KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

KERO Sehemu ya Kuabudia Airport izingatie Dini zote

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Utajenga makanisa mangapi kwenye airport?
TAG, KKKT, RC, PENTECOSTE, AIC, EAGT,FBF, Kila mmoja atataka sehemu yake ya kuabudia. Si itakuwa fujo
Maana yake ni kuwa kama inaonekana itakuwa fujo, basi kusiwe na majengo ya kuabudia ya dini yoyote airport ili kuondoa upendeleo kwa dini fulani (ya mtawala)
 
Mahitaji maalumu, waislam huswali mara tano kwa siku
Ukishaweka kitu kwa dini moja, itakubidi uweke kwa dini zote.

Otherwise kutakuwa na tatizo la fairness.

Na dini zipo maelfu, huwezi kuweka accommodation kwa zote fairly.

Solution, serikali ijitoe kwenye habari hizi, madhehebu ya dini yapewe nafasi kujenga nyumba za ibada nje kidogo tu ya airport.

Hapo kila dhehebu litakuwa na nafasi sawa ya kujenga nyumba yake nmya ibada na serikali haitaingia katika tatizo la kuamua nani awe na nyumba ya ibada na matatizo yote ya fairness.

Hakuna ulazima wa kusali ndani ya airport.
 
Tatizo ukristu una madhehebu mengi, kila dhehebu litadai, airport patajaa makanisa mengi.
 
Tatizo ukristu una madhehebu mengi, kila dhehebu litadai, airport patajaa makanisa mengi.
Kwa nini mnavyoangalia dini Tanzania mnaishia kwenye Uislamu na Ukristo tu?

Kwani Tanzania hakuna dini nyingine?

Huu si ubaguzi?
 
Tuongee ukweli tu,wakitenga sehemu ya wakristo kusali,watasali wakati wao ni jumapili au jumamosi?
Wajumamosi ni nukta tu ata gwajima ana wafuasi wengi kuliko hao.Na sio wakristo by the way.
 
Ukijenga kanisa utatakiwa uajiri na viongozi wa ibada, ila waislamu yeyote anaweza kua imamu inategemea mmekutana wangapi msikitini.
 
Ukishaweka kitu kwa dini moja, itakubidi uweke kwa dini zote.

Otherwise kutakuwa na tatizo la fairness.

Na dini zipo maelfu, huwezi kuweka accommodation kwa zote fairly.

Solution, serikali ijitoe kwenye habari hizi, madhehebu ya dini yapewe nafasi kujenga nyumba za ibada nje kidogo tu ya airport.

Hapo kila dhehebu litakuwa na nafasi sawa ya kujenga nyumba yake nmya ibada na serikali haitaingia katika tatizo la kuamua nani awe na nyumba ya ibada na matatizo yote ya fairness.

Hakuna ulazima wa kusali ndani ya airport.
Hiyo kwa ajili ya ubishi,lakini kihalisia waislam wanahitaji pahala pa ibada,ibada yao ni hardly dk kumi,na chumba hicho hata myahudi anaweza fanyia ibada,mbona polisi hulinda mikesha ya krismass pasaka lakini hawalindi maulidi na swala ya idd!?..
 
Ukijenga kanisa utatakiwa uajiri na viongozi wa ibada, ila waislamu yeyote anaweza kua imamu inategemea mmekutana wangapi msikitini.
Siyo kweli.
Wainjilisti wanaohubiri kila mahali wameajiriwa na nani kuhubiri?
 
Maana yake ni kuwa kama inaonekana itakuwa fujo, basi kusiwe na majengo ya kuabudia ya dini yoyote airport ili kuondoa upendeleo kwa dini fulani (ya mtawala)
Huu utatuzi ni simple and clear.

Ila watu fulani hawautaki kwa sababu wanataka kujiweka juu ya dini nyingine.

Tatizo la dini ni kwamba, ukishaamini dini yako ndiyo ya kweli, unawabagua watu wengine na dini zao kwa kuona hawa hawaijui dini ya kweli.

Unakosa hata kuwa na ukarimu wa kusema na hawa nao ni watu wanahitaji kuabudu kama mimi.

Hapo ndipo utaona mtu anayeamini Mungu, imani yake hiyo ya Mungu inavyoweza kumfanya awe mbaguzi asiye na upendo kwa watu wengine, hususan wasio wa dini yake.

Kifupi utaona jinsi dini, kitu ambacho kinanadiwa kuwa na lengo la kusambaza upendo, inavyoleta ubaguzi na migogoro.

Ndiyo maana wengine tumezikataa hizi dini.

Tunaona wazi hata hao walio na dini ambao wanatakiwa kutuonesha mfano wa upendo wanavyobaguana kati ya dini na dini, na hata ndani ya dini utakuta madhehebu kibao.

Yani hata hao Waislamu kuna migogoro ya madhehenu huyu Shia, huyu Sunni, kila mtu anavutia kwake.

Dini ni ubaguzi mtindo mmoja.
 
Ukishaweka kitu kwa dini moja, itakubidi uweke kwa dini zote.

Otherwise kutakuwa na tatizo la fairness.

Na dini zipo maelfu, huwezi kuweka accommodation kwa zote fairly.

Solution, serikali ijitoe kwenye habari hizi, madhehebu ya dini yapewe nafasi kujenga nyumba za ibada nje kidogo tu ya airport.

Hapo kila dhehebu litakuwa na nafasi sawa ya kujenga nyumba yake nmya ibada na serikali haitaingia katika tatizo la kuamua nani awe na nyumba ya ibada na matatizo yote ya fairness.

Hakuna ulazima wa kusali ndani ya airport.
Mkuu mbona duniani kuna sehemu za sala ndani ya airport?
Na sio wote wanasali humo bali ni wa kuhesabu
Unaweza kukuta mmoja au wawili tu wanasali kwa wakati

Waislam wanaweza kusali bila kusalishwa na mtu na inachukua mda mdogo sana
Wakijenga nje watatokaje kama wapo transit
 
1-Kwa nini huwa mnatofautiana kufunga Ramadan na kusherehekea sikukuu zenu?Hampo tofauti kimitazamo ie Sunni,Shia,Ismailiya nk?
2-Pak ametoa wazo.Sehemu za ibada kujengwa kwenye taasisi za umma unaona ni sahihi?Hazileti hisia hasi miongoni mwao?Kwa nini serikali ijinasibishe na upande mmoja tu wa imani?Wabuddha?Wabahai?Wakristo?Tao?Jews?Satanic?
Waislam kwenye Kuswali wote huswali sawa tu, hakuna utofauti wowote ule. Maneno yale yale, Dua ni zile zile, Idadi ya Raqa ni zilezile, idadi ya swala ni zile zile. Hakuna utofauti wowote, na msikiti wowote unaingia unaswali.
 
Hiyo kwa ajili ya ubishi,lakini kihalisia waislam wanahitaji pahala pa ibada,ibada yao ni hardly dk kumi,na chumba hicho hata myahudi anaweza fanyia ibada,mbona polisi hulinda mikesha ya krismass pasaka lakini hawalindi maulidi na swala ya idd!?..
Hizi ni juhudi za watawala kutaka kuleta chokochoko za Udini.

Kwani Wakristo hawahitaji mahali pa ibada?
Kuna madhehebu mengi ya Kikristo hufanya ibada kila siku asubuhi (Morning Glory) na jioni
 
Kama huna dini mambo ya kuabudu hayakuhusu. Labda ungesema wenye dini za jadi nao wajengewe pango la kuabudia
Kwa nini wajengewe? Kwa nini kila dini/dhehebu lisijenge lenyewe nyumba ya kuabudu, kwa gharama zake, kwa utamaduni wake, bila kuiingiza serikali katika mchakato huo?

Ukishaiingiza serikali tu, umeiingiza katika migogoro ya kidini.
 
Hakuna jambo gumu sana kama kumshawishi mtu kuwa, Uislam ni ugonjwa wa akili, Mungu wa Waislam a.k.a ni either Shoga au kichaa
 
Kwa nini wajengewe? Kwa nini kila dini/dhehebu lisijenge lenyewe nyumba ya kuabudu, kwa gharama zake, kwa utamaduni wake, bila kuiingiza serikali katika mchakato huo?

Ukishaiingiza serikali tu, umeiingiza katika migogoro ya kidini.
Kazi ya serikali ni kuhudumia watu,watu wanna mahitaji tofauti,ikiwezekana sikukuu za kidini kusiwe na mapumziko,na mapumziko yawe jumatano na alhamisi,pasiwe kabisa na mafungamano ya serikali na dini
 
Back
Top Bottom