Kwani Cappuccino ni wa kike ama wa kiume?[emoji45]
Ila huku kujua jinsia ya mtu ni ngumu kama hajatumia jina la kuonesha jinsia yake,ama labda ufatilie comments zake
Utakosa wachumbaHahahahahh ndioo.
Am no longer using any of my oldies...Hiyo number niliiabandon like 6 or 5 years back
Katupia picha ni mdada sasa ndo mtu akamchana kuwa comments zake zimekaa kibabe babe sana si zakike.
Mbele ya wanaume napretend [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Sasa mdada mzuri unakuwaje mkaanga sumu jamani?
Utakosa wachumba
Hahahahahhhahh hebu nianze kucheka cheka humu niache ubabe
Mbele ya wanaume napretend [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Naficha makucha.
Eeeee jilegeze shosti punguza ugumu.
Eti kucheka cheka nimejikuta nimecheka mie.
Nipo kiongozi wewe ndo unapoteaBro upo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya weka basi picha tukuone.Wewe dada mbavu zangu
Tumeni sana tu, naona mmeukwaa mkenge, iko hivi Huyu mtu sijui kaambiwa nanani asaidie kutambua watu, intelligence haitumii nguvu! Ukipiga picha na simu yako kisha ukaiaplodi huwa picha inatabia ya kuwa na details zoooote kama mfatiliaji akiwa na Modern Image Analyzer au Advanced Metadata Software, hadi namba ya simu card inaweza kuwa revealed.
Upo uwezekano wa kutuma Spyware article yenye reverse mode kutrack details zako zote, inaweza kuwa imepandikizwa kwa video clips au picha yenye mvuto.
JF ilikumbwa na kazia ya kutakiwa kutoa identity za members.
Acheni ushamba
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Tengua hiyo kauli tafadhali japo kiutani utani
Kuwa real humu ni mistake
Next time nitajitahidi nisioneshe the real side of me
[emoji23][emoji23] mie mbona huu mtandao siutumii sana na hata nikija Mara nyingi napita kimya, yule mkaka ni muongo pengine aseme labda jina linamchanganya.Kwani Cappuccino ni wa kike ama wa kiume?[emoji45]
Ila huku kujua jinsia ya mtu ni ngumu kama hajatumia jina la kuonesha jinsia yake,ama labda ufatilie comments zake
Tumeni sana tu, naona mmeukwaa mkenge, iko hivi Huyu mtu sijui kaambiwa nanani asaidie kutambua watu, intelligence haitumii nguvu! Ukipiga picha na simu yako kisha ukaiaplodi huwa picha inatabia ya kuwa na details zoooote kama mfatiliaji akiwa na Modern Image Analyzer au Advanced Metadata Software, hadi namba ya simu card inaweza kuwa revealed.
Upo uwezekano wa kutuma Spyware article yenye reverse mode kutrack details zako zote, inaweza kuwa imepandikizwa kwa video clips au picha yenye mvuto.
JF ilikumbwa na kazia ya kutakiwa kutoa identity za members.
Acheni ushamba
[emoji23][emoji23] mie mbona huu mtandao siutumii sana na hata nikija Mara nyingi napita kimya, yule mkaka ni muongo pengine aseme labda jina linamchanganya.
Nikupe kazi isiyokuwa na malipo, kafanye kupitia comments zangu umletee feedback Cresida
Mtu mwenye maisha ya kuwindwa hawezi kua free acha sisi wenye uwezo wa kuishi popote na tukawa salama tuendeleeWalewale
Leo usikuLiniii sasa zinakuwa tayari
AbeeeUmefunga pm najibiwa "you may not start conversation with Sakayo"