Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
AmenUmelipenda Sana.Haina noma ombi lako limepokelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenUmelipenda Sana.Haina noma ombi lako limepokelewa
Weka mbali na watotoView attachment 1218884Sasa uko na kichwa, kiuno na miguu!!
Nawaona mnavyo screen shot...
HahahahahaHivi kumbe tunatakiwa tuscreenshot eeeh?
HuhWeka mbali na watoto
[emoji3][emoji3]Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
View attachment 1218884Sasa uko na kichwa, kiuno na miguu!!
Utaweza tuuMimi nitumie full kule uliposema unakuja maana nishaschoka kuscreenshot halafu siwezi kuziunga
Asante dearIle pic ya siku ile baada ya watu kuigugo nilijua kabisa uliipost ile kwa vile unafanania nayo
Una sura nzuri sana
Itabidi unitumie.Hahahahaha
Nishaifutaa
Jitahidi tahidi sana tuwe tunakuona na kwenye comments jitahidi pia uwe unamwaga madini tutakuelewa tu, ahsante kwa picha kaka.
Angalia tu usiwe kama waoWatu walivyo wachoyo sasa
Akituma ni tagView attachment 1218884Sasa uko na kichwa, kiuno na miguu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itabidi unitumie.
UsifuteHuh
Kwani haijafutika
Noted:
Mara nyingi nipo kule jamii intelligence na jukwaa la Biashara na Ujasiriamali.
Naomba yako pm
Nawaona mnavyo screen shot...
Sawa mkuuAkituma ni tag