Sehemu salama ya mwanaume ni wapi?

Sehemu salama ya mwanaume ni wapi?

Tunaambiana wana kwa wana kwasababu wanawake tukiwaambia hawana siri, they just don't ukimwambia anamwambia dada/mama/rafikiake huyo dada/rafikiake anaambia rafikiake nae rafikiake anamwambia rafikiake inakuwa sio poa, na anaweza kutumia jambo ulilomwambia kukuadhibu pale utakapotokea mgogoro baina yenu.
 
Nilipataga msala kwenye ajira yangu ya awali nikamwambia aliekua mama watoto wangu bwana,si akaenda kuwambia mama yake,weekend nastukia ugeni home.
🤣🤣🤣Sisi tuna hatari sana
 
Viongozi wa dini, usikute ba wenyewe wana changamoto! 😄 just kidding..
Hakuna asiye na changamoto, viongozi wa kidini wana mafundisho mengi, mifano mingi kutoka kwenye vitabu vya dini, hadithi nyingi za mitume.
Ushawahi kusikia mganga hajigangi.
 
Waongee wapi kujitia wakakamavu kumbe sponji tu
Hujakutana na zege,lenyewe kila kitu sawa tu.Ukiliringia linakwambua kama we mzuri NAMI handsome.YAANI ANAECHUKULIA KILA KITU KAWAIDA.
 
Narudiarudia kusoma naimagine naona tunaongea face-to-face unauliza kwa upoleee haha dah manipulative tactic noma sana.
Halafu hiyo taswira ikaja kwangu anafunuafunua mapaja yake morororooo na kashavu kanachunguliachungulia upenuni pa pichu.
 
Waongee wapi kujitia wakakamavu kumbe sponji tu
Ukakamavu huwa naona ni kwa ajili ya kujionyesha nje, ndani kwa ndani wengi ni walaini na wanahitaji sana kusikilizwa, kujaliwa na kuonyeshwa upendo ili wawe sawa.
 
Sijafikia hatua hiyo, ila kuna wana mna share vitu vingi si mbaya kuongea nae, na kama vipi muhusishe mdingi wako, ama viongozi wa kidini.
Ukiwaeleza viongozi wa Dini jiandae matatizo yako kuja kusemwa madhabahuni kama mfano... Wale ndiyo Sina Imani nao kabisa..
 
Back
Top Bottom