Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kama vile namuona Lissu anavyocheka muda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap invalid kivile; Hii ngoma ya masela kitaani ila ndio bunge lilitakiwa lije na kitu kama hiki kupitia kamati zake kabla ya kusaini, kuna waliosaidia bunge kufanya kazi. Aibu ingine hii, yaani bunge limeshindwa kufanya hiv mpaka masela mtaani wametoa mfano.Hakuna tareh Wala Saini hivyo tu vinatosha kuifanya hii doc kuwa invalid
Mi binafsi Maulid nimemuunfollow huko twitterAlafu unajua hii nchi hatuna umoja kweli, tungejielewa, tungehakikidha account zote za Hawa vijana wa DP zinakosa followers... Yaani adhabu yao Hawa kudi-subscribe. Wakose popularity ndio wajue tumekasirika😳
Mwenye majina yao tafadhali tuwekee tuwabrand kabisa kuwa ni maadui wa Tanganyika.
Kule kuna wazaledo wa kweli wanaolinda katiba na sio Rais na ndio maana hawa mafisadi wanalalamika kuwa Mkataba ulivuja!!!Siamini kama waliobutua ni wao, wao wapo kumlinda rais na maamuzi yake. Wao wana. njia muafaka za kutatua hii kabla hata aibu hii kutokea
Inasemekana wameongezewa posho. Nina wasiwasi zitakuwa pesa za DP world ili wafanye mambo yao ya kubadilisha sheria zinazokinzana na huo mkataba ili aiwafeve hao waarabuBunge lifutwe tu au tuwakabidhi DP waende nao kwao,sisi hatuna kazi nao
Press release huwa ina sahihi?Mbona hilo karatasi ;lako halina tarehe? halina saini?
Hivi huwa mnaota?
TakbiiirKwenda wewe, sina rafiki muongo na mjinga. Usijipendekeze kwangu.
Mwenyekiti WA hiyo sekreterieti na wajumbe ni akinanani.Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya.
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo.
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki".
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka.
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote.
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano.
7. Hakuna muda wa mkataba.
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari.
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Dah nchi yeti hakuna idara ambayo inafanya kazi kwa ueledi Kila kitu tunaharibu nadhan kunasehemu tumemkosea mungu kama taifaYap invalid kivile; Hii ngoma ya masela kitaani ila ndio bunge litakiwaije na kitu kama hiki. kuna waliosaidia bunge kufanya kazi. Aibu ingine hii, yaani bunge limeshindwa kufanya hiv mpaka masela mtaani wametoa mfano.
Hasira za nini madam?Hauna lolote, huu ni uongo mtou.
Hauna chochote nawadanganye wajinga wenzako.
Wajinga ndiyo waliwao.
Kuna siku nliota nimeonana na wewe Dar es salaam ukaniambia mengi sana kuhusu wewe ni siri yangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kikubwa tuheshimiane .Tafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.
Shika adabu yako.
Pole kwa kukosa tendeMmechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Hivi Mkumbo hajatangaza leo mkataba wa uendeshaji bandari?
Kwani huu mkataba walioupinga ni chadema tu Mwabukusi ni chadema Nshala ni CHADEMA Profesa Shivji ni chadema Dr Silaa ni chadema.CHADEMA wapewe maua yao