Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Sehemu za Massage ziangaliwe kwa umakini mkubwa

Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Kuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi
 
FAIDA 20 ZA MASSAGE KATIKA MWILI
1 Massage inaboresha afya ya ngozi.
2.Massage hufungua mishipa ya fahamu na kuongeza uwezo wa kufikiri.
3. Massage husafisha ngozi na kuboresha mfumo wa utoaji takamwili.
4. Massage Inaondoa kovu la jeraha.
5. Massage husaidia kupona kwa wenye mivunjiko ya viungo/ mifupa.
6. Massage huondoa uchovu wa mwili na kukosa usingizi.
7. Massage huzuia kansa ya ngozi na tishu.
8. Massage huzuia Saratani ya Matiti.
9. Massage huondoa maumivu ya wakati wa hedhi.
10. Massage huboresha mmeng'enyo wa chakula na kuzuia Constipation (choo ngumu). 11. Massage hupunguza maumivu ya uchungu kwa wamama wajawazito.
12. Massage huondoa uchovu na kuvimba kwa miguu kwa wamama wajawazito.
13. Massage huimarisha mifupa kwa kuchochea ufyonzwaji wa Madini ya Kalsiam(Calcium) na Fosforas.
14. Massage huboresha mzunguko wa damu mwilini.
15. Massage husaidia kuondoa maumivu ya misuli na majeraha.
16. Massage huchochea ufanyaji kazi wa homoni mwilini.
17. Massage huzuia Stroke/ kiharusi.
18. Massage inasaidia sana kwa wazee kuimarisha misuli na kuwapa nguvu ya kutembea.
19. Massage huondoa maimivu ya chini ya mgongo.
20. Massage husaidia kuboresha mfumo wa maji mwilini (lymphatic system
Mleta mada katahadharisha madhara ya massage rooms- SAFI SANA

Wewe umeleta faida za massage Pasi na kum-guide mtu aende kufanya wapi au afanyiwe na nani-SAFI SANA

Kuna mwingine hapo juu kashauri massage mume afanyiwe na mke, na mke afanyiwe na mume-SAFI SANA

MIMI NAONDOKA NA HIZI POINTI TATU ILA NAONGEZEA YA NNE

4. Wanaodai sio kila mtu anajua massage ni kweli ila sio issue ya kumshinda mtu yeyote atakaetaka kujifunza tutorials zimejaa huko YouTube, huko barbershop sio salama sana.
 
Acha ziwepo,hizo sehemu watu huwa wanajipoozaa

Ova
 
Huu ujumbe futa akisoma wife utakuwa umeshaniharibia, jinga sn
 
Braza umekuja lini mjini kutoka huko Usukumani?

Message parlors duniani kote zinajulikana kwa huduma za ziada. Na hata serikali ikiingilia labda izifunge mazima...na kwa taarifa yako hakuna aliyejaribu kupambana na Ile biashara akafanikiwa!

Serikali ishughulike na pressing issues badala ya kufuatilia watu wazima wanaokwenda kukandwa 😁
 
Kama una mke wako anaenda massage rooms nakushauri kuwa mkali au kama una mume anaenda nakushauri mkanye.

Niliyojionea kwenye hizi sehemu siri yangu. Siharibu biashara za watu lakini hizo rooms kuna wanawake na wanaume ambao wapo kwa ajili ya kazi na wanafanya vizuri lakini pia kuna makahaba. Hasa most of girls wanafanya kazi hapo ni shida sana. Kuweni makini.

Akina mama msiwaruhusu waume zenu waende huko. Msije kusema sikuwatonya ohooo!
Ni kweli kabisa ,mm nilienda nikaulizwa aina ya massage nitaakayo ,hauwez Amini kwanza mazingira ya mwanamke anaefanya massage na aina massage kiukweli hata punguan hawez vumilia ..
 
Upo mjini, una mke hawezi hata kukufanyia massage.... unategemea nini?
 
Oya usituharibie mzee, nyumbani hatufanyiwi masaji, sasa tufanyaje? Ni huko huko na happy ending inapatikana.
😂
 
Braza umekuja lini mjini kutoka huko Usukumani?

Message parlors duniani kote zinajulikana kwa huduma za ziada. Na hata serikali ikiingilia labda izifunge mazima...na kwa taarifa yako hakuna aliyejaribu kupambana na Ile biashara akafanikiwa!

Serikali ishughulike na pressing issues badala ya kufuatilia watu wazima wanaokwenda kukandwa [emoji16]
Mwambie huyooo

Ova
 
Hivi massage ni kitu Cha mtu kwenda kulipia Hela kweli nunua baadhi ya vifaa Bei rahis sana muombe mkeo akufanyie huko waachien mabachelor wakajimwaye mwaye 😀😀😀
 
Kuna saluni inaitwa bahari barbershop Kuna totoz pale nikiwa na magenye naendaga tu pale kufanyiwa massage na shoo napewa saaaaafi
Iko wap hii nikafanye research mkuu nilete mrejesho hphp
 
Jifunze kufanya yako watu wamtafta mitaji yao wameanzisha biashara kulingana na soko linataka nn ww unaleta majungu yako na iman zako za kidini za kijinga
Kwanza sio lazima uende izo sehemu sasa ww unaeleta ujuaji wako ulienda kufanya nn au unafuatilia vtu visivyo kuhusu umekosa kaz

Ww nenda kwa mwamposa akakupe masaji ya mafuta na maji wenzako acha wakapewe masaji ya nyama
Umeshapinda wewe, swallow your pride mkuu
 
Kama ni ukahaba upo mpaka makanisani.

Suluhisho ni usiolewe wala kuoa malaya.

Mtu mzima ametafuta mwenyewe kushikwa shikwa na malipo anatoa anakatazwaje asiende? Halafu wapo mpaka private ukitaka anakufata ulipo.
 
Back
Top Bottom