hana "MZIGO' na mwanamme mwenye mzigo aachwi.
KWINI MASANJA alimuacha TABIBU YEAR coz tayari alishajipata hana anachomtegemea tena.
Yupo jamaa yangu mmoja ni binamu yangu amenizidi miaka mitano. Yeye ndio huwa namshirikisha mbanga kama hizi za biashara na mahusiano
- Huwa unazungumza na nani kuhusu matatizo au changamoto binafsi ulizonazo?
- Je ukikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, msaada huwa unapata wapi?
Una mtu maishani ambaye unaweza kumwambia mambo yako ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)?
Nikiwa na mambo au vitu napenda kuzungumza na baba yangu mzazi. Yuko poa sana. Lakini pia napenda sana mazoezi binafsi na kucheza mpira inanifanya nijione bado niko alive.Una mambo au vitu unavyopenda kufanya wewe mwenyewe ambavyo vinakupa furaha?
Kuna kipindi nilipitia changamoto za kimahusiano nikatafuta mwana saikolojia tukashauriana mambo kadhaa maana nilikua naelekea kubaya.Unaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale utakapoelemewa au watu wakikishauri kufanya hivyo?
Safi,na Mimi usinitenge
Na mama yangu🤣🤣🤣🙌Siwezi kukutenga mamii,ila hamkawii kupeleka umbea kwa Wifi zenu nyie
Kabisaa, Hapo kwa mama ujue jambo limeshakua la ukooNa mama yangu🤣🤣🤣🙌