Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Sekretarieti ya Bunge: Kuna mapungufu katika Mkataba wa Bandari na DP World; ukomo wake uwekwe wazi

Mama SAMIA RAIS wetu wa JMT,Niliwmini kwa kuwa wewe Ni mwanamke Yamkini Nchi itaenda vyema.

Umejitokeza kwa sura isiyo na huruma hta chembe kwa TANGANYIKA YETU,Uliwahi kufundishwa enzi za utoto endapo utashika madaraka makubwa ututendee vibaya SISI ndugu zenu wa TANGANYIKA?

Nini hii unayotutendea, SHUKRANI ya Punda ni Mateke? Tumekosea Nini TANGANYIKA? 2020 Ulienda kufanya Nini DUBAI? Kuchagua orofa la kununua huko Dubai ili ukiiuza TANGANYIKA YETU wewe na UZAO wako mhamie huko?

Mousoma kwa RASILIMALI za TAMZANIA ILI MLINDE WANANCHI NA RASILIMALI ZETU TUBAKIE KWA AMANI NA WENYE UMOJA.kwanini yanaleta migawanyiko isiyo takikana kwenye Nchi yetu?
Unafurahia Nini kutugawa kwa DINI ZETU WAKRISTO NA WAISLAMU?

Utapata furaha gani Tanganyika na Zanzibar wakijitenga nasi TU ndugu wa damu moja? MAMA SAMIA cheo nibdhamana tu,Tena Ni kwa kipindi kifupi Sana.TANZANIA yakitokea machafu kwa sababu ya TAMAA YAKO,Sherehe yako utaifanyia wapi pakuwa unawagaji wa damu katika Ardhi ya Nchi yako ULIYOZALIWA, LELEWA NA KUKUA HAPA NA Kusema ukweli umechanua sababu wewe Ni Mtanzani.

NAKUSHAURI NA NI MAOMBI YANGU UWE NA MASIKIO YAKUSIKIO:
Ni wewe ndio una mamlaka isiyopingwa na awaye yote kubaliane na hili ACHANA NA MIKATBA MIBOVU YA DP WORLD.

Ni Bora kujisahihisha katika like umekosea kuliko kukosea na kuendelea kuyapaka makosa hayo kana kwamba na BARAKA/THAWABU KUTOKA KWA MWENYE MUNGU.

Komesha Propaganda zenye kutumia RASILIMALI nyingi/Matumizi makubwa ya FEDHA kuliezea jambo hili MKATABA na DP WORLD la heri Sana.Fikiri zaidi ya wigo wako wa kufikiri Heri ubaki na kipato Chalo Cha halali kuliko KULA ASALI YENYE KULETA UMASIKINI KWA TANGANYIKA/TANZANIA YETU.

HERI MEGO KAVU PAMOJA NA AMANI,KULIKO TONGE LENYE MCHUZI PAMOJA NA AIBU NA KILIO MILELE.
MAMA SAMIA RAIS WETU RUDISHA MOYO WA KUPENDA TAIFA ZAIDI KULIKO MASLAHI YA MUDA KITAMBO NA FEDHA YA KUDUMU.

Haya yanatosha,mwenye SIKIO na asikio wosia huu,MZALENDO NIMETOA MAUSIA HAYA.

TANGANYIKA BILA BANDARI ZETU HAIWEZEKANI.

20230725_020355.jpg
 
Wanawake hawana koromeo, angekuwa mwanaume angeshatangaza kuachana na hilo deal. Kikwete alipoona katiba imebuma aliamua kuachana nayo, lakini huyu yeye anahisi akiachana DP atadharaulika. Kumbe uongozi lazima awe msikivu kwa anao waongoza
 
Hapa kidogo sekretariet ya bunge kuna kitu wamefanya, ila wasingetaka ufafanuzi, kwenye mapendekezo wangesema sehemu hizo za vipengele walivyotaka ufafanuzi, havipo kwa maslahi ya nchi, vinahitajika viboreshwe na viwe wazi.

Pia kwanini kuwe na siri??

Kwanini suala la ulinzi na usalama liwe wanawezesha wao kwenye nchi yetu ??

Kwasababu hakuna kikomo wameshindwa kuweka ata kiasi cha fedha kitakachowekezwa kwenye kila awamu.ya mradi....mbona nchi nyingine thamani ya mradi ipo wazi??

Je tafiti zimefanyika kuonesha manufaa ya kimkataba kwa nchi zilizotajwa???
 
Wanawake hawana koromeo, angekuwa mwanaume angeshatangaza kuachana na hilo deal. Kikwete alipoona katiba imebuma aliamua kuachana nayo, lakini huyu yeye anahisi akiachana DP atadharaulika. Kumbe uongozi lazima awe msikivu kwa anao waongoza
Akishupaza hiyo shingo itakatika, we subiri huu ifike December uone.
 
Tumelumbana weee, tumeelezana weee, Kuna wale vichwa maji wakajifanya wajuaji kuliko hata wajuaji wenyewe. Haya Sasa huu hapa Waraka wa bunge na kwa kifupi wamekubali kuwa....

1. Huu ni Mkataba, hakuna mahali wameandika Makubaliano kama akina Silaa (Mbunge) alivyowachanganya.

2. Wamekubali kuwa "hakuna ukomo" wa mkataba huo.

3. Wamekubali na kubaini kuwa "mkataba huo hauvunjiki".

4. Kuanza Kwa Early project activities kabla ya BUNGE kuweka baraka.

5. Shughuli za migogoro kufanyika South Africa, yaani mgogoro wowote.

6. Serikali kukosa "haki" ya kuvunja Mkataba, ni mkataba sio Makubaliano.

7. Hakuna muda wa mkataba.

8. Serikali KUZUIWA kuingia Makubaliano na MTU au taasisi yoyote kuhusu Bandari.

9. Serikali ya Dubai "kutokuonyesha" wazi nani Mwenye mamlaka ya kusaini

Hahahaha zile Simbilisi zije hapa Sasa! Mkataba wa kijinga kuwahi kutokea
Hawa mbwa akili hamna walichofanya Kila kitu TLS, akina mwabukusi, nshalla , Lissu, Dr Slaa na wengine walushaona, Prof Shivji, Tibaijuka, Dr. Nkya na wenye akili wote kwanini isiwe hayo machoko ya CCM yasione wabunge 300+ wote machoko?🤣🤣 Nchi ya ajabu sana hii
 
Tuanze kudai nchi yetu kwa nguvu sasa
Wale wabunge hawana sifa ya kujadili jambo lolote Tena Katika nchi hii.

Maandamano ya kuwatoa kwenye Lile jengo ni muhimu sana.

Waliwahi kuhongwa kwenye Sakata la Jairo na Tanesco.
Wabunge wanaohongwa Ili wailazimishe Serikali kuhujumu nchi ni Hatari sana.

Waziri mkuu ajiuzulu na wale wabunge waondolewe pale .

Woga Wa watanzania ndio Nguvu ya Wezi.
Sasa Ujasiri Wa Watanzania utawafukuza Wezi.
 
Wale wabunge hawana sifa ya kujadili jambo lolote Tena Katika nchi hii.

Maandamano ya kuwatoa kwenye Lile jengo ni muhimu sana.

Waliwahi kuhongwa kwenye Sakata la Jairo na Tanesco.
Wabunge wanaohongwa Ili wailazimishe Serikali kuhujumu nchi ni Hatari sana.

Waziri mkuu ajiuzulu na wale wabunge waondolewe pale .

Woga Wa watanzania ndio Nguvu ya Wezi.
Sasa Ujasiri Wa Watanzania utawafukuza Wezi.
Unakumbukumbu saana sana
 
kama kweli ni kamati ya Bunge imetoa maoni na mapendekezo haya niwape hongera sana.mmeliokoa taifa na janga kubwa

d. Muda wa utekelezaji Mkataba huu haujawekwa bayana, bali Ibara ya 231) inasema kuwa ukomo wa Mkataba huu ni mpaka hapo shughuli zamradi huu zitakapokuwa zimekamilika. Serikali iombwe kutoa ufafanuzikuhusu jambo hili la ukomo wa Mkataba.

maana yake ni mkataba wa milele mpaka Yesu arudipo
Mpaka bahari itakapo kauka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama tumgekuwa na jeshi siriaz huu ndo muda wa wao kuchukua nchi

Waiponye
Mama ameharibu pakubwa sana


Kweli unasaini kiongozi wa nchi mkataba na kikundi cha wahuni ambao selikalini hawana hata udc

Huo muda kautoa wapi?

Rais kabisa
Ajiudhuru au aondolewe
Tuitishe uchaguzi upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwavile hawa wabunge vichwa maji ndo wamerudiwa na fahamu zao kwasababu hapo mwanzo walikuwa kama misukule tu kupitisha mkataba wasiouelewa! Sasa chakufanya ni kuiambia serikali iuvunje sasa hivi kwasababu hauna maslai mapana ya kitaifa na kiusalama. Huvunjwe sasa hivi kabla hawa waarabu hawajaanza kuleta mashine na kuingia gharama za utekelezaji! Hata kama wataitaji fidia itakuwa ni ndogo
Fidia watalipa waliokula rushwa: Mbarawa, Aisha, Johari, Mrisho, Mbossa, Musukuma na wenzake, Kitenge na wenzake. Kama wamekwishatapanya hela waliyohongwa, tutajadili suala la kuwalipa waarabu, hawa wakiwa jela.
 
Back
Top Bottom