[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Hata Mimi nilikuwa mwembamba kipindi nimekutana na Manga ML .
Ila sasa hivi nimezaa nimenenepa kama ninavoonekana kwenye hiyo picha.
Kuhusu tumbo kuwa flat ni mwili wangu tuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ya kudownloadNiliweka jana mbona
Ipo mama.Sister yako ipo humu?
Ya kudownload
Tena nyie wanaume ndo rahisi sana sura nzuri kwenu sio big deal sasa sie ni balaa, package iwepo, camera nzuri, pozi kali na background kali
Pics nyingi humu ni uwe na karangi, ngozi nyororo, ushape flani hivi vinginevyo hata like hupati sasa kukuta ke anapackage yote hiyo ni nadra sana
Bora tuendelee kubana huku nyuma ya keyboard
Asante sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].Wapi walisema tutume original?
Wat if kama ye ni model kaenda kujigoogle mwenyewe.
Emu tuanze na og yako. Naisubiria [emoji41]
Kisu, msimamo na kujiamini hahaha kanifurahisha sana
Au hii hali inanikuta mimi tu?
Mungu wangu nacheka leo hadi nahisi baadae nitalia.Visu kama nyie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo mnatakiwa humu mtuchangamshe
Una miguu mizuri na kucha nzuri!
Na mimi niliwahi kumbishia mtu kwamba ulezi (ukiwa shambani) ni mchele.
Nilimbishia hadi akavunja urafiki.
Ukipost tuu nzuri watagoogle adi NIDA.
Ukiweka mbaya ndio ya kwako na watakusimanga nayo hataree.
Wanakulia timing tuu.
Ewaaaaaaaaaaaahhh.
Na hapo nimezaa, ningekuwa sijazaa jee[emoji28]
Hahhhaa cole mi sikushawishi hata ujipost, nakuelezea tu vile pics zetu wadada zinavyohitaji mambo mengiNaona umeamua kunichukua maelezo nijichanganye hapa na msura wangu mpana mbaya afu mixer account haina kitu afu niweke hapa bado sijawa convinced kabisa
Sasa wewe katika ulivyo taja hapo juu huwezi kosa vyote
All in All it’s about Confidence Tu
Sio wewe tu, hata mimi najikuta napenda wadada tu ndio wapost. Kweli mwanamke ua.
MmmhhhSio wewe tu, hata mimi najikuta napenda wadada tu ndio wapost. Kweli mwanamke ua.
Haya mambo ya Selfie yanahitaji confidence na Reception nzuri pia ambayo ni attractive
Wenye Reception za kina Masoud sura mbaya na Remmy ongala tutakuwa observer kama us kwenye World war
Angalia vizuri
[emoji122][emoji122][emoji122]ni kweli sijui inakuwaje nataka kukuangusha akati kabla sijazaa nilikuwa sina hata shepu.Kuzaa hakumalizi ukisu, usiniangushe