[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeambiwa uletewe mabegi sijui ukachukue tena ya ngozi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikumbuke kwenye ufalme wakoMshukuru Mungu kwa hilo babake mtoto mzuri
Ni miongoni mwa wanaume wanaojitambua humu jf.
Sio bure[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakuwa alitumia ulezi kwenye mbege.
Hawaamini 😂Asante sana[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Halafu huyo ni mimi sijui kwanini wanateseka.
Naona mnagonga supu ya pweza
[emoji38][emoji38] haya bwana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikachukue mabegi dada
Ujue naona aibuuuNikumbuke kwenye ufalme wako
Nikiweka picha yangu hapa mtaacha hadi kunikwoti. Nilivyo mbaya.Wewe na jina lako tunataka Picha cute Tu hapa, hatuwezi kukubabali the other way round [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Nakutania mimi jamani...[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Na wewe ulivo mbishi hivyo ukadhubutu kumchapa?Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
😛😛 huo uvivu. Asiye fanya kazi na asilePage zipo nyingi mpaka niipate itakuwa kesho.... ww fanya kuituma tena
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena mawili ya ngozi moja lako moja langu umeambiwa utoe location [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naibu ya nini tena mtoto mashallah full packageUjue naona aibuuu
Au labda waliopo kwenye mtandao hawa exist.Watanibishiaje na wakati picha ni ya kwangu. Kuwepo kwenye mtandao haufuti uhalali wa kwamba picha ni ya kwangu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yeye ni first born, yeah kuwa mdogo wangu mwaya.[emoji8][emoji8][emoji8]
Bahati mbaya sana mie last born my dear... ama nikuwe mdogo wako!?
MmmhhhNikiweka picha yangu hapa mtaacha hadi kunikwoti. Nilivyo mbaya.
Jamanii
Nilitoka kidogo narudi uzi umefurika...
Walofuta picha naziomba pm
Unaongea na nani eti babake mtoto mzuriNaibu ya nini tena mtoto mashallah full package