Kusajiliwa na timu kubwa pia ni kujitangaza njeKasajiliwa kwa mshahara wa shingapi? Milioni 6.5 si Bora angebaki bongo tu, ukitoa makato ya Kodi anabaki na shingapi? Kuna vitu vingi unapaswa kuangalia kwenye usajili sio ilimradi umesajiliwa,,Mzize mwisho wa msimu anauzwa kwa dau kubwa mlitaka auzwe dirisha hili alafu yanga wangepata wapi replacement yake ya uhakika? Dirisha kubwa unapata replacement yake kwakuwa unakuwa ushafanya scouting sio kuuza tu ilimradi!
Baba yake Samata anadai nyie mlikuwa hamtaki Samata aondoke,baada ya yy na mwanae na baadhi ya wadau kulazimisha ndio Samata akaenda Mazembe. Sasa sijui mlikuwa mnataka aendelee kula chapati za masimango za Kaduguda.
Kwani Yanga waliondoka wangapi? Nonda,Msuva, Tusila Kisinda nk.Huyo Kibu kumpa ruhusa ya majaribio mnakataa,ofa zikija mnazikalia chini mpaka yy mwenyewe akaamua kutoroka,kwenda Sweden kwa majaribio.Juzi tu hapa ametoka kulalamika na haya Maneno kaya ongea meneja wake, si bora sisi hata tetesi nyie mnazisikia,ila nyie ofa kibao za kibu mlizikalia.Lakini si alienda?tuone mwisho wa Mzize kuwa pick kwenye kiwango ni mda mfupi mkuu huu ni mpira unaweza kupata hata injury ikakuweka miezi hata 6,unapona watu wazuri washachukua namba.
Ni sawa lakini isiwe kuwashinikiza wengine nao wafanye alichokifanya Kila klabu Ina mipango yake na uwekezaji wake kwa mchezaji,wao ndio wanajua wamuuze muda Gani na kwa Bei GaniKusajiliwa na timu kubwa pia ni kujitangaza nje
Juhudi za kumtukana injinia ungewatukana viongozi wako kwanza, siku kuona unatoa povu baada ya kibu kubaniwa kuondoka,,anza na kwako kwanza ya yanga waachie wenyewe!Rais wa utopolo anabania vijana kupata fursa, mjinga sana, duniani kote hakuna mchezaji asiyeuzwa lenyewe linabana kwa misifa ya kijinga
Fei alifanya umafia Gani?Shida siyo wakala shida ipo kwa timu inayommiliki,
Fei toto bilia kufanya umafia asingetoka pale
Kunywa dawa tatu kuondoa maumivu unayopitiaRais wa utopolo anabania vijana kupata fursa, mjinga sana, duniani kote hakuna mchezaji asiyeuzwa lenyewe linabana kwa misifa ya kijinga
Hizo juhudi mngezifanya kwa Manula na KibuShida siyo wakala shida ipo kwa timu inayommiliki,
Fei toto bilia kufanya umafia asingetoka pale
Mbumbumbu hawaelewi hata neno Mafia lina maana ganiFei alifanya umafia Gani?
Alienshauri Sele kampoteza, kwa ubaguzi wa waarabu simwoni Sele akitoboa kwa kiwango kile!Dunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .
Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.
Dunia iko fair tu ila uelewa tu. Kuna team(wydad) wamemhitaji Mzize January na ilikuwa kwa usajili wa dola 200K+, pia kuna team kadhaa zina uhitaji wa mzize mwezi June ila wanataka makubaliano yaanze sasa kwa dau la over 500KUSD. Ukiwa unachagua yupi?Dunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .
Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.
Msuva alienda akiwa bora sana wakaishia kumsugulisha benchi na migogoro kibaoAlienshauri Sele kampoteza, kwa ubaguzi wa waarabu simwoni Sele akitoboa kwa kiwango kile!
Hao wote hawakuuzwa kwa 100kUSD mkuu. Wydad wangekuwa waliweka mapema hata 400KUSD sidhani kama viongozi wa Yanga wangekataa shida walianza na dau la 150KUSD pesa ambayo hata Yanga wanampa na anapata nafasi ya kucheza.Sisi haturembagi,tuliwauza Miquison ,Chama ,Sakho, na Rally Bwalya na walikuwa kwenye pick,hawa wenzetu wanawanyima fursa wachezaji
Hao wote walienda wakati mikataba yao imeshaisha,nitajie mchezaji ambaye Yanga ilimwuza akiwa bado na mkataba?Kwani Yanga waliondoka wangapi? Nonda,Msuva, Tusila Kisinda nk.Huyo Kibu kumpa ruhusa ya majaribio mnakataa,ofa zikija mnazikalia chini mpaka yy mwenyewe akaamua kutoroka,kwenda Sweden kwa majaribio.Juzi tu hapa ametoka kulalamika na haya Maneno kaya ongea meneja wake, si bora sisi hata tetesi nyie mnazisikia,ila nyie ofa kibao za kibu mlizikalia.
Kisinda aliondoka akiwa bado na mkataba na Yanga, hata Nonda.Hao wote walienda wakati mikataba yao imeshaisha,nitajie mchezaji ambaye Yanga ilimwuza akiwa bado na mkataba?
Na nyie mkauze si mnao wakina akili ndogo nguvu nyingi kibu Denis,,si mnao wakina mutale mbona awauliziwi ata kwa mkopo mmekomaa na wachezaji wa yanga🚮🚮🚮Acha wampurureeeee mpk abakie kichwa tuu ndo atakumbuka jua limeshakuchwa...
Kibu alikuwa ndo ka-renew mkataba ndo wapo likizo,uanendaje kufanya jaribio wakati hukutoa taarifa kwa timu yako?bahati mbaya kwenye majaribio akafeli pia waliwaandikia ila timu iliyotaka kumchukua kwamba ana mkataba halali, kama wanataka wauvunje,ile timu kuona Kibu ana mkataba na Simba wakamwacha,lakini angetumia njia sahihi wala kusingekuwa na tatizo wangemwachia tuKisinda aliondoka akiwa bado na mkataba na Yanga, hata Nonda.
Nimekuuliza ya Kibu unaruruka,Kibu kwa mujibu wa meneja wake,alisema klabu zilizokuwa zinamtaka,zikituma offer mnazichunia bila kumwambia mchezaji na tena club nyingi tuu.Wale Wasweden walimfuata Kibu Instagram na kumwomba kwa ajili ya majaribio na walimwambia walishatuma barua kibao hamzijibu, mpaka mchezaji akatoroka kwenda kufanya majaribio Ufaransa. SASA HII YA KIBU NYIE MNAITAJE au sio roho mbaya.
Maana nyie mmembania mpaka sasa mnaye, vipi huyu Kibu hamtaki nae akue au bado mnamlea?
Yanga imemwuza Tuisila kwa bei ya kuku,kwanza hakuwa na umuhimu kwenye kikosi cha Yanga kwahiyo wasingemzuiaKisinda aliondoka akiwa bado na mkataba na Yanga, hata Nonda.
Nimekuuliza ya Kibu unaruruka,Kibu kwa mujibu wa meneja wake,alisema klabu zilizokuwa zinamtaka,zikituma offer mnazichunia bila kumwambia mchezaji na tena club nyingi tuu.Wale Wasweden walimfuata Kibu Instagram na kumwomba kwa ajili ya majaribio na walimwambia walishatuma barua kibao hamzijibu, mpaka mchezaji akatoroka kwenda kufanya majaribio Ufaransa. SASA HII YA KIBU NYIE MNAITAJE au sio roho mbaya.
Maana nyie mmembania mpaka sasa mnaye, vipi huyu Kibu hamtaki nae akue au bado mnamlea?
Kwani ni lazima? Kwani Yanga anacheza bure?Mbona hatujasikia Mzize mwenyewe akilalamika kwamba anataka kuondoka na Yanga wamemkatalia? Kama angekuwa anataka kuondoka nina uhakika angeruhusiwa.Dunia haina fair,Seleman Mwalim kasajiliwa na Wydad club namba 3 Africa huku Mzize akibangaiza na timu namba 12 .
Nafasi waliyomnyima Yanga Mzize ndo hiyo aliyochukua Seleman Mwalimu ,bahati haiji mara mbili tumempata Ajibu wa pili.