Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Umeongelea kitu ninachotamani halafu unataka kunipangia kitu ninachotamani tena?Suala siyo kutowepo dunia ya uchinjaji,suala ni imani moja kupewa jukumu la kuchinja kitoweo cha wote ambako linafanana na la imani moja kuwa na prayer room airport
Mimi natamani dunia ambayo haina uchinjaji, haina watu wa imani fulani wanaochinja, kwa sababu hakuna, kuchinja, huelewi nini hapo?