Sehemu salama ya mwanaume ni wapi?

Sehemu salama ya mwanaume ni wapi?

Sehemu pekee salama ya mwanaume ni moyoni mwake mwenyewe kwa kifupi dunia haijawahi kuwa na huruma kwa mwanaume.

Ndio maana mwanaume inabidi utulize kichwa sana,kwenye kuchagua mke wa kuoa inatakiwa maamuzi uyafanye kwa kutumia akili na si tamaa za mwili.

Sometimes hata hawa unao waona wanakesha bar na kuwa watu mitungi sometimes msiwalaumu sana.

Ila dada yangu sikushangai sio wewe peke yako mwenye hofu, nilishatizama clip moja ya mwanaharakati/mfeminist US, alianza kubadilisha mitizamo alivyopata mjukuu wa kiume na aliona gap kubwa sana kati ya nafasi anayopewa mtoto wa kike na kiume na hata mbele wanaharakati wengi wanao push haki za wanaume ni wanawake kwani kuna vitu wameviona vinamkandamiza mwanaume baada ya kupata watoto wa kiume.
 
Ukifikia hatua hii ya mahusiano ni bora mkaachana tu, haina maana tena ya kuendelea kama hamfurahii kuwa pamoja.
Screenshot_20250303-163305.png
 
Afya ya akili kwa wanaume imekua tatizo linalokua kwa kasi sana na kusababisha matatizo na majanga ambayo tumekua tukiyasikia kila siku.

Naomba kuuliza wanaume mliopo JF:
  1. Huwa unazungumza na nani kuhusu matatizo au changamoto binafsi ulizonazo?

  2. Je ukikwama kikazi, kibiashara, kimahusiano n.k, msaada huwa unapata wapi?

  3. Una mtu maishani ambaye unaweza kumwambia mambo yako ya ndani kwa uhuru bila kuogopa kuwa judged (kuhukumiwa au kuonekana ndivyo sivyo)?

  4. Una mambo au vitu unavyopenda kufanya wewe mwenyewe ambavyo vinakupa furaha?

  5. Unaamini kwenye kutafuta msaada wa kisaikolojia au kitabibu (therapy / couseling) pale utakapoelemewa au watu wakikishauri kufanya hivyo?

Nauliza genuinely kwa sababu nataka kujifunza kama mama wa watoto wa kiume ambao watakuja kuishi kama wanaume kwenye jamii zetu siku za usoni.
Solution ni moja tu kufunga na kuomba😬😬😬
 
Sehemu pekee salama ya mwanaume ni moyoni mwake mwenyewe kwa kifupi dunia haijawahi kuwa na huruma kwa mwanaume.

Ndio maana mwanaume inabidi utulize kichwa sana,kwenye kuchagua mke wa kuoa inatakiwa maamuzi uyafanye kwa kutumia akili na si tamaa za mwili.

Sometimes hata hawa unao waona wanakesha bar na kuwa watu mitungi sometimes msiwalaumu sana.

Ila dada yangu sikushangai sio wewe peke yako mwenye hofu, nilishatizama clip moja ya mwanaharakati/mfeminist US, alianza kubadilisha mitizamo alivyopata mjukuu wa kiume na aliona gap kubwa sana kati ya nafasi anayopewa mtoto wa kike na kiume na hata mbele wanaharakati wengi wanao push haki za wanaume ni wanawake kwani kuna vitu wameviona vinamkandamiza mwanaume baada ya kupata watoto wa kiume.
Wakati vuguvugu la usawa wa kijinsia limeanza kupamba moto hapa duniani kuna kitu kimoja cha muhimu sana watu hawakukifikiria.

Hakuna aliewaza kwamba ili usawa uwe practicable basi lazima huo usawa uje na wajibu sawa pamoja na mwanamke kuondolewa privilege zote anazipata kwa kuonekana yeye ni kiumbe dhaifu.

Matokeo yake ndio tunaanza kuyaona sasa, tumempa mwanamke nafasi ya mwanaume halafu mwanamke uyo uyo hatumjuhishi kwenye majukumu ya mwanaume.

Mwanaume huyu ambae amepokonywa nafasi yake tunamtaka aendelee kutimiza wajibu wake wa provider na protector kwa mwanamke ambae ndie amepewa ile nafasi aliopokonywa mwanaume, hapa lazima balance itakosekana

We can't have a feminist society without disrupting social well being and abolishing the familiy institute
 
Back
Top Bottom