Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umeambiwa uletewe mabegi sijui ukachukue tena ya ngozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikachukue mabegi dada
 
71342798_756183824835557_5394908411915665408_o.jpg
Naona mnagonga supu ya pweza
 
Tena mawili ya ngozi moja lako moja langu umeambiwa utoe location [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikachukue mabegi dada
 
Wewe na jina lako tunataka Picha cute Tu hapa, hatuwezi kukubabali the other way round [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Nikiweka picha yangu hapa mtaacha hadi kunikwoti. Nilivyo mbaya.
 
Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
Na wewe ulivo mbishi hivyo ukadhubutu kumchapa?
 
Tena mawili ya ngozi moja lako moja langu umeambiwa utoe location [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kanichukulie basi jamani dada
 
Back
Top Bottom