Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Sishindanii kitu. Nakushangaa ulivo mjinga tuu.[emoji23][emoji23] Dah sijaelewa unachoshindania
Unataka nitengue kauli ama ni ugomvi unataka au unataka nikuambie nawewe ni mzuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sishindanii kitu. Nakushangaa ulivo mjinga tuu.[emoji23][emoji23] Dah sijaelewa unachoshindania
Unataka nitengue kauli ama ni ugomvi unataka au unataka nikuambie nawewe ni mzuri?
Nimenenepa baada ya kuzaa.Kasema amenenepa kwamba watu huzaa, pia na weusi wa 2016 sio uleule wa 2019. Binafsi naheshimu utetezi wake[emoji5][emoji5]
Unitoe huku bush kwakweli na mie nisifiwe!!!!
Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.Mimi bado najiona nipo sawa maana wanaume wamekubaliana namimi ila nyie wanawake wenzie ndio mmekataa.... Kwahiyo ni wivu umewajaa
ingekuwa wanaume wamekataa labda ningeona kiasi fulani sipo sawa
Aseme samahani.?Wote ni wazuri kaka scorpion me mzuri sana lakini haikuwa busara kulinganisha na picha zingine na kuziponda za wengine, haikuwa poa kaka.
Ungeomba tu msamaha yakaisha hapo umechemeka.
😂😂😂😂
Baby unanifahamu hadi naogopa!!
Ndio maana kuna wanene na mwembamba.Kila mtu ana taste yake wasisemee taste za wengine, hicho ndicho wanachanganya eti kipande cha mguu kimefunika pics zote za viwiliwili vya wadada humu,,,, hata wakisema naona wivu ila hapana nimekataa
Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana 😂
Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.
Wamekubaliana na wewe kwamba hiyo miguu ni bora kuliko picha zote kwenye huu Uzi.?Mimi bado najiona nipo sawa maana wanaume wamekubaliana namimi ila nyie wanawake wenzie ndio mmekataa.... Kwahiyo ni wivu umewajaa
ingekuwa wanaume wamekataa labda ningeona kiasi fulani sipo sawa
Nitakujia usiku wa manane 😂Natamani unitishe leo usiku [emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uko wapi? Niko kijiweni hapa. Mshana Jr. hii post yako sijui kwanini naipenda kila muda nikiingia jf siachi kuipitia
Mzee baba huo ukucha vp[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aah wapi mbona sina cha kuogopa? Mimi hapa OG kabisaView attachment 1218756View attachment 1218757
Hivi viatu vyote umevaa leo?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]We kaka nimekuuliza kule juu kuna shindano gani? Ukasema hamna shindano saiv umekiri kutuweka kwenye mashindano!!! Haya mheshimiwa jaji
Nimeshindwa nipo busy nimebanana ila nilitamani tuonane tubadilishane mawazoKaka nipo maeneo
Kama imetoka moyoni.Ok naomba mnisameheni
Nice one [emoji123][emoji109][emoji445] Jason Mraz-The woman I love [emoji445]View attachment 1218978