Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Nasubiri kwa hamu.
Ngoja kwanza nigoogle kitu maana najua baada ya kupost picha yako, google itakuwa bize kwa muda.
Kabisa we si unaona Hannah hakuna mtu aliyethubutu kumbishia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Full package maana ya jana ulificha mguu kwenye suruali
AiseeeAisee. Ngoja niuze kile kiwanja changu niwekeze kwako
Sasa pale sijui palikuwa wapi aise sijui ulikuwa kwenye jengo sijui flyover sijaona vizuri ila ile uliyosema pale ulikuwa MombasaAngani amaa
OoohSasa pale sijui palikuwa wapi aise sijui ulikuwa kwenye jengo sijui flyover sijaona vizuri ila ile uliyosema pale ulikuwa Mombasa
Wacha bwana!!!View attachment 1218863class moja tuu jamani autie
Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.Ila wewe sikubishiagi maana watu wa mkoa fulani na nyie ni wabishi. [emoji23]
Ukianza kwa uongo maliza kwa uongo. Tunaita msimamo[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Thanks dearDada mzuri sana bonge la kisu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka tena,[emoji134][emoji134]
Una upaja heavy weightAiseee
Unaongea na nani eti auntieWacha bwana!!!
Acha kutunga hadithi banaUna upaja heavy weight
Sasa hapo nje pako hivyo huko mbelembele si balaa tupu
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sanaKuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
Kumbe sio mimi tu namuonaga ni bora kati ya wanaume humu.Boss hata comments zako ninazipenda pia, very matured sasa weka picha.
hizi ndo zenyeweKama kawa kama dawaView attachment 1218794