Selfika na JF: Snap it. Show it


Naona umeamua kunichukua maelezo nijichanganye hapa na msura wangu mpana mbaya afu mixer account haina kitu afu niweke hapa bado sijawa convinced kabisa

Sasa wewe katika ulivyo taja hapo juu huwezi kosa vyote

All in All it’s about Confidence Tu
 
Hahhhaa cole mi sikushawishi hata ujipost, nakuelezea tu vile pics zetu wadada zinavyohitaji mambo mengi
 
Kuzaa hakumalizi ukisu, usiniangushe
[emoji122][emoji122][emoji122]ni kweli sijui inakuwaje nataka kukuangusha akati kabla sijazaa nilikuwa sina hata shepu.
Nimezaa mtoto nikawa mashaallah.
Nisamehe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…