Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Harafu namba 2 na 7 mbona kile kile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣FaizaFoxy kaishia kunirarua hahahaahahahaa
Wewe una urafiki na Waarabu tu!! Ha ha haaaTafadhali nakuomba tuheshimiane, mimi sina urafiki na wewe wala mjinga mwenzako yeyote yule.
Shika adabu yako.
Yaani kuna watu wanaweka udini hata kwenye mambo ya msingi kabisaNi wakati wa kukaa kimya maana Kila sehemu unaandika upumbavu na takataka[emoji706][emoji706][emoji706]
Kama ni kweli kwamba hii taarifa ni ya zamani au ni fake, mods wampige ban huyu aliyeileta humu baada ya kui verify.Hii waliitoa mda sana
Itabidi waikunye tu, hakuna namnasasa itakuaje?...si tunasikia kuna baadhi ya wanasiasa wamekula pesa ndefu ya mwarabu?....wataitemaje?.
Huyu mbibi amekuwa kero Kila Mahali anafikiri uislamu wake una function hata kwenye mambo ya maana na ya msingiYaani kuna watu wanaweka udini hata kwenye mambo ya msingi kabisa
FaizaFoxy na prof. Kitila Mkumbo wataficha wapi sura zao??hahaha huu sasa uchokozi, Faiza alishatoa darsa kuwa huu sio mkataba ni makubaliano tu
Mama la DP W na mkataba wa kipumbavu uliokuwa unapigiwa chapuo na "Wapumbavu"Umeniita?
Unasemaje?
Safi deep state. Ehe Samia Anag'atuka tarehe ngapi?Kwa furaha kubwa kabisa napenda kuwataarifu wana JF kuwa kwa tukio litakalotokea leo tarehe 24/07/2023, mjadala wa Dp world ndio unafika mwisho, tujipongeze wote tulioshiriki. Ahsanteni sana.
=======================
UPDATE: 16 00 Hrs
Hatimaye Sekretarieti ya BUNGE yakubali kuna mapungufu ya Mkataba wa bandari na DP World
Utakula 🐖?Umeniita?
Unasemaje?
Mkumbo na Yule Prof wa geology anayerushwa kichura na vitoto vya kizungu Ni sawasawa.Bunge limempinga Kitila Mkumbo hahahahaaView attachment 2697859
Shivji, TLS, Nshala , Madeleka wametoa ushauri mzuri sana wa kuhitaji kufanyiwa kazi kwenye mkataba huu wa IGA siyo eti wasubiri HGAs ambazo kwanza ni za siri na hatutoziona.Bado huo ushauri wa seketariati ya bunge hautoshi. Halafu hawakutoa mapendekezo yo yote. Wangalichukua mapendekezo yote ya TLS na yale ya Prof Shivji.
Sio ingepita, bado inatengezewa ipite. Ngoma bado mbichi. Mnaolala laleni muuzwe.Ina maana watu wasingepiga kelele ingepita hiyo
Uvumi tu huo akuna ukweli wowote hapo nyaraka hiyo inamapungufu mengiMbona hilo pdf halina tarehe, iliyotolewa?
Msukuma, kibajaji na taletale.Members wa hiyo sekretarieti ni akina nani?