Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
eti nini? hahahhaaa wana ccmMwarabu hanaga hiana anaweza akawaomba nyuma akawasamehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti nini? hahahhaaa wana ccmMwarabu hanaga hiana anaweza akawaomba nyuma akawasamehe
ila wewe jamaa hahahahaaKama ameshapanic basi huu waraka unaweza Kuwa halisi😃
Hatuna viongozi,waondoke.So what were they doing,si wazi walikuwa na nia ovu ya kuwahadaa na kuwaibia Watanzania.Sijui watajificha wapi,aibu sana.Heri yake Makamu wa Rais,alinyamaza tu.Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Wakishapewa rushwa akili huwa zinaishaDuh,hawa wasomi wetu ni hatari sana
CCM imejaa matapeli tupuHatuna viongozi,waondoke.So what were they doing,so wazi walikuwa na Nia ovu ya kueahadaa na kuwaibia Watanzania.Sijui watajificha wapi,aibu sana.
Inaliza sanaaaaNimeshindwa hata kusoma nimebaki nalia tu
Tutawapeleka kwa mwarabu amalizane nao si unajua waarabu mambo yao, ila si kuna mdada mmoja alisema bungeni kuna mashoga sasa tunaweza kufikiri tunawapa adhabu kumbe ndio tunawaburudishasasa itakuaje?...si tunasikia kuna baadhi ya wanasiasa wamekula pesa ndefu ya mwarabu?....wataitemaje?.
Tuna bunge la kitapeli snInaliza sanaaaa
Aibu naona mimiTuna bunge la kitapeli sn
Washauri wa serikali ni akina Zembwela na Kitenge unategemea nini?Contract yenye legal bindingness unaiita makubaliano kweli???????
Majangili yemejazana Dodoma kupitisha ujingaAibu naona mimi
Hauna lolote, huu ni uongo mtou.ninazo, nimeogopa kuzipandisha hapa, ni aibu, jamaa alivyobanwa akasema alikua mgonjwa hahahahaha
tufanye ni fekiSaini na tarehe viko wapi?
Inshort Sekretalieti ya Bunge imegusa mulemule ambapo wadau wamekuwa wakisema! na sio kama wapate ufafanuzi ila waishauri Serikali iachane na mkataba huu kabisa ikirudi irudi tena mchakato uanze upya kabisaa.Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....
1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya
2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo
3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki"
4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka
5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote
6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano
7. Hakuna muda wa mkataba
8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari
9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini
Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea