Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #101
Mama zenu tunawapenda jamani, hasa watoto wetu wa kiume.Ukweli mchungu huu, Kuhusu kuto mwambia Maza hata mimi nakaaga kimya.
Maana ana weza Anza kuwaza au kuni uliza maswali like ime kuwaje kila saa.
Hata niki umwa huwa namwambia mie mzima, Kuna kipindi nili pelekwa hospital kwa lazima coz ali ona namdanganya.
Ukifikia hatua hii ya mahusiano ni bora mkaachana tu, haina maana tena ya kuendelea kama hamfurahii kuwa pamoja.
😀😀😀😀😀Solution yao kubwa ni kuua au kujiua...hizi mbuzi🚮
Daah kweli mambo ni magumu sana kwenu.Kiuhalisia wanawake wakikutwa na vitu hufikiria kwanza kubembelezwa kihisia "attention na maneno matamu" Ili kupoa. Wanaume kwa kiasi kikubwa hutafuta solution kwanza maana huwezi tafuta kubembelezwa na kuna watu wanakuyegemea hivyo wengi huifadhi mambo kifuani ama hukimbilia addiction kama pombe na sex. Pia kwa kiwango kiasi ni kuongea kwa sababu kiuhalisia hakuna anaemjali boy child
Ila huwa nawaambia watu, rafiki wa kumuamini hatafutwi Ila huwa anakuja katika mazingira flani. So ukimpata hata mmoja sio mbaya kumfungukia kiasi. Ila ukitegemea msaada wa kihisia kwa sehemu zingine. Bhasi uwe umebahatika sana
whetaver happen don't open up to a woman unless she is your mother or sister. That's like giving her ammo for the next fight, trust me she will use your vulnerability as a weapon to punish you later onwanataka tumwage siri za kambi watuchape vizuri mwanzo wa mwezi kabisa [emoji3]
Pole sana Ila wamama huwa hawatunzi siri sana 😁😁😁Kuna kipindi nili Anza kumpa ka kitengo fulani ka issue zangu, Sasa yeye aki ona vile zina enda ana ona I'm big as hell.
Si aka Anza kusema kwa ndugu na marafiki, kwamba huyu dogo ni 🔥 🔥 kilicho fata naki jua.
Kwa nini wakwetu 😂Nyie ndo mnakufaga vibaya ... 😊 🤣
Pole sana tamuuu, unahitaji msaada wa namna gani?Kiukweli hatuna pa kusemea ndo maana tunajifia tu.Kidogo kwa wazazi wetu ambao wengi hawapo Duniani.
Tusaidiwe jamani,kama mimi ninaomba msaada.
Ni kweli. Kuna mentality kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu kwa hiyo akiwa katika udhaifu ni rahisi kupata support na kujaliwa...Daah kweli mambo ni magumu sana kwenu.
Ila wanaume kutopata faraja ya kihisia hua nayo inawanyong'onyeza sana. Hilo swala la rafiki wa kumuamini umeliweka vizuri sana!
Binafsi, afueni ya mambo ya kimawazo na kihisia huwa napata pia kwa marafiki na siblings wangu, ambapo huwa tunaongea kwa uwazi na kushare mambo magumu na changamoto mbalimbali.
Tunaweza mkuu sema ni kujilemaza tu🤣Huwa nawaza kwani hatu wezi ishi bila ndoa?, yaani niki fikiria ndoa nakuwa pissed off 🤣😂
Vulnerability isn't a flex kwa kweli.. Better usiitoe kuliko kuitoa kwa watu wrongwhetaver happen don't open up to a woman unless she is your mother or sister. That's like giving her ammo for the next fight, trust me she will use your vulnerability as a weapon to punish you later on
Mtu wa kuongea naye,na kunishauriPole sana tamuuu, unahitaji msaada wa namna gani?
Hiyo ni kawaida tu unapiga meditation na mazoezi ya yoga mambo ya msongo utakua unayangaa tu inakuaje.Vipi kuhusu msongo wa mambo unaotokana na biashara au kazi au wale wengine wa kuliwa hela na LBL au betting 😂
Kwan na mimi nipo kwenye hizo Mbuzi jamani,sikuiona hii.Solution yao kubwa ni kuua au kujiua...hizi mbuzi🚮
Una chaguo awe mwanaume au mwanamke, au taaluma / ujuzi wa aina flani au umri?Mtu wa kuongea naye,na kunishauri
Si unakufa kipweke...Kwa nini wakwetu 😂
Kufa kipamoja kupoje na kuna faida gani kwa mtu anaekufa wakwetu?😂Si unakufa kipweke...