Sam mirror
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 1,461
- 2,238
Dah tutaonaga mengi mwaka huu.Hili jambo limepangwa hivyo kimkakati ili kubagua baadhi ya watanzania. Kama unafikiri kuwa jambo hili ni dogo subiri na ulifuatilie jinsi litakavyoishia jambo hili!! Suala hili litaenda hadi mahakama ya juu kabisa kama akithubutu mtu kulishughulikia kivyepesi vyepesi!!
Huo ni ubaguzi na uonevu ambao tunaupinga kwa nguvu zote na HAUTAFANIKIWA. Fuatilia uone jambo hili litakavyokwisha na si jambo rahisi kama unavyotaka kulichukulia.Kwani Mungu na Usaili kipi bora!! Wewe km Una imani kweli,Achana na Usaili nenda kanisani.
Ni kweli mimi huu usaili haunihusu mimi binafsi lakini unanihusu kama mtanzania. Ninapigania haki ya kuheshimiwa kwa dini zote! Ibada lazima iheshimiwe. Siku ya SABATO ni siku ya Bwana na ni siku ya mapumziko kwa mujibu wa dini ya Kikristo hususan Wasabato!!Zaidi ya kansa,Yaani huyo jamaa,Usikute hata Usaili haumhusu!!
Vyote ni muhimu na vyote vina haki ya kufanyika! Lazima mamlaka zinazohusika zipange kwa namna ambavyo raia wake watalindiwa haki zao zote. Tunadai uwajibikaji kwa mtumishi yeyote aliyepanga katika namna ambayo watanzania wengine watakosa haki zao za msingi.Kwani Mungu na Usaili kipi bora!! Wewe km Una imani kweli,Achana na Usaili nenda kanisani.
kwa hiyo waislamu hawaheshimu siku yao ya ibadaSiyo suala la kuwa mfia dini, bali ni suala la watu kuheshimu ibada ya watu wengine> Hivi haujaona hata hotuba za kitaifa kusitishwa kwa muda kupisha muda wa ADHANA? Wakristo na Wasabato wanaheshimu siku yao ya ibada na serikali ITAMBUE HIVYO na hapo HAKUNA MJADALA.
Hilo swali si sehemu ya mjadala uliopo. Ndiyo maana mimi sijazibagua nimeziweka zote mbili. Lakini pia kutokufanya kazi siku ya jumamosi na jumapili si suala la kidini tu lakini ni la kisera pia. Taratibu za kazi hapa Tanzania zimetenga siku hizo mbili kuwa siku za mapumziko (isipokuwa watumishi wenye nafasi ya kushughulikia dharula kama askari, madaktari nk). Kukiuka hilo ni kukiuka utawala wa sheria kitu ambacho hakikubaliki.Asante sasa nimeelewa kuhusu kumpumzika kwamba ni takwa la maandiko matakatifu na ni haki yenu kabisa hapo sina ubishi....kama ulivyonifafanulia hili naomba pia unifafanulie kwa kati ya Jumamosi na Jumapili ni siku ipi imelengwa na andiko hili?
mpagani utamjua tu!Dini ni ugonjwa mbaya sana wa akili kuwahi kuikumba dunia.
Anyway wamekusikia naamini wata reschedule ili wafia dini mfanye kwa uhuru.
#MaendeleoHayanaChama
Si haramu kwa mwislamu kufanya kazi siku ya ijumaa na hakuna aya yoyote kwenye msahafu wao unaowazuia kufanya kazi siku ya ijumaa. Ila waislamu huruhusiwa kwenda kwenye ibada masaa ya ibada yakifika siku ya ijumaa.kwa hiyo waislamu hawaheshimu siku yao ya ibada
Hii siyo nchi ya kidini ni kweli lakini ni nchi inayofuata utawala wa sheria. Kwa mujibu wa sheria za kazi hapa nchini kwetu JUMAMOSI NA JUMAPILI NI SIKU ZA MAPUMZIKO isipokuwa kwa wale wanaoshughulika na kazi za kushughulikia dharula kama askari, madaktari nk. Usaili siyo dharula. WATAELEWA TU.Hii sio inchi ya kidini afu usipangie serikali kitu cha kufanya hutaki kufanya usaili usiendee sio lazima kuna watu mna vitu vya ajabu
We embu tulia mbona kuna dini nyingine siku ya ibada wanatinga job na wapo kimya?Huku ni KUPITILIZA na tunasema HAIKUBALIKI KABISA. Haiingii akilini watu na akili zao kuamua kutokuheshimu kwa makusudi imani ya watu ambao wanapaswa kuwa kwenye ibada KANISANI na kuipanga siku hiyo kuwa ni siku ya kuwasaili waombaji wa ajira.
Ina maana wanaoendesha usaili huu kama ni wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Ina maana pia waombaji wa ajira walio wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Hili tunalikataa kwa nguvu zetu zote!!
Tarehe 18/06/2022 siku ya JUMAMOSI (SIKU YA IBADA KWA WASABATO), na tarehe 19/06/2022 siku ya JUMAPILI (SIKU YA IBADA KWA WAKRISTO) zimetangazwa kuwa ni moja ya siku ambazo usaili wa waombaji wa ajira utafanyika. Kwanza jumamosi na jumapili siyo siku za kazi, kwa nini hawa sekretarieti ya ajira wameamua kuzifanya kuwa siku za kazi? Hii JEURI WANAIPATA WAPI? Ushahidi upo kwenye tovuti yao- www.ajira.go.tz na ninatupia kipande hapa:
KADA: ASSISTANT VOCATIONAL TEACHER – ELECTRICAL INSTALLATION MWAJIRI: MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (VETA) TAREHE YA USAILI WA VITENDO: (1-37) 18 JUNI, 2022 (38-74) 19 JUNI, 2022 MAHALI: VETA DODOMA TAREHE YA USAILI WA MAHOJIANO: 22 JUNI, 2022 MUDA: SAA 1:00 KAMILI ASUBUHI. MAHALI: OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA ZILIZOPO MAJENGO YA DKT. ASHA ROSE MIGIRO, UDOM - DODOMA.
Ninamwomba waziri mwenye dhamana na sekretarieti hii kufanya mambo yafuatayo kwa dharula:
1. Kubatilisha hizo tarehe haraka na kagiza zipangwe tarehe zingine.
2. Kuwawajibisha wote waliofanya ujeuri huu wa kuleta utaratibu unaoashiria UDINI kwenye nchi yetu.
Kwa kweliMkuu kwani wewe kila Jumamosi uanenda kwenye usahili? Ile sio shule ni single day activity tana ni chini ya lisaa limoja na nusu. Mbona majeshini na hospitali watu wana attend ratiba zao za kazi wakipangiwa siku hiyo.
Mimi nafikiri ulipaswa kumshukuru Mungu kuwa usahili umeangukia siku ya ibada yako na Mungu awe upande wako ufaulu, ukalitumikie taifa lako upate na matoleo ya sadaka kwaajili ya kazi ya Mungu.
Usighadhabike hawajasema Ijumaa.Huku ni KUPITILIZA na tunasema HAIKUBALIKI KABISA. Haiingii akilini watu na akili zao kuamua kutokuheshimu kwa makusudi imani ya watu ambao wanapaswa kuwa kwenye ibada KANISANI na kuipanga siku hiyo kuwa ni siku ya kuwasaili waombaji wa ajira.
Ina maana wanaoendesha usaili huu kama ni wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Ina maana pia waombaji wa ajira walio wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Hili tunalikataa kwa nguvu zetu zote!!
Tarehe 18/06/2022 siku ya JUMAMOSI (SIKU YA IBADA KWA WASABATO), na tarehe 19/06/2022 siku ya JUMAPILI (SIKU YA IBADA KWA WAKRISTO) zimetangazwa kuwa ni moja ya siku ambazo usaili wa waombaji wa ajira utafanyika. Kwanza jumamosi na jumapili siyo siku za kazi, kwa nini hawa sekretarieti ya ajira wameamua kuzifanya kuwa siku za kazi? Hii JEURI WANAIPATA WAPI? Ushahidi upo kwenye tovuti yao- www.ajira.go.tz na ninatupia kipande hapa:
KADA: ASSISTANT VOCATIONAL TEACHER – ELECTRICAL INSTALLATION MWAJIRI: MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (VETA) TAREHE YA USAILI WA VITENDO: (1-37) 18 JUNI, 2022 (38-74) 19 JUNI, 2022 MAHALI: VETA DODOMA TAREHE YA USAILI WA MAHOJIANO: 22 JUNI, 2022 MUDA: SAA 1:00 KAMILI ASUBUHI. MAHALI: OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA ZILIZOPO MAJENGO YA DKT. ASHA ROSE MIGIRO, UDOM - DODOMA.
Ninamwomba waziri mwenye dhamana na sekretarieti hii kufanya mambo yafuatayo kwa dharula:
1. Kubatilisha hizo tarehe haraka na kagiza zipangwe tarehe zingine.
2. Kuwawajibisha wote waliofanya ujeuri huu wa kuleta utaratibu unaoashiria UDINI kwenye nchi yetu.
Kumbe hata nyie mnalialia eeh? Mkitoka hapo mnasema RC ndio ina run hii kantriHuku ni KUPITILIZA na tunasema HAIKUBALIKI KABISA. Haiingii akilini watu na akili zao kuamua kutokuheshimu kwa makusudi imani ya watu ambao wanapaswa kuwa kwenye ibada KANISANI na kuipanga siku hiyo kuwa ni siku ya kuwasaili waombaji wa ajira.
Ina maana wanaoendesha usaili huu kama ni wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Ina maana pia waombaji wa ajira walio wakristo watakuwa wamedhulumiwa haki na uhuru wao wa kuabudu. Hili tunalikataa kwa nguvu zetu zote!!
Tarehe 18/06/2022 siku ya JUMAMOSI (SIKU YA IBADA KWA WASABATO), na tarehe 19/06/2022 siku ya JUMAPILI (SIKU YA IBADA KWA WAKRISTO) zimetangazwa kuwa ni moja ya siku ambazo usaili wa waombaji wa ajira utafanyika. Kwanza jumamosi na jumapili siyo siku za kazi, kwa nini hawa sekretarieti ya ajira wameamua kuzifanya kuwa siku za kazi? Hii JEURI WANAIPATA WAPI? Ushahidi upo kwenye tovuti yao- www.ajira.go.tz na ninatupia kipande hapa:
KADA: ASSISTANT VOCATIONAL TEACHER – ELECTRICAL INSTALLATION MWAJIRI: MAMLAKA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI STADI (VETA) TAREHE YA USAILI WA VITENDO: (1-37) 18 JUNI, 2022 (38-74) 19 JUNI, 2022 MAHALI: VETA DODOMA TAREHE YA USAILI WA MAHOJIANO: 22 JUNI, 2022 MUDA: SAA 1:00 KAMILI ASUBUHI. MAHALI: OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA ZILIZOPO MAJENGO YA DKT. ASHA ROSE MIGIRO, UDOM - DODOMA.
Ninamwomba waziri mwenye dhamana na sekretarieti hii kufanya mambo yafuatayo kwa dharula:
1. Kubatilisha hizo tarehe haraka na kagiza zipangwe tarehe zingine.
2. Kuwawajibisha wote waliofanya ujeuri huu wa kuleta utaratibu unaoashiria UDINI kwenye nchi yetu.
Ni kweli kwa kuwa "dini" yao haina kizuizi hicho. Lakini siku ya SABATO ni siku ya BWANA na ya mapumziko. Ndio maana wana wa Israel hawakuruhusiwa kwenda kukusanya mana siku ya SABATO. Siku ya sita walitakiwa kukusanya kiasi cha mana mara mbili ili kesho yake siku ya saba (SABATO) wasiende kukusanya mana.We embu tulia mbona kuna dini nyingine siku ya ibada wanatinga job na wapo kimya?
Tuna uhuru wa kuabudu kwa mujibu wa sheria na si kinyume na sheria. Kwanza dini yako ni lazima isajiliwe serikalini. Na ili usajiliwe ni lazima katiba ya dini yako ikubalike. Kwenye katiba ni lazima uainishe hicho unachoamini na misingi ya dini yako. Kama wewe unakula nyama za watu ni kwamba serikali haitakubali kuisajili dini yako na hautaruhusiwa kuabudu.Kama ibada yangu ni kuchinja na kula nyama za watu Serkali Iheshimu Ibada yangu! Sivyo?!
Ni haki ya kila aliyeitwa kwenye usaili kufanya usaili. Huwezi ukafukuza watu kwa kuwawekea mtego wa kufanya usaili siku ya ibada. haikubaliki na PATACHIMBIKA!! Hii nchi inaendeshwa kwa kufuata utawala wa sheria. Sheria imekiukwa kupanga usaili siku ya mapumziko ya shughuli zote za serikali. Usaili siyo dharula!!