Kuzaa hakumalizi ukisu, usiniangushe
Tunasubiri uweke picha yako ulipo sasa kama alivyoweka Coco
We binti utaniua...
Na mimi niliwahi kumbishia mtu kwamba ulezi (ukiwa shambani) ni mchele.
Nilimbishia hadi akavunja urafiki.
Woyoooooooo mliozaaa mnajishauaaaaaas na ukisu wenu [emoji23][emoji23][emoji23]
Na mimi nitumie nikuone cha upoleNakutumia PM in case umekutana na kituko najua huwezi weka hapa ukiweka huku nakochongea kwa Moderators upate Ban ya life Time
Si nimekwambia ukishindwa unafata Google!!?
Basi tuwekee hata mguu [emoji23]
Nasubiri kwa hamu.Hahahhhaha ngoja nikagoogle nije kudolishia
Mungu wangu nacheka leo hadi nahisi baadae nitalia.
Ushakunywa mbege unaguna tu sasa!!!Mmmhhh
Ya hivo hata nikisingiziwa ni mimi mabaharia wataamini.Ungepost ya hivi hata wasingejisumbua kulike wala kugoogle. Wangeamini ni wewe na wangefunga kurasa kwa kusema jf wadada ni wabaya.View attachment 1218847
Hahhahah ngoja nikaupareNasubiri kwa hamu.
Ngoja kwanza nigoogle kitu maana najua baada ya kupost picha yako, google itakuwa bize kwa muda.
πππ Weka humuhumu banaaNakutumia PM in case umekutana na kituko najua huwezi weka hapa ukiweka huku nakochongea kwa Moderators upate Ban ya life Time
UnitagHahahhhaha ngoja nikagoogle nije kudolishia
Being me
Yani acha wengine baada ya kuzaa ndo tunasumbua mitaa
Imenipitaje Mimi[emoji134]Ipo mama.
Unaweka?Sawa
Acha tu wezere kama loteeeee yaani unaulizwa mchina alihusika ama