rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Sup 3 ndani ya mwaka wa masomo safarii.. Ukipata chini ya 50 course 3.Sio "zaidi ya 3"...ni zikifika Tatu ndani ya mwaka mmoja wa masomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sup 3 ndani ya mwaka wa masomo safarii.. Ukipata chini ya 50 course 3.Sio "zaidi ya 3"...ni zikifika Tatu ndani ya mwaka mmoja wa masomo
Tena sio kozi tu[emoji23]...sema "Module"...na somo linaweza kuwa na module mbili au moja.[emoji23]Sup 3 ndani ya mwaka wa masomo safarii.. Ukipata chini ya 50 course 3.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena sio kozi tu[emoji23]...sema "Module"...na somo linaweza kuwa na module mbili au moja.[emoji23]
Dogo B.pharm ngapi hapo upanga??Ukiona hamna ujumbe maana yake umechaguliwa , nitafute inbox mimi ni kiongozi hapa muhimbili ndo ntakayewapokea.
Mitihani simple simple mnapewa nyinyi mnakula one one za kibwete elimu yenu imerahisishwa acha kukaza fuvuHapana , mkuu nakukatalia Sana , maana hata past papers za miaka ya 2010 tunaona zilikuwa simple, unakuta mtihani una maswali 10 eti uchague matano halafu yote ni content based sio competent based, saizi maswali sita unachagua matano halafu ni competency yaani.
YesKwani selection tayari wakuu?
Ila ni kwa Muhimbili tu siyo vyuo vyote?
YesIla ni kwa Muhimbili tu siyo vyuo vyote?
Sasa kinakuogopesha nn hapoWakuu!
Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!
Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Kwa utafiti niliofanya mtihani uliokuwa mgumu ni wa advance 2013 tu kwa miaka hii kuanzia 2000..Mitihani simple simple mnapewa nyinyi mnakula one one za kibwete elimu yenu imerahisishwa acha kukaza fuvu
Oya Mimi naelewa ninachokisema usinione km nabwabwaja naelewa kila kitu ndio maana nasema mwanafunzi kipindi hiki asipokula one ni uzembe wake na akilamba zero basi huyo ni zaidi ya zeroKwa utafiti niliofanya mtihani uliokuwa mgumu ni wa advance 2013 tu kwa miaka hii kuanzia 2000..
Usidhani watu hawajawahi kuiona hiyo mitihani ya zamani..ipo na ukiwapa hawa madogo kama hiyo hizo one za tatu zitakuwa ni za kumwaga sana.
Tuache kuwaonea wivu hawa madogo wakipiga hizo one ambazo sisi tulishindwa kuzipiga kipindi chetu kwa wingi huu..
MDKozi gan?
Sawa mkuuUkiona hamna ujumbe maana yake umechaguliwa , nitafute inbox mimi ni kiongozi hapa muhimbili ndo ntakayewapokea.
Naingia Four MkuuDogo B.pharm ngapi hapo upanga??
Sawa dogo kula shule..Naingia Four Mkuu
Kwa utafiti niliofanya mtihani uliokuwa mgumu ni wa advance 2013 tu kwa miaka hii kuanzia 2000..
Usidhani watu hawajawahi kuiona hiyo mitihani ya zamani..ipo na ukiwapa hawa madogo kama hiyo hizo one za tatu zitakuwa ni za kumwaga sana.
Tuache kuwaonea wivu hawa madogo wakipiga hizo one ambazo sisi tulishindwa kuzipiga kipindi chetu kwa wingi huu..
Muhas competition matters. Kama kakosa MD mwambie achague kozi zingine zingine halafu akipata selection atabadilisha kozi. Uzuri muhas kozi zote zipo sokoniWakuu!
Jamaa angu ka login kwenye account yake aliyotumia kufanya application za Muhas akakuta taarifa "ndugu '__' hujachaguliwa kujiunga na chuo Cha Muhimbili round 1" Hilo Jambo limeniogopesha Sana ukizingatia jamaa ana one ya point 5, dah!
Wakuu naombeni kufahamishwa njia nyingine ya kuzitazama hizi selection kwasababu Mimi nimejaribu kulogin kwenye account yangu sijakuta taarifa yoyote inayohusiana na selection, maybe utaratibu kuwa upoje miaka mingne.
Hii comment iwekwe kwenye mtaala mpya wa elimu.Mzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Subiri Hadi tarehe 25 ndio wanaweka sawa mfumo wao , sio kwako tu karibu wote, ukijaribu kulogin unaambiwa incorrect login wakati username na password ni sahihiSorry jmn Kuna mdogo wang nimemsaidia kuapply hapo lakn kulog In inakataa