Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Kuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafiKama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.
Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.
Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Mleta mada katahadharisha madhara ya massage rooms- SAFI SANAFAIDA 20 ZA MASSAGE KATIKA MWILI
1 Massage inaboresha afya ya ngozi.
2.Massage hufungua mishipa ya fahamu na kuongeza uwezo wa kufikiri.
3. Massage husafisha ngozi na kuboresha mfumo wa utoaji takamwili.
4. Massage Inaondoa kovu la jeraha.
5. Massage husaidia kupona kwa wenye mivunjiko ya viungo/ mifupa.
6. Massage huondoa uchovu wa mwili na kukosa usingizi.
7. Massage huzuia kansa ya ngozi na tishu.
8. Massage huzuia Saratani ya Matiti.
9. Massage huondoa maumivu ya wakati wa hedhi.
10. Massage huboresha mmeng'enyo wa chakula na kuzuia Constipation (choo ngumu). 11. Massage hupunguza maumivu ya uchungu kwa wamama wajawazito.
12. Massage huondoa uchovu na kuvimba kwa miguu kwa wamama wajawazito.
13. Massage huimarisha mifupa kwa kuchochea ufyonzwaji wa Madini ya Kalsiam(Calcium) na Fosforas.
14. Massage huboresha mzunguko wa damu mwilini.
15. Massage husaidia kuondoa maumivu ya misuli na majeraha.
16. Massage huchochea ufanyaji kazi wa homoni mwilini.
17. Massage huzuia Stroke/ kiharusi.
18. Massage inasaidia sana kwa wazee kuimarisha misuli na kuwapa nguvu ya kutembea.
19. Massage huondoa maimivu ya chini ya mgongo.
20. Massage husaidia kuboresha mfumo wa maji mwilini (lymphatic system
Ndiyo wajifunzeKwan wanawake au wanaume wote wanajua kufanya massage mkuu? Hii kibongo bongo ngumu
Ni kweli kabisa ,mm nilienda nikaulizwa aina ya massage nitaakayo ,hauwez Amini kwanza mazingira ya mwanamke anaefanya massage na aina massage kiukweli hata punguan hawez vumilia ..Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.
Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.
Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Si ndio hapo?!!!.Hivi kuna mwanamume anayemwambia au kumuaga mke wake kuwa huwa anaenda kufanyiwa massage?
Umeona mkuu
Mwambie huyoooBraza umekuja lini mjini kutoka huko Usukumani?
Message parlors duniani kote zinajulikana kwa huduma za ziada. Na hata serikali ikiingilia labda izifunge mazima...na kwa taarifa yako hakuna aliyejaribu kupambana na Ile biashara akafanikiwa!
Serikali ishughulike na pressing issues badala ya kufuatilia watu wazima wanaokwenda kukandwa [emoji16]
Iko wap hii nikafanye research mkuu nilete mrejesho hphpKuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi
Umeshapinda wewe, swallow your pride mkuuJifunze kufanya yako watu wamtafta mitaji yao wameanzisha biashara kulingana na soko linataka nn ww unaleta majungu yako na iman zako za kidini za kijinga
Kwanza sio lazima uende izo sehemu sasa ww unaeleta ujuaji wako ulienda kufanya nn au unafuatilia vtu visivyo kuhusu umekosa kaz
Ww nenda kwa mwamposa akakupe masaji ya mafuta na maji wenzako acha wakapewe masaji ya nyama
Hebu fafanua,inakuaje!?..nataka niende huko,yaani unapewa tu mzigo free au!.Kwasababu nimejionea kwa macho yangu. Huko haina tofauti na mtu anayeenda kwenye mabanda ya machangudoa
Nielekeze mkuu...na beiKuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi