Sekta ya nyumba imeanza kufufuka kwa kasi chini ya Rais Samia Mama wa Uchumi

Mambo inazidi kuwa πŸ”₯πŸ”₯

View: https://twitter.com/SalumAwadh/status/1709427232223981865?s=19
 
Canadian Village Masaki

View: https://www.instagram.com/reel/Cyz075mIOS-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 

View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1735606760914735440?t=06T39LS_kI7nBjtVgfCZng&s=19
 
Habarini Wakuu!
Kwanza kabsa naomba niweke sawa kitu kimoja!
Mleta uzi upo kwenye moja ya makundi haya mawili, mosi ni chawa au mfuasi wa serikali na sera ambazo wanazifuata au pili ni mtu unayeishi pangoni.

Okay!
Hakuna ambacho kimebadilika toka JPM ameondoka! labda cha zaidi ni Royal Tour, Wamasai kutolewa maskani mwao pamoja na na DP World kuja kwenye bandari yetu! Hakuna cha zaidi hapo!
Umezungumzia suala la Reform! Je Samia amefanya reform ipi ambayo imeleta postive impact kwa wananchi haswa watanganyika maana Zanzibar wao wana Rais wao?! Naweza kuonekana kama mchonganishi ila tujiulize maswali magumu!

Juzi kati kuna shehena ya sukari imekamatwa Tanganyika ikitoka Zanzibar! Ila je unadhani kwanini watu wanavusha na kutorosha sukari kutoka Zanzibar ikiwa bei zipo tofauti!> Reform ndani ya nchi zinatakiwa ziwe kwa manufaa ya Wananchi ila wewe unaanza kutuletea visa na mikasa ya Ujenzi wa Nyumba 560?! Samia ameshindwa kujenga nyumba ili awahamishe watu kwenye bonde la mto Msimbazi halafu unasema kuna Nyumba 560 yaani utadhani ndo tumemaliza kutoa suluhu za wananchi!
Mkuu hii nchi ina watu wenye uelewa wa mambo sio kukariri Mkuu!
 
Au siyo? πŸ˜‚πŸ˜‚

View: https://twitter.com/UhondoTV/status/1744677037158109581?t=2dDBaoPUE21YD0r-yJn5Dw&s=19
View: https://twitter.com/UhondoTV/status/1744678420200505733?t=WTLxWaDZqXZPejD92rH4lA&s=19
 
vitu vyenye tija na impact kwa kila mtanzania KAMA UMEME vimetushinda tunaenda kuhangaika na vitu vya kishenzi,yaani unamlingishia almasi mtu aliye na njaa ya wiki nzima badala ya kumpa chakula ili aokoe uhai wake kwanza.Nchi ya laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…