Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Halafu ole wao waweke post ooo wadada wa jf wabaya nini na nini hiyo siku nitashuka nao si kwa visu hivi picha haichosi kutizama
Halafu hiyo siku tunakomaa kama Hannah.
Ikibidi tunamsingizia hata Rihana( na wengine wanaoamini ni wazuri) yupo jf.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kaka samahani unaomba nini pm?
Saaa huko intelijensia hakuna wabebs unakutana na kina life coded na atheist tu uwe unapitamo humu na mmu.

Kweli kule Kuna wagumu tu,
Bebez zipo huku nimeshuhudia Leo before nilijuwa jf tupo boys tu kumbe totoz wapo wa kumwaga.

Nimepitia hii nyuzi mwazo mwisho sijaona hata kapicha kako ndo naomba pm.
 
Back
Top Bottom